Alubati
JF-Expert Member
- May 29, 2016
- 6,535
- 14,840
Acha tu mzee baba,na huwaelezi kitu kuhusu CCM,na hao saa 1 asubuhi tayari wapo kwenye mstari kupiga kura.Kweli watu ni choka mbaya, hata t-shirt wanategemea za msaada na wanazivaa miaka 20.
Ni ugogoni nini ?