Kwanini tunalazimishwa na Rais Samia Suluhu Hassan kuwa tupo Awamu ya Sita wakati Kiuhalisia bado tupo Muhula wa Pili wa Awamu ya Tano?

Kwanini tunalazimishwa na Rais Samia Suluhu Hassan kuwa tupo Awamu ya Sita wakati Kiuhalisia bado tupo Muhula wa Pili wa Awamu ya Tano?

Rais Mama Samia Suluhu Hassan nitakuwa wa mwisho Kukuamini kuwa tupo Awamu ya Sita kama unavyotulazimisha.

Ninachojua tu Generalist na naamini hata wale Waliobarikiwa vyema Akili ni kwamba tupo bado Awamu ya Tano ya Muhula wake wa Pili ( wa mwisho).

Rais Mama Samia Suluhu Hassan nitakubaliana nawe kuwa tupo Awamu ya Sita pale tu ukichukua Fomu na Kugombea Urais na ukashinda kuanzia mwaka 2025.

Rais wa Awamu ya Tano alikuwa ni Hayati Dkt. John Pombe Magufuli na Wewe kuwa Makamu wake na alipofariki Kikatiba ukaapishwa Wewe kuendelea ndani ya Awamu hii kstika Muhula wake wa mwisho.

Nasikitika tu kuona kuna waliomuamini.
Awamu zinaenda na Rais . Mfano ni Zanzibar . Ally Hassan Mwinyi aliongoza chini ya miaka miwili lakini ni awamu. Marehemu Idris Abdul Wakil aliongoza muhula moja wa miaka mitano tu lakini ni awamu. So awamu ya tano imeenda na Maghufuli. Generalist
 
Yaani graduates siku hizi sijui ni kukosa kazi au ni kitu gani whether iwe ya 20 au ys 7 au number yoyote that doesn't matter tunachohitaji ni mahospital,shule bora,Barabara,Maji,siasa safi na the likes...hiyo ndio kitu ulete mezani tujadili mambo ya muhula yanahusu nn?akisema ni ya 5 let say itabadili nn kwako?

Another Dolt.
 
Rais Mama Samia Suluhu Hassan nitakuwa wa mwisho Kukuamini kuwa tupo Awamu ya Sita kama unavyotulazimisha.

Ninachojua tu Generalist na naamini hata wale Waliobarikiwa vyema Akili ni kwamba tupo bado Awamu ya Tano ya Muhula wake wa Pili ( wa mwisho).

Rais Mama Samia Suluhu Hassan nitakubaliana nawe kuwa tupo Awamu ya Sita pale tu ukichukua Fomu na Kugombea Urais na ukashinda kuanzia mwaka 2025.

Rais wa Awamu ya Tano alikuwa ni Hayati Dkt. John Pombe Magufuli na Wewe kuwa Makamu wake na alipofariki Kikatiba ukaapishwa Wewe kuendelea ndani ya Awamu hii kstika Muhula wake wa mwisho.

Nasikitika tu kuona kuna waliomuamini.
Sasa unalazimishwa ama ndio ukweli wenyewe! Au umekariri urais miaka 10 ndio awamu inaisha!
Awamu ni Rais na sio miaka mkuu hebu jiongeze basi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi hata sielewi wabunge nao wako awamu ya ngapi?
Ya tano au ya sita?

Wanaotetea na Kumtetea Rais Samia Suluhu Hassan kuwa yuko katika Awamu ya Sita waje pia kutuambia je, na hawa Wabunge nao ni wa Awamu ya Tano ( iliyokuwa ya Hayati Rais Dkt. Magufuli ) au nao ni wa Awamu tunayolazimishwa kuwa ni ya Sita?
 
Rais Mama Samia Suluhu Hassan nitakuwa wa mwisho Kukuamini kuwa tupo Awamu ya Sita kama unavyotulazimisha.

Ninachojua tu Generalist na naamini hata wale Waliobarikiwa vyema Akili ni kwamba tupo bado Awamu ya Tano ya Muhula wake wa Pili ( wa mwisho).

Rais Mama Samia Suluhu Hassan nitakubaliana nawe kuwa tupo Awamu ya Sita pale tu ukichukua Fomu na Kugombea Urais na ukashinda kuanzia mwaka 2025.

