Kwanini tunalazimishwa na Rais Samia Suluhu Hassan kuwa tupo Awamu ya Sita wakati Kiuhalisia bado tupo Muhula wa Pili wa Awamu ya Tano?

Kwanini tunalazimishwa na Rais Samia Suluhu Hassan kuwa tupo Awamu ya Sita wakati Kiuhalisia bado tupo Muhula wa Pili wa Awamu ya Tano?

Kama hujaelewa na hapa basi wewe utakua kichwa maji
Rais Ali Hassan Mwinyi alianza awamu nyingine ya utawala kule Zanzibar baada ya Rais Aboud Jumbe kuondolewa Urais wa Zanzibar kwenye mkutano wa CCM kule Dodoma-hakuna uchaguzi wowote uliofanyika
Awamu nane za marais Zanzibar


JinaMuda wa UtawalaChama
Sheikh Abeid Amani Karume12 Januari 19647 Aprili 1972ASP
Skeikh Mwinyi Aboud Jumbe11 Aprili 197230 Januari 1984ASP, 1977 CCM
Ali Hassan Mwinyi30 Januari 198424 Oktoba 1985CCM
Idris Abdul Wakil24 Oktoba 198525 Oktoba 1990CCM
Salmin Amour25 Oktoba 19908 Novemba 2000CCM
Amani Abeid Karume8 Novemba 20002010CCM
Ali Mohamed Shein3 Novemba 20102020CCM
Hussein Ali Mwinyi3 Novemba 2020
 
Awamu ya tano kivipi? Hii ni awamu ya sita. Awamu inawakilisha mtu si miaka.

Nyerere awamu ya 1, miaka zaidi ya kumi...
Mwinyi awamu ya 2, miaka kumi
Mkapa awamu ya 3, mikaka kumi
Kikwete awamu ya 4, miaka kumi
JPM awamu ya 5, miaka 5 na miezi miwili
SSH awamu ya 6, haijulikani miaka.......

Still kama awamu ni miaka 10 na si mtu basi Nyerere hajatawala awamu moja hivyo hatukupaswa kuwa awamu ya tano.

Kama hutaki we mbishi tu.
 
Rais Mama Samia Suluhu Hassan nitakuwa wa mwisho Kukuamini kuwa tupo Awamu ya Sita kama unavyotulazimisha.

Ninachojua tu Generalist na naamini hata wale Waliobarikiwa vyema Akili ni kwamba tupo bado Awamu ya Tano ya Muhula wake wa Pili ( wa mwisho )

Rais Mama Samia Suluhu Hassan nitakubaliana nawe kuwa tupo Awamu ya Sita pale tu ukichukua Fomu na Kugombea Urais na ukashinda kuanzia mwaka 2025.

Rais wa Awamu ya Tano alikuwa ni Hayati Dkt. John Pombe Magufuli na Wewe kuwa Makamu wake na alipofariki Kikatiba ukaapishwa Wewe kuendelea ndani ya Awamu hii kstika Muhula wake wa mwisho.

Nasikitika tu kuona kuna waliomuamini.
We amini utakavyo ila hii ni awamu ya sita
 
Rais Mama Samia Suluhu Hassan nitakuwa wa mwisho Kukuamini kuwa tupo Awamu ya Sita kama unavyotulazimisha.

Ninachojua tu Generalist na naamini hata wale Waliobarikiwa vyema Akili ni kwamba tupo bado Awamu ya Tano ya Muhula wake wa Pili ( wa mwisho )

Rais Mama Samia Suluhu Hassan nitakubaliana nawe kuwa tupo Awamu ya Sita pale tu ukichukua Fomu na Kugombea Urais na ukashinda kuanzia mwaka 2025.

Rais wa Awamu ya Tano alikuwa ni Hayati Dkt. John Pombe Magufuli na Wewe kuwa Makamu wake na alipofariki Kikatiba ukaapishwa Wewe kuendelea ndani ya Awamu hii kstika Muhula wake wa mwisho.

Nasikitika tu kuona kuna waliomuamini.

..unasema tuko awamu ya 5?

..bado unaamini Magufuli ni raisi wa Tz?
 
Mimi mwenyewe nafaham kuwa tuko awamu ya tano bado, lkn kwakuwa Rais wangu amesema ni awamu ya sita mimi ni nani mpk nimpinge rais wa jamuhur ya muungano wa tanzania.
Ukweli utabaki kuwa mkweli mkuu,hauwezi kubadilika kuwa uwongo.
 
Kawaida imekuwa kwamba huko CCM lazima Rais mmoja aongoze awamu mbili, napo hapi ndipo tatizo linapoanzia, kama akitokea Rais akaongoza muhula mmoja then amuachie mwingine naamini hii story ya awamu itabadilika.

Samia angekuwa Rais wa awamu ya sita kama angeanzia mwanzo baada ya kufanyika uchaguzi mkuu agombee na ashinde, lakini kama amekuja kumalizia kazi iliyoanzishwa na mwenzake yeye akiwa makamu basi yeye bado ni Rais wa awamu ya tano anaemalizia awamu waliyoianza na mwendazake.

Generalist huwa nafurahi sana Kueleweka na very few Intelligent Jamiiforums Members kama Wewe na Wenzako baadhi hapa ila Wapumbavu na Washamba ndiyo nawaona wengi mno wameuvamia huu Uzi ambao umewazidi Uwezo wao wa Kutafakari na Kuchambua Masuala ( Issues ) kwa marefu na mapana yake.
 
Awamu ya tano kivipi? Hii ni awamu ya sita. Awamu inawakilisha mtu si miaka.

