GeoMex
JF-Expert Member
- Jan 10, 2014
- 5,431
- 19,913
Bashiru na Polepole walimnunua Silinde kwa vipande vya fedha leo wanamuuliza maswali ya Nyongeza hahahaaaYapo mabadiliko makubwa ya yanayoashiria tupo awamu nyingine mkuu! Nakumbuka awamu ya tano Bashiru na mwenzake Chakubanga walikuwa wanaogopeka na kuheshimika kama simba wa porini ila ssa hivi wanapigana vikumbo na wakina Lusinde hata salamu hawapewi! Kweli zama Zimebadilika.
Hii awamu ya 6 kweli
SSH mikumi tena atake asitake