Rais wa Awamu ya Tano alikuwa ni Hayati Dkt. John Pombe Magufuli na Wewe kuwa Makamu wake na alipofariki Kikatiba ukaapishwa Wewe kuendelea ndani ya Awamu hii kstika Muhula wake wa mwisho.

Nasikitika tu kuona kuna waliomuamini.
Watu wanajichanganya. Raisi Samia ni raisi wa Sita katika awamu ya tano.
 
Kuendeleza alipoishia anamaanisha kufuata ilani ya CCM na miongozo ya Chama, hamaanishi mtindo wa uongozi.

Mfano: JPM alinunua ndege cash na ilani ilimuelekeza kununua ndege ila mtindo wa kutumia cash huo ni wake, Pengine mwingine angekopa.

Huna Akili acha Kuchangia unatuboa tu.
 
Rais Mama Samia Suluhu Hassan nitakuwa wa mwisho Kukuamini kuwa tupo Awamu ya Sita kama unavyotulazimisha.

Ninachojua tu Generalist na naamini hata wale Waliobarikiwa vyema Akili ni kwamba tupo bado Awamu ya Tano ya Muhula wake wa Pili ( wa mwisho).

Rais Mama Samia Suluhu Hassan nitakubaliana nawe kuwa tupo Awamu ya Sita pale tu ukichukua Fomu na Kugombea Urais na ukashinda kuanzia mwaka 2025.

Rais wa Awamu ya Tano alikuwa ni Hayati Dkt. John Pombe Magufuli na Wewe kuwa Makamu wake na alipofariki Kikatiba ukaapishwa Wewe kuendelea ndani ya Awamu hii kstika Muhula wake wa mwisho.

Nasikitika tu kuona kuna waliomuamini.
Awamu ni mtu akitoka kwa namna yoyote awamu yake ndio imekwisha ndio maana usukani kashika mwingine naye apanga mipango kwa utashi wake
 
Acha Kudanganya Watu njia pekee tena ya Kikatiba ndani ya CCM ni ile tu ya Rais Kupigiwa Kura.



Hivi kwanini Jambo dogo tu hili linawashindeni Kuling'amua tena Kimantiki kabisa? Ubongoni mwenu kumejaa Takataka ngumu tu au?
Aisee🤣
Na bado ubongo wako umelitafsiri kama jambo dogo sana.

Haya akili kubwa tupo awamu ya tano ya SSH, hata raisi ni muongo naye hajui.

Halafu katiba inayofuatwa si ya ccm ni ya nchi.
 
Napata wasiwasi huenda kweli ccm wakatawala miaka mingine 100 ,kama wasomi ,sijui watoto wa mjini mnaopata mitandao akili ndio hizi? Je wa kijijini?. Yani hata awamu hamjui ni kitu gani?propaganda za TOT na nyie mmezikubali awamu ndio nini? Ziko kwenye katiba? Kama mdau alivyouliza angeshinda membe 2020 ingekuwa awamu ya ngapi? Mazoea ya ccm kuwapa mara is wake miaka 10 mmekariri ndio awamu?

Another Dead Head.
 
Watu wanajichanganya. Raisi Samia ni raisi wa Sita katika awamu ya tano.

Hata Yeye ( Rais Samia Suluhu Hassan ) angesema ( angesisitiza ) hivi kama ulivyopatia Wewe na ambavyo ndiyo sahihi hata Mimi Generalist ningemuelewa mapema tu.

Cha Kushangaza Yeye Mwenyewe ( Rais Samia Suluhu Hassan ) kila akiongea na Hadhira ya Watanzania kwa Kujiamini kabisa ( wakati Kiuhalisia anakosea ) anasema ( anajinasibu ) kuwa Yeye ni Rais wa Awamu ya Sita. Na hata leo alipokuwa Dodoma ameirudia tena Ndugu.
 
Kama awamu ni miaka ya kukaa kwenye uras basi tungekuwa tuna awamu nyingi tu zaid ya hizo ambazo mnabishania maana nyerere amekaa miaka 24 kwenye urais
 
Rais Mama Samia Suluhu Hassan nitakuwa wa mwisho Kukuamini kuwa tupo Awamu ya Sita kama unavyotulazimisha.

