Kwanini tunalazimishwa na Rais Samia Suluhu Hassan kuwa tupo Awamu ya Sita wakati Kiuhalisia bado tupo Muhula wa Pili wa Awamu ya Tano?

Kwanini tunalazimishwa na Rais Samia Suluhu Hassan kuwa tupo Awamu ya Sita wakati Kiuhalisia bado tupo Muhula wa Pili wa Awamu ya Tano?

Ilani ya uchaguzi ni ileile ya awamu ya tano. Samia hana ilani ya uchaguzi mpya. Hivyo, Samia ni Rais wa sita lakini awamu ni ya tano. Umeandika vema.

Nafurahi Kueleweka nawe Genius hapa.
 
Kuendeleza alipoishia anamaanisha kufuata ilani ya CCM na miongozo ya Chama, hamaanishi mtindo wa uongozi.

Mfano: JPM alinunua ndege cash na ilani ilimuelekeza kununua ndege ila mtindo wa kutumia cash huo ni wake, Pengine mwingine angekopa.
Sasa alipoishia ni vipaumbele a Ilani ya awamu ya tano vilikuwa vinamuelekeza yeye kufanya hayo..je huyo Samia ni Ilani Gani anatumia..Kama Sio hiohio ya awamu ya tano ya kuanzia mwaka 2020-2025!?..vitu vingine huko so open ..Ila watu mnajitia upofu aisee..Samia ni Rais wa Sita katika awamu ya tano..akitokea akafariki ..Mpango atakuwa Rais wa Saba katika awamu ya tano still.ndio maana hata ukisoma katiba kwa kuielewa hii utaona dhana hii ipo katika kipengele cha Rais wa naman ya Samia na muda alioupata Urais na Kama anafaa kugombea tena ama la...soma iko kipengele
 
ile ilani ni ya chama sio ya awamu bwege we. na sera za chama za awamu iliyopita ambazo hazijatekelezwa katika awamu husika huwa zinatekelezwa na rais ajae endapo atatokea chama hicho hicho kilichoongoza awamu iliyopita.

hapo chini ilani ya CCM inaonesha utekelezaji wa baadhi ya sera zake unaenda mpaka 2030 na nyingine mpaka 2050.

narudia tena ilani ni ya chama. BWEGE WE
View attachment 1756037

Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Duh..aisee kweli we ni andazi tena lile la kuchemsha
 
Awamu ni nn?

Sasa kama tu neno Awamu hulijui je, utaweza kweli Kujadili huu Uzi ambao unahitaji mno utulivu wa Akili katika Kuukabili ili mwisho wa Siku nawe usionekane ni Mpumbavu tu kama Wengine?
 
Znz wana katiba yao ambayo ni tofauti na ya kwetu. Sijui kwanini unafananisha ila ni kwamba, Hayati JPM alishinda uchaguzi wa mwaka 2020 ili kukamilisha muhula wake wa pili wa awamu ya tano. Akahudumu kwenye muhula wa pili kwa miezi michache.

Katiba inasema, Makamu wake aapishwe kumalizia ngwe iliyobaki, na zaidi inasema kama kipindi kilichobaki ni chini ya miaka mitatu, Makamu huyo hatahesabiwa kuwa amehudumu kipindi kimoja cha awamu hiyo.

2020 angeshinda Lisu au CCM ingempitisha mtu tofauti na JPM, hapo tungekuwa tumeanza awamu ya 6.

Hivyo, Samia anamalizia muhula wa pili ulioachwa na JPM kwa uchaguzi wa 2020. Yeye ni raisi wa 6 wa JMT yenye mihula mitano mpaka sasa, ndo kusema, awamu ya tano imeshikwa na maraisi wawili.

Ni kama katika hali ya kawaida kuendelea kung'ang'ania kuwa Edward Lowasa ni waziri mkuu mstaafu, alistaafu lini?

Genius Members kama Wewe si wengi.
 
Sasa unalazimishwa ama ndio ukweli wenyewe! Au umekariri urais miaka 10 ndio awamu inaisha!
Awamu ni Rais na sio miaka mkuu hebu jiongeze basi.

Sent using Jamii Forums mobile app
So akitokea akafariki..ghafla..Mpango atakuwa Rais wa Saba katika awamu ya Saba sio!?
Ujinga mtupu ..Yani majitu nmnakomaa kwa kitu ambacho kipo wazi ..awamu Gani inakuwa na miaka minne..ama Tisa!?
 
