Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
-
- #101
Kudadeti, walimu wanalala njaa tu huku sekta zingine wanalalia dollarNilishatoka hapo Mkuu japo nina connection na Senior Staff wengi wa pale,kimsingi ni panono ndio maana kuna staff wawili Frola Salakana na Braison Kunyalanyala walihamishwa pale kwenda Idara nyingine za Serikali,kwa kuona kwamba pale wametolewa kwenye mrija wa Asali walikataa kwenda kuripoti huko walikohamishiwa wakafungua mpaka Kesi CMI[emoji1787][emoji1787]sijui hata Kesi yao iliishiaga wapi lakini waligoma kuhama wakawa wanakaa nyumbani tu,hatari sana
Coz ni petroleum tuConnection ya pale uwe na sifa na si magumashi,wanachukua kuanzia Second Upper,ukiwa na Lower Second au Pass sahau
Petroleum Engineering,Geologist, Geophysics nkCoz ni petroleum tu
Badala ya kuwaza namna ya wewe kujikwamua, unawaza namna ya kuwakwamisha wengine, Huwezi endelea kwa hii roho!Dogo kaingizwa juzi tu kimagumashi hana hata miaka mitatu tayari kashusha Prado mpya zero kilometer pale Port.
MamaeeLakini five m per month bado ni pesa ndogo.
sema Tz dhiki ni kubwa mpaka tunaona 5m ni bonge la gawio
Hata wakichukua first class itasaidia Nini kama wenye vitalu ni wageniConnection ya pale uwe na sifa na si magumashi,wanachukua kuanzia Second Upper,ukiwa na Lower Second au Pass sahau
Nami nifanyie mpango hata kusafisha choo SiriuslyNo,hii Siri yangu
Daahh, ndio maana wasaka vyeo wakishavipata wananyamaza[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].Itakuwa na yeye mwalimu anatumia jukwaa kutaka mabadiliko maana kuacha kazi anaogopa .same to me kipindi jobless niliilaumu sana serikali now shavu kimyaaa hata kutetea vijana wenzangu mtihani
Cc @mwifa
walitaka kuondolewa kwenye chimbo la asali...!! kuna mwana wangu kasoma petrolium aisee hana mchongo akija kuotea hapo ni balaaaNilishatoka hapo Mkuu japo nina connection na Senior Staff wengi wa pale,kimsingi ni panono ndio maana kuna staff wawili Frola Salakana na Braison Kunyalanyala walihamishwa pale kwenda Idara nyingine za Serikali,kwa kuona kwamba pale wametolewa kwenye mrija wa Asali walikataa kwenda kuripoti huko walikohamishiwa wakafungua mpaka Kesi CMI[emoji1787][emoji1787]sijui hata Kesi yao iliishiaga wapi lakini waligoma kuhama wakawa wanakaa nyumbani tu,hatari sana
Kama ana Upper Second mwambie anitafute nimuunganishie akaanze hata kujitolea TPDC au PURA maana Mkurugenzi Mkuu wa PURA Eng.Sangweni ni mshkaji wangu anaweza akamsaidia,na uzuri pale ukipata nafasi ya kujitolea kisha nafasi zikaja kutangazwa official unachukuliwa kirahisi,na wao huwa wanatangaza wenyewe hawapitii PSRSwalitaka kuondolewa kwenye chimbo la asali...!! kuna mwana wangu kasoma petrolium aisee hana mchongo akija kuotea hapo ni balaaa
aisee bhasi ntakuunga nae mkuu yeye kaenda kusoma nje kwa sasa ila ntamtonyaaaKama ana Upper Second mwambie anitafute nimuunganishie akaanze hata kujitolea TPDC au PURA maana Mkurugenzi Mkuu wa PURA Eng.Sangweni ni mshkaji wangu anaweza akamsaidia,na uzuri pale ukipata nafasi ya kujitolea kisha nafasi zikaja kutangazwa official unachukuliwa kirahisi,na wao huwa wanatangaza wenyewe hawapitii PSRS
Fainali mtaani na sio shuleni.Mkali class mtaani mkiaMishahara ya namna hii ni balaa na ni mitamu
Hyo 5 mil mwalimu anahangaika kuikopa bank na mpaka anamhonga afisa mikopo,afu kuna dogo anaikunja kwa mwezi na class alikuwa wa kawaida tu,
Hizi propaganda sometimes muwe mnaacha. TPDC kwenye hii sector ya oil and gas ndio shirika ambalo wana mishahara ya hovyo kuliko mashirika yote. Huyo jamaa yako kakuingiza mkenge na wewe ulivyo huna akili plus wivu unakuja kuanzisha thread hapa. NARUDIA TPDC MISHAHARA YAO NI POOR SANA.
Namba sita hapo wenye hela ni watu wa certificate na diploma imagine na degree yangu ya electric natumia harrier ambayo niliuziwa na shemeji yangu kwa milioni 8 (ni kama alinipa tu) ila kuna dogo wa operation Ana diploma Ana prado [emoji3]
So unaweza kupata kwenye mamlaka lkn bado ukawa njaa kali tu
Kuna jamaa anafanya kazi LITA Ana uhakika wa kukunja laki kila siku
•Jamaa wa ikulu asiponipeleka MSATA nitamloga
Hakika nifanikiwa kuingia Ikulu kwa njia yoyote ile 2030, lazima nikuteue kuwa Waziri Mkuu, au kama utakosa vigezo vya kielimu, basi nitakuteua kuwa Waziri wangu wa Elimu.Yani kuna ugumu gani wa kazi kwenye hili shirika? Maana anayeanza kazi tu anakomba mpaka million tano kwa mwezi. Ni mshahara wa mwaka mzima wa mwalimu.
Inamana kazi yao inaendana na kiwango cha mshahara? Dogo kaingizwa juzi tu kimagumashi hana hata miaka mitatu tayari kashusha Prado mpya zero kilometer pale Port. Nishauri serikali siyo nawaonea donge, ila wajaribu kupunguza hiki kiwango, haiwezekani mshahara wa mwalimu yeye anapiga kwa siku moja tu.
Nataka kujua kwa lipi hasa mpaka wapewe pesa ndefu kiasi hiki, yani unakaa miaka mitano tu kazini tayari salary slip inasoma million nane [emoji849].
View attachment 2443725
Waalimu wako kwenye shirika gani la umma?Acha uongo sio kila shirika la umma wanakula hivyo, ebu nenda Kwa walimu uone kande la maharage kama utakula au utatapika
Huu ni wizi umewekwa na vigogo wa CCMYani kuna ugumu gani wa kazi kwenye hili shirika? Maana anayeanza kazi tu anakomba mpaka million tano kwa mwezi. Ni mshahara wa mwaka mzima wa mwalimu.
Inamana kazi yao inaendana na kiwango cha mshahara? Dogo kaingizwa juzi tu kimagumashi hana hata miaka mitatu tayari kashusha Prado mpya zero kilometer pale Port. Nishauri serikali siyo nawaonea donge, ila wajaribu kupunguza hiki kiwango, haiwezekani mshahara wa mwalimu yeye anapiga kwa siku moja tu.
Nataka kujua kwa lipi hasa mpaka wapewe pesa ndefu kiasi hiki, yani unakaa miaka mitano tu kazini tayari salary slip inasoma million nane [emoji849].
View attachment 2443725