Kwanini tunalazimishwa na Rais Samia Suluhu Hassan kuwa tupo Awamu ya Sita wakati Kiuhalisia bado tupo Muhula wa Pili wa Awamu ya Tano?

Kwanini tunalazimishwa na Rais Samia Suluhu Hassan kuwa tupo Awamu ya Sita wakati Kiuhalisia bado tupo Muhula wa Pili wa Awamu ya Tano?

We ni kilaza,hivi aufahamu kuwa kuna uchaguzi kila miaka mitano je kama magufuli angeshindwa na lisu tungesema lisu anaendeza awamu ya tano.

Hapo nafikiri aujaelewa,hebu fikiria kama membe angechukua fomu na magufuli kutokupitishwa alafu membe awe rais ingekuwa ni hawamu ya tano tena?.

Kwa ufupi hawamu ni vichwa vya marais ndio maana kila hawamu kunakuwa na rais bila kujali muda alioudumu kwa taarifa yako Samia ni rais wa sita wa tanzania .
Simple mzee..Kama JPM Angeshindwa uchaguzi wa 2020..Angeshinda Lissu ama mwingine yeyote yule..angekuwa still ni Rais wa Sita katika awamu ya tano..awamu huwa ni term za Uongozi kwa Tanzania ni miaka kumi, USA ni miaka nane ..mfano Biden yupo kwenye awamu ya Trump ambayo ni awamu ya 48 na yeye ni Rais wa 46..uchaguzi ujao ataingia awamu ya 49 Rasmi akiwa BADO ni Rais wa 46, Ila kama Trump atashinda atakuwa Rais wa 47 kwa sababu ya kutawala mara mbili kwa vipindi tofauti..so itasomeka aliyekuwa Rais wa 45 Trump ameshindwa Na kuwa Rais wa 47 katika awamu ya 49.
 
Samia Suluhu yupo sahihi kusema hii ni awamu ya sita
Kama katiba inavyojielezea hapa chini. Term ya pili Magu ameongoza kwa muda wa miezi mitano tu, amebakisha miaka minne na miezi nane.
kwa mujibu wa katiba, Makamu wa Rais akishika kiti cha urais kwa kipindi cha miaka mitatu na zaidi, inahesabika ni awamu yake na inahesabika kana kwamba ameongoza kwa muhula mzima wa miaka mitano. baada ya kushikilia nafasi ya rais aliefariki na akaamua kugombea urais na akashinda huo uchaguzi, ataruhusiwa kuongoza nchi kwa muda wa miaka mitano tu.

kwa hio ndugu zanguni, tusimkosoe mama, yule anaijua katiba kuliko sisi, mbali na hilo, yupo sahihi katika hayo matamshi.View attachment 1756019View attachment 1756020

Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Yani wewe pamoja na huyo mnaisoma katiba bila kuitafakari...Samia anatumia Ilani ya awamu Gani katika kuongoza Serikali yake anayoiita ya awamu ya sita!? Ujiulizi why hana vipaumbele vyake zaidi ya kuviendeleza vya JPM !?

Guys hili somo naona wengi wenu hapa ni maamuma ..na hamtaki kuujua ukweli..

Samia ni Rais wa Sita katika awamu ya tano..2025 akigombea atakuwa Rais wa Sita katika awamu yake mpya ya Sita.
 
So marehemu dikiteta magufuli ni rais wa awamu ya saba, mnaosema dikiteta magufuli ni rais wa awamu ya tano mnakosea pakubwa sana
 
Samia Suluhu yupo sahihi kusema hii ni awamu ya sita
Kama katiba inavyojielezea hapa chini. Term ya pili Magu ameongoza kwa muda wa miezi mitano tu, amebakisha miaka minne na miezi nane.
kwa mujibu wa katiba, Makamu wa Rais akishika kiti cha urais kwa kipindi cha miaka mitatu na zaidi, inahesabika ni awamu yake na inahesabika kana kwamba ameongoza kwa muhula mzima wa miaka mitano. baada ya kushikilia nafasi ya rais aliefariki na akaamua kugombea urais na akashinda huo uchaguzi, ataruhusiwa kuongoza nchi kwa muda wa miaka mitano tu.

kwa hio ndugu zanguni, tusimkosoe mama, yule anaijua katiba kuliko sisi, mbali na hilo, yupo sahihi katika hayo matamshi.View attachment 1756019View attachment 1756020

Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app

Another Daffy.
 
Yani wewe pamoja na huyo mnaisoma katiba bila kuitafakari...Samia anatumia Ilani ya awamu Gani katika kuongoza Serikali yake anayoiita ya awamu ya sita!? Ujiulizi why hana vipaumbele vyake zaidi ya kuviendeleza vya JPM !?

Guys hili somo naona wengi wenu hapa ni maamuma ..na hamtaki kuujua ukweli..

Samia ni Rais wa Sita katika awamu ya tano..2025 akigombea atakuwa Rais wa Sita katika awamu yake mpya ya Sita.

Huwa nikikutana na JF Genius Members kama Wewe Ndugu na Wenzako baadhi mliojitokeza na Kunielewa vyema hapa huwa nafurahi na kufarijika sana tu pia.
 