Nyerere awamu ya 1, miaka zaidi ya kumi...
Mwinyi awamu ya 2, miaka kumi
Mkapa awamu ya 3, mikaka kumi
Kikwete awamu ya 4, miaka kumi
JPM awamu ya 5, miaka 5 na miezi miwili
SSH awamu ya 6, haijulikani miaka.......

Still kama awamu ni miaka 10 na si mtu basi Nyerere hajatawala awamu moja hivyo hatukupaswa kuwa awamu ya tano.

Kama hutaki we mbishi tu.
Hao wote uliowataja hapo walipigiwa kura, tuambie Samia alipigiwa kura na nani?
 
Rais Mama Samia Suluhu Hassan nitakuwa wa mwisho Kukuamini kuwa tupo Awamu ya Sita kama unavyotulazimisha.

Ninachojua tu Generalist na naamini hata wale Waliobarikiwa vyema Akili ni kwamba tupo bado Awamu ya Tano ya Muhula wake wa Pili ( wa mwisho )

Rais Mama Samia Suluhu Hassan nitakubaliana nawe kuwa tupo Awamu ya Sita pale tu ukichukua Fomu na Kugombea Urais na ukashinda kuanzia mwaka 2025.

Rais wa Awamu ya Tano alikuwa ni Hayati Dkt. John Pombe Magufuli na Wewe kuwa Makamu wake na alipofariki Kikatiba ukaapishwa Wewe kuendelea ndani ya Awamu hii kstika Muhula wake wa mwisho.

Nasikitika tu kuona kuna waliomuamini.
Move on ndugu!

Kubali matokea Rais Tuliye naye si yule aliyetwaliwa.

Hii ni Awamu ya Sita.
 
Hao wote uliowataja hapo walipigiwa kura, tuambie Samia alipigiwa kura na nani?
Kuwa raisi wa JMT Kuna njia mbili kulingana na katiba.

1. Kupigiwa kura
2. Kuchukua nafasi kupitia Makamo wa raisi na wote walioorodheshwa na katiba pale raisi anaposhindwa kutimiza wajibu kutokana na kifo au ugonjwa.

Njia zote hizo zinahalalisha kuwa amiri jeshi mkuu.

Kwann unafikiri neno awamu lazima uwe umechaguliwa? Katiba imekuelekeza hivyo?
 
Mimi mwenyewe nafaham kuwa tuko awamu ya tano bado, lkn kwakuwa Rais wangu amesema ni awamu ya sita mimi ni nani mpk nimpinge rais wa jamuhur ya muungano wa tanzania.

Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere alisema ukikubali Jambo la Kipumbavu wakati unajulikana ni Mtu Mwetevu basi Wewe ndiyo unakuwa Mpumbavu zaidi hivyo ni wa Kuogopwa kama Ukoma.
 
Rais Mama Samia Suluhu Hassan nitakuwa wa mwisho Kukuamini kuwa tupo Awamu ya Sita kama unavyotulazimisha.

Ninachojua tu Generalist na naamini hata wale Waliobarikiwa vyema Akili ni kwamba tupo bado Awamu ya Tano ya Muhula wake wa Pili ( wa mwisho )

Rais Mama Samia Suluhu Hassan nitakubaliana nawe kuwa tupo Awamu ya Sita pale tu ukichukua Fomu na Kugombea Urais na ukashinda kuanzia mwaka 2025.

Rais wa Awamu ya Tano alikuwa ni Hayati Dkt. John Pombe Magufuli na Wewe kuwa Makamu wake na alipofariki Kikatiba ukaapishwa Wewe kuendelea ndani ya Awamu hii kstika Muhula wake wa mwisho.

Nasikitika tu kuona kuna waliomuamini.
Pole sana kwa uelewa mdogo.. Mlishakariri kuwa awamu moja basi ni lazima iwe MIAKA 10.. Angalia hapo MWINYI katawala mwaka mmoja tu 1984 had 1985 ikaitwa AWAMU ya tatu na JUMBE alichukua nafasi ya marehem KARUME 1972 ikaitwa AWAMU ya pili.. Hivyo kabla hujapost ujinga TAFAKARI KWANZA
 
We ni kilaza,hivi aufahamu kuwa kuna uchaguzi kila miaka mitano je kama magufuli angeshindwa na lisu tungesema lisu anaendeza awamu ya tano.

Hapo nafikiri aujaelewa,hebu fikiria kama membe angechukua fomu na magufuli kutokupitishwa alafu membe awe rais ingekuwa ni hawamu ya tano tena?.

Kwa ufupi hawamu ni vichwa vya marais ndio maana kila hawamu kunakuwa na rais bila kujali muda alioudumu kwa taarifa yako Samia ni rais wa sita wa tanzania .

Wapishe wenye Akili Kubwa wauchangie Uzi na Wewe Juha pamoja na Majuha Wenzako muweze Kujifunza.

Ndiyo maana ninawadharau kila Mara.
 
Popoma Gentamicin,Mzukulu,Clever right,All Rounder katika ubora na umbumbumbu uliotukuka.
Rais wa Zanzibar wa sasa Dr Hussein Mwinyi ni Rais wa awamu ya nane kule Zanzibar. Sasa jiulize hao marais nane wa awamu zote nane walifanya uchaguzi ndio ikaanza kuhesabiwa upya au.....!!.

Simple logic ni kuwa anapoingia madarakani Rais mwengine unaanza kuhesabiwa awamu mpya rejea mfano wa Zanzibar

Another Moron.
 
Ni wachache sana wenye uwezo wa kuelewa bandiko hili lililowasilishwa kwa akili nyingi.

Ni JF Intelligent Members Wachache sana kama Wewe na Wenzako baadhi hapa ndiyo mtanielewa vyema Generalist Mimi. Ubarikiwe ( Mbarikiwe )
 
Back
Top Bottom