Kwanini tunalazimishwa na Rais Samia Suluhu Hassan kuwa tupo Awamu ya Sita wakati Kiuhalisia bado tupo Muhula wa Pili wa Awamu ya Tano?

Bashiru na Polepole walimnunua Silinde kwa vipande vya fedha leo wanamuuliza maswali ya Nyongeza hahahaaa

Hii awamu ya 6 kweli

SSH mikumi tena atake asitake
 

Another Dunce.
 
Lakini kwa mantiki yako hii maana yake ni kuwa bado tupo awamu ya tano bado....maana JPM "alichaguliwa" kwa kipindi cha pili na akaunda serikali. So far, mama hajavunja serikali aliyoikuta....kafanya tu mabadiliko madogo. Kwa hivyo hoja ya kuwa tupo awamu ya 5 inapata mashiko.

Lakini mimi nafikiri hoja kubwa ni jina la Rais, likibadilika na awamu inabadilika. Sio suala la muda au uchaguzi. Awamu ni kipindi cha urais wa mtu fulani (Rais).
 
Yaani graduates siku hizi sijui ni kukosa kazi au ni kitu gani whether iwe ya 20 au ys 7 au number yoyote that doesn't matter tunachohitaji ni mahospital,shule bora,Barabara,Maji,siasa safi na the likes...hiyo ndio kitu ulete mezani tujadili mambo ya muhula yanahusu nn?akisema ni ya 5 let say itabadili nn kwako?
 

Naamini sasa Elimu ya Tanzania mbovu.
 
Nimeisoma katiba sijaona panapo define neno "awamu", kama unapajua niambie ni article ngapi? Ilani gani anayoitumia Samia? mwenyewe anakiri anaendelea pale alipoishia mwenzake, kwanini bado anajihusisha na mwendazake, leo kasema asifananishwe na Magufuli wote ni wale wale.
 
mnapoambiwa msikimbie somo la Uraia mnakuwa wabishi..watoto waliozaliwa kichwa chini,wakachungukia matako
 
 
Kweli kaka kule Zenji wameongoza hawa wafuatao!
1.Abeid Amani Karume
2. Aboud Jumbe Mwinyi
3. Alli Hassani Mwinyi
4. Idrisa Abdul Wakili
5. Salmin Amour Juma
6. Amani Abeid Karume
7.Alli Sheini
8. Hussein Alli Mwinyi
Nakila mmoja ana awamu yake bila kujali kaongoza kwa muda gani! Mama Samia yupo sahihi!
 
Kuendeleza alipoishia anamaanisha kufuata ilani ya CCM na miongozo ya Chama, hamaanishi mtindo wa uongozi.

Mfano: JPM alinunua ndege cash na ilani ilimuelekeza kununua ndege ila mtindo wa kutumia cash huo ni wake, Pengine mwingine angekopa.
 
Hao wote uliowataja hapo walipigiwa kura, tuambie Samia alipigiwa kura na nani?

Ni bahati mbaya sana kuwa Uzi huu umevamiwa na Kuchangiwa kwa Kukurupuka na the so called Lumpen wengi ila Brainy ( Intelligent ) Members kama Wewe mpo wachache sana hapa Jamiiforums na hata katika Kuchangia huu Uzi wangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…