Uchaguzi 2020 Kwanini Tume ya Taifa ya Uchaguzi imjibie tuhuma Mgombea?

CCM wananufaika na hii katiba ya sasa, why bother..!!.yes ,ukubwa wa madaraka unamfanya achemke kwenye baadhi ya mambo kama hilo la korosho.chombo ambacho nacho kingesaidia kumuweka sawa ni bunge.nalo ndio hivyo halieleweki.kuanzia spika na wabunge tawala wote dhaifu.katiba mpya ni muhimu sana.
 
mijitu km hyo ndo mtaji wa ccm
 
Namba 4 sheria na taratibu haziruhusu?
Ndio, kufanya kampeni kwa niaba ya muhusika. Kwa mujibu wa kanuni za uchaguzi sidhani kama ni sawa
Sizungumzii kumsupport. Kinachosemwa ni mfano TAL alitakiwa kwenda sehemu A siku X kwa mujibu wa ratiba ya tume, badala yake Mbowe anaenda eneo hilo kuchukua nafasi ya muhusika moja kwa moja
 
wakati Jiwe kasema wazi swala la katiba kwake halipo ndiyo maana amesubiriwa kwenye sanduku la kura tuone kama atachomoka
 
Hivi akina Kibatala hawawezi kupeleka hoja mahakamani kwa hati ya dharura ya kuomba mkurugenzi huyu aondoelewe katika nafasi hiyo kabla ya siku ya uchaguzi? Najiuliza tu, kama inawezekana kisheria.

 
Tanzania hakuna tume ya taifa ya uchaguzi bali kuna tume ya taifa ya upendeleo
 
Lissu ni mwanasherai kila sehemu anadhani ni mahakamani. Anazua kesi! MWambieni atoe ahadi za maendeleo. Rais gani anaahidi kurekebisha sheria, kwani yeye ni Bunge?
Kwani Magufuli anaposema amefuta kodi 99 kwenye kilimo yeye ni Bunge?
 
Lissu ni mwanasherai kila sehemu anadhani ni mahakamani. Anazua kesi! MWambieni atoe ahadi za maendeleo. Rais gani anaahidi kurekebisha sheria, kwani yeye ni Bunge?


Wewe una tatizo la kisaikolojia, hivi ahadi za maendeleo ni zipi? kwani kurekebisha sheria siyo ahadi ya maendeleo?
 
Msimamizi wa Sheria na kanuni za uchaguzi anazivunja sheria na kanuni mwenyewe sijui tukashitaki kwa nani ?[emoji23][emoji23]
 
Waache waingie kumi na name ya icc naona shetani ashawasogeza karibu kutaka kuisaidia CCM
 
Mkurugenzi wa tume. Anasoma makaratasi aliondikiwa na Polepole.
Anajibu hoja za Lissu kupitia NEC.?!

Imenikumbusha barua za kuunga juhudi, wapinzani waliokua wananunuliwa kama kuku za kitoeo sokoni.

Uchaguzi huu lazima tupasuane matumbo tulane maini wenyewe kwa wenyewe.
#sasabasi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…