Samia Suluhu yupo sahihi kusema hii ni awamu ya sita
Kama katiba inavyojielezea hapa chini. Term ya pili Magu ameongoza kwa muda wa miezi mitano tu, amebakisha miaka minne na miezi nane.
kwa mujibu wa katiba, Makamu wa Rais akishika kiti cha urais kwa kipindi cha miaka mitatu na zaidi, inahesabika ni awamu yake na inahesabika kana kwamba ameongoza kwa muhula mzima wa miaka mitano. baada ya kushikilia nafasi ya rais aliefariki na akaamua kugombea urais na akashinda huo uchaguzi, ataruhusiwa kuongoza nchi kwa muda wa miaka mitano tu.

kwa hio ndugu zanguni, tusimkosoe mama, yule anaijua katiba kuliko sisi, mbali na hilo, yupo sahihi katika hayo matamshi.View attachment 1756019View attachment 1756020

Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Yani wewe pamoja na huyo mnaisoma katiba bila kuitafakari...Samia anatumia Ilani ya awamu Gani katika kuongoza Serikali yake anayoiita ya awamu ya sita!? Ujiulizi why hana vipaumbele vyake zaidi ya kuviendeleza vya JPM !?

Guys hili somo naona wengi wenu hapa ni maamuma ..na hamtaki kuujua ukweli..

Samia ni Rais wa Sita katika awamu ya tano..2025 akigombea atakuwa Rais wa Sita katika awamu yake mpya ya Sita.
Awamu ya tano kivipi? Hii ni awamu ya sita. Awamu inawakilisha mtu si miaka.

Nyerere awamu ya 1, miaka zaidi ya kumi...
Mwinyi awamu ya 2, miaka kumi
Mkapa awamu ya 3, mikaka kumi
Kikwete awamu ya 4, miaka kumi
JPM awamu ya 5, miaka 5 na miezi miwili
SSH awamu ya 6, haijulikani miaka.......

Still kama awamu ni miaka 10 na si mtu basi Nyerere hajatawala awamu moja hivyo hatukupaswa kuwa awamu ya tano.

Kama hutaki we mbishi tu.
Mzee..awamu ni term ya miaka...nakupa.mfano..kama Jiwe angekuwa hai..na MATAGA wakamuongezea miaka Kama walivyokuwa wanataka..bila kujali ingekuwa ni miaka mingap.simple angeendelea kuwa Rais wa Tano..katika awamu ya tano kulingana na miaka ambayo angetawala nayo mpaka ukomo wake. So Nyerere anabaki kuwa awamu ya kwanzA kwa sababu awamu yake ilikuwa na mingi miaka ambayo ikifika ukomo baada ya Mwinyi kuingia madarakani..hii ndio kusema Kama Mwl angekuwa hai mpaka leo ..na angeendelea kuwa Rais kwa namna yeyote iwe kushinda ama kuukalia madaraka kinguvu..sti angekuwa Rais wa kwanzA katika awamu ya kwanzA..mpaka ambapo angeingia Rais mwingine..
 
Rais Mama Samia Suluhu Hassan nitakuwa wa mwisho Kukuamini kuwa tupo Awamu ya Sita kama unavyotulazimisha.

Ninachojua tu Generalist na naamini hata wale Waliobarikiwa vyema Akili ni kwamba tupo bado Awamu ya Tano ya Muhula wake wa Pili ( wa mwisho), ila Samia Suluhu Hassan ni Rais wa Sita.

Rais Mama Samia Suluhu Hassan nitakubaliana nawe kuwa tupo Awamu ya Sita pale tu ukichukua Fomu na Kugombea Urais na ukashinda kuanzia mwaka 2025.

Rais wa Awamu ya Tano alikuwa ni Hayati Dkt. John Pombe Magufuli na Wewe kuwa Makamu wake na alipofariki Kikatiba ukaapishwa Wewe kuendelea ndani ya Awamu hii kstika Muhula wake wa mwisho.

Nasikitika tu kuona kuna waliomuamini.
Ilani ya uchaguzi ni ileile ya awamu ya tano. Samia hana ilani ya uchaguzi mpya. Hivyo, Samia ni Rais wa sita lakini awamu ni ya tano. Umeandika vema.
 
Huwa nikikutana na JF Genius Members kama Wewe Ndugu na Wenzako baadhi mliojitokeza na Kunielewa vyema hapa huwa nafurahi na kufarijika sana tu pia.
Wengi hapa..wanashindwa kuelewa kwa kuwa hawataki kuelewa na nawasiwasi pengine Hawa ndio wale ambao walikuwa wanameza / kukariri darasani bila kuelewa anachokariri kina maana Gani.
 
Huwa nikikutana na JF Genius Members kama Wewe Ndugu na Wenzako baadhi mliojitokeza na Kunielewa vyema hapa huwa nafurahi na kufarijika sana tu pia.
Wengi hapa..wanashindwa kuelewa kwa kuwa hawataki kuelewa na nawasiwasi pengine Hawa ndio wale ambao walikuwa wanameza / kukariri darasani bila kuelewa anachokariri kina maana Gani.
 
Haiwezi kuwa AWAMU YA SITA. Kwa vigezo vipi?

Mkuu, haya ni matokeo ya kufanya mambo pasipokufuata taratibu, mama anaendeleza mle mle kwenye njia alizoziasisi mtangulizi wake.

Kwa hiyo mama na yeye sasa anatambua kwamba akijitangazia AWAMU YA SITA, hakuna atakayepingwa, kwa sababu yeye ndiyo rais!

Lakini hata akitangaza, historia itabaki kuwa vile vile, kwamba yeye anaendeleza awamu ya tano baada ya bosi wake kutoikamilisha awamu yao.

Another Nutty.
 
Back
Top Bottom