Kwanini TPDC wanalipwa mshahara mkubwa kiasi hiki?

Kwanini TPDC wanalipwa mshahara mkubwa kiasi hiki?

Nilishatoka hapo Mkuu japo nina connection na Senior Staff wengi wa pale,kimsingi ni panono ndio maana kuna staff wawili Frola Salakana na Braison Kunyalanyala walihamishwa pale kwenda Idara nyingine za Serikali,kwa kuona kwamba pale wametolewa kwenye mrija wa Asali walikataa kwenda kuripoti huko walikohamishiwa wakafungua mpaka Kesi CMI[emoji1787][emoji1787]sijui hata Kesi yao iliishiaga wapi lakini waligoma kuhama wakawa wanakaa nyumbani tu,hatari sana
Kudadeti, walimu wanalala njaa tu huku sekta zingine wanalalia dollar
 
Wakati nipo pale Staff hasa wa Idara ya Explorations walikuwa wanabadilishia mabegi Airport,yaani mfanyakazi anatoka safari ya kikazi mfano Norway na Dubai,anatua na Emirates saa 9 mchana ana check out,Mkewe anakuwa nje pale kamletea Begi lingine la nguo anabadilisha,anachukua nguo hizo alizoletewa,ana-check in kisha anageuza na Emirates hiyohiyo saa 11 jioni kwenda Calgary Canada huko au kokote kwenye kazi nyingine za Shirika,ndio maana pale Wafanyakazi walikuwa wanachukua VISA za mwaka mzimamzima kuepusha usumbufu
 
Itakuwa na yeye mwalimu anatumia jukwaa kutaka mabadiliko maana kuacha kazi anaogopa .same to me kipindi jobless niliilaumu sana serikali now shavu kimyaaa hata kutetea vijana wenzangu mtihani

Cc @mwifa
Daahh, ndio maana wasaka vyeo wakishavipata wananyamaza[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].

Usiache kutusemea jobless mkuu
 
Nilishatoka hapo Mkuu japo nina connection na Senior Staff wengi wa pale,kimsingi ni panono ndio maana kuna staff wawili Frola Salakana na Braison Kunyalanyala walihamishwa pale kwenda Idara nyingine za Serikali,kwa kuona kwamba pale wametolewa kwenye mrija wa Asali walikataa kwenda kuripoti huko walikohamishiwa wakafungua mpaka Kesi CMI[emoji1787][emoji1787]sijui hata Kesi yao iliishiaga wapi lakini waligoma kuhama wakawa wanakaa nyumbani tu,hatari sana
walitaka kuondolewa kwenye chimbo la asali...!! kuna mwana wangu kasoma petrolium aisee hana mchongo akija kuotea hapo ni balaaa
 
walitaka kuondolewa kwenye chimbo la asali...!! kuna mwana wangu kasoma petrolium aisee hana mchongo akija kuotea hapo ni balaaa
Kama ana Upper Second mwambie anitafute nimuunganishie akaanze hata kujitolea TPDC au PURA maana Mkurugenzi Mkuu wa PURA Eng.Sangweni ni mshkaji wangu anaweza akamsaidia,na uzuri pale ukipata nafasi ya kujitolea kisha nafasi zikaja kutangazwa official unachukuliwa kirahisi,na wao huwa wanatangaza wenyewe hawapitii PSRS
 
Kama ana Upper Second mwambie anitafute nimuunganishie akaanze hata kujitolea TPDC au PURA maana Mkurugenzi Mkuu wa PURA Eng.Sangweni ni mshkaji wangu anaweza akamsaidia,na uzuri pale ukipata nafasi ya kujitolea kisha nafasi zikaja kutangazwa official unachukuliwa kirahisi,na wao huwa wanatangaza wenyewe hawapitii PSRS
aisee bhasi ntakuunga nae mkuu yeye kaenda kusoma nje kwa sasa ila ntamtonyaaa
 
Hizi propaganda sometimes muwe mnaacha. TPDC kwenye hii sector ya oil and gas ndio shirika ambalo wana mishahara ya hovyo kuliko mashirika yote. Huyo jamaa yako kakuingiza mkenge na wewe ulivyo huna akili plus wivu unakuja kuanzisha thread hapa. NARUDIA TPDC MISHAHARA YAO NI POOR SANA.
 
Hizi propaganda sometimes muwe mnaacha. TPDC kwenye hii sector ya oil and gas ndio shirika ambalo wana mishahara ya hovyo kuliko mashirika yote. Huyo jamaa yako kakuingiza mkenge na wewe ulivyo huna akili plus wivu unakuja kuanzisha thread hapa. NARUDIA TPDC MISHAHARA YAO NI POOR SANA.

Me nikabaki kimya sikua na nguvu ya kujibu… NAKIU ha mkono
 
Namba sita hapo wenye hela ni watu wa certificate na diploma imagine na degree yangu ya electric natumia harrier ambayo niliuziwa na shemeji yangu kwa milioni 8 (ni kama alinipa tu) ila kuna dogo wa operation Ana diploma Ana prado [emoji3]

So unaweza kupata kwenye mamlaka lkn bado ukawa njaa kali tu

Kuna jamaa anafanya kazi LITA Ana uhakika wa kukunja laki kila siku

•Jamaa wa ikulu asiponipeleka MSATA nitamloga

Mzee wa ikulu upoo?? Be patient mkuu
 
Yani kuna ugumu gani wa kazi kwenye hili shirika? Maana anayeanza kazi tu anakomba mpaka million tano kwa mwezi. Ni mshahara wa mwaka mzima wa mwalimu.

Inamana kazi yao inaendana na kiwango cha mshahara? Dogo kaingizwa juzi tu kimagumashi hana hata miaka mitatu tayari kashusha Prado mpya zero kilometer pale Port. Nishauri serikali siyo nawaonea donge, ila wajaribu kupunguza hiki kiwango, haiwezekani mshahara wa mwalimu yeye anapiga kwa siku moja tu.

Nataka kujua kwa lipi hasa mpaka wapewe pesa ndefu kiasi hiki, yani unakaa miaka mitano tu kazini tayari salary slip inasoma million nane [emoji849].

View attachment 2443725
Hakika nifanikiwa kuingia Ikulu kwa njia yoyote ile 2030, lazima nikuteue kuwa Waziri Mkuu, au kama utakosa vigezo vya kielimu, basi nitakuteua kuwa Waziri wangu wa Elimu.

Yaani wewe ni Mgogo wa kwanza nchini kuwa na tabia kama za Marehemu Edward Moringe Sokoine. Wagogo wenzako wengine waliobakia, akili zote zimehamia tumboni.
 
Yani kuna ugumu gani wa kazi kwenye hili shirika? Maana anayeanza kazi tu anakomba mpaka million tano kwa mwezi. Ni mshahara wa mwaka mzima wa mwalimu.

Inamana kazi yao inaendana na kiwango cha mshahara? Dogo kaingizwa juzi tu kimagumashi hana hata miaka mitatu tayari kashusha Prado mpya zero kilometer pale Port. Nishauri serikali siyo nawaonea donge, ila wajaribu kupunguza hiki kiwango, haiwezekani mshahara wa mwalimu yeye anapiga kwa siku moja tu.

Nataka kujua kwa lipi hasa mpaka wapewe pesa ndefu kiasi hiki, yani unakaa miaka mitano tu kazini tayari salary slip inasoma million nane [emoji849].

View attachment 2443725
Huu ni wizi umewekwa na vigogo wa CCM
 
Back
Top Bottom