Ninachojua tu Generalist na naamini hata wale Waliobarikiwa vyema Akili ni kwamba tupo bado Awamu ya Tano ya Muhula wake wa Pili ( wa mwisho).

Rais Mama Samia Suluhu Hassan nitakubaliana nawe kuwa tupo Awamu ya Sita pale tu ukichukua Fomu na Kugombea Urais na ukashinda kuanzia mwaka 2025.

Rais wa Awamu ya Tano alikuwa ni Hayati Dkt. John Pombe Magufuli na Wewe kuwa Makamu wake na alipofariki Kikatiba ukaapishwa Wewe kuendelea ndani ya Awamu hii kstika Muhula wake wa mwisho.

Nasikitika tu kuona kuna waliomuamini.

Ungewauliza bashiri, pole pole, katelefoni, mparamagamba na wenzao wangekwambia kuwa nao wana cheki na kujisemea hiiiiii!

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
We ni kilaza,hivi aufahamu kuwa kuna uchaguzi kila miaka mitano je kama magufuli angeshindwa na lisu tungesema lisu anaendeza awamu ya tano.

Hapo nafikiri aujaelewa,hebu fikiria kama membe angechukua fomu na magufuli kutokupitishwa alafu membe awe rais ingekuwa ni hawamu ya tano tena?.

Kwa ufupi hawamu ni vichwa vya marais ndio maana kila hawamu kunakuwa na rais bila kujali muda alioudumu kwa taarifa yako Samia ni rais wa sita wa tanzania .
Hawamu = awamu

Yote kwa yote ufatanuzi wako uko vyema kabisa.
 
Umeitwa / Nimekuita uchangie? Swine.
Pambana tu na hali pale unapoleta hoja kwenye public forums.

Hoja ambazo hakuna atakayekuingilia ni zile utakazotumia mtindo wa kuinbox mmoja mmoja muongee sirini humo.
 
Rais Mama Samia Suluhu Hassan nitakuwa wa mwisho Kukuamini kuwa tupo Awamu ya Sita kama unavyotulazimisha.

Ninachojua tu Generalist na naamini hata wale Waliobarikiwa vyema Akili ni kwamba tupo bado Awamu ya Tano ya Muhula wake wa Pili ( wa mwisho).

Rais Mama Samia Suluhu Hassan nitakubaliana nawe kuwa tupo Awamu ya Sita pale tu ukichukua Fomu na Kugombea Urais na ukashinda kuanzia mwaka 2025.

Rais wa Awamu ya Tano alikuwa ni Hayati Dkt. John Pombe Magufuli na Wewe kuwa Makamu wake na alipofariki Kikatiba ukaapishwa Wewe kuendelea ndani ya Awamu hii kstika Muhula wake wa mwisho.

Nasikitika tu kuona kuna waliomuamini.
Kosa ni la interahamwe wa CCM kushindwa kutafsiri sheria. Ilitakiwa Samia asitawale nchi kwa siku zaidi ya 90 kabla uchaguzi mkuu haujaitishwa. Sasa kwa kuwa hawa interahamwe wakaona kuwa wanaweza kupoteza viti wakajipa eti hadi uchaguzi mkuu mwingine utakapowadia tarehe yake wakati kiuhalisia kufanya hivyo ni upuuzi mtupu!
 
Nimeisoma katiba sijaona panapo define neno "awamu", kama unapajua niambie ni article ngapi? Ilani gani anayoitumia Samia? mwenyewe anakiri anaendelea pale alipoishia mwenzake, kwanini bado anajihusisha na mwendazake, leo kasema asifananishwe na Magufuli wote ni wale wale.

Kama tu Siku ya Kwanza Kututangazia Msiba wa Rais Dkt. Magufuli alisema Maombolezo yatakuwa ni Siku 14 ila baadae alipoelimishwa kuhusu Katiba kuwa ni Siku 21 akaitangaza tena leo akikosea na kwenda Kinyume na Vipengele vya Katiba na ( hasa ya CCM ) akijiita ni Rais wa Awamu ya Sita wala simshangai sana sana naona kumbe nae ( SSH ) ni Mtupu hasa Kiuelewa na naanza kupata Wasiwasi dhidi yake.
 
Back
Top Bottom