Areus
JF-Expert Member
- Jul 27, 2016
- 337
- 417
Awamu ni mtu anayeongoza. Samia ni Rais wa sita na awamu ya sita. Awamu hutokana na idadi ya marais walioongoza. Mfano magufuli awamu zote za miaka yake kumi ingeitwa awamu ya Tano kwasababu yeye alikuwa Rais wa tano
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app