Hii ni awamu yake. Kelele zinazopigwa hazibadili hilo. 2025 kuna uwezekano mkubwa akachaguliwa tena kumalizia awamu yake ya sita kwa kipindi cha mwisho kama chama kitampitisha.

Kama hii si awamu ya 6, ikitokea akapitishwa na chama akaanza awamu ya 6 yenye vipindi viwili, basi tupo naye for the next 14 years.
Mzee..hivi mnasomaga katiba kama.kitabu cha hadithi ama gazeti!? ..embu Rudi tena kasome katiba vyema kipengele cha endapo Rais atafia madarakani na namna ya kumsimika Makamu wake kuwa Rais ndipo utaelewa usiyojua..
 
Rais wa Zanzibar wa sasa Dr Hussein Mwinyi ni Rais wa awamu ya nane kule Zanzibar. Sasa jiulize hao marais nane wa awamu zote nane walifanya uchaguzi ndio ikaanza kuhesabiwa upya au.....!!.

Simple logic ni kuwa anapoingia madarakani Rais mwengine unaanza kuhesabiwa awamu mpya rejea mfano wa Zanzibar
( i ) Abeid Aman Karume, ( ii ) Abeid Jumbe, ( iii ) Idrissa Abdul Wakili, ( iv ) Ali Hassan Mwinyi, ( v ) Salmin Amour, ( vi ) Aman Abeid Karume, ( vii ) Dr Mohammed Shein, ( viii ) Dr Hussein Ali Mwinyi.
 
Kwa faida ya wote maamuma...term za Rais ziko wazi kikatiba ..ukisoma anatuhusiwa kugombea term Moja..kwa kipindi cha miaka mitano..Kisha kipindi kingine cha pili cha miaka mitano..hii ndio kusema kwamba..JPM alikuwa katika kipindi chake cha pili cha miaka mitano...Mama Samia yeye karithi kipindi hiki cha pili ndio maana kwa kulitambua hilo.katiba inampa kipindi kingine kimoja cha miaka mitano mbele..mara baada ya kumaliza ngwe ya Hayati....so mama Samia yeye ni Rais wa Sita katika awamu ya tano.

Na hiyo 2025 akigombea..akashindwa uchaguzi..aliyeshinda atakuwa Rais wa Saba katika awamu ya Sita...2030 ikitokea mama Samia atagombea tena na kushinda atakuwa Rais wa nane katika awamu ya Sita (kwa kuzingatia Ilani ya chama chake..na katiba )
 
Rais Mama Samia Suluhu Hassan nitakuwa wa mwisho Kukuamini kuwa tupo Awamu ya Sita kama unavyotulazimisha.

Ninachojua tu Generalist na naamini hata wale Waliobarikiwa vyema Akili ni kwamba tupo bado Awamu ya Tano ya Muhula wake wa Pili ( wa mwisho), ila Samia Suluhu Hassan ni Rais wa Sita.

Rais Mama Samia Suluhu Hassan nitakubaliana nawe kuwa tupo Awamu ya Sita pale tu ukichukua Fomu na Kugombea Urais na ukashinda kuanzia mwaka 2025.

Rais wa Awamu ya Tano alikuwa ni Hayati Dkt. John Pombe Magufuli na Wewe kuwa Makamu wake na alipofariki Kikatiba ukaapishwa Wewe kuendelea ndani ya Awamu hii kstika Muhula wake wa mwisho.

Nasikitika tu kuona kuna waliomuamini.

Huyu mama mutake musitake ndio raisi wetu, na ikiwezekana kile kipengele cha kumtaka akamilishe 5years/mihula miwili kifutwe kabisa. Huyu Mama aongoze miaka15 mpaka 30.
 
Kwa faida ya wote maamuma...term za Rais ziko wazi kikatiba ..ukisoma anatuhusiwa kugombea term Moja..kwa kipindi cha miaka mitano..Kisha kipindi kingine cha pili cha miaka mitano..hii ndio kusema kwamba..JPM alikuwa katika kipindi chake cha pili cha miaka mitano...Mama Samia yeye karithi kipindi hiki cha pili ndio maana kwa kulitambua hilo.katiba inampa kipindi kingine kimoja cha miaka mitano mbele..mara baada ya kumaliza ngwe ya Hayati....so mama Samia yeye ni Rais wa Sita katika awamu ya tano.

Na hiyo 2025 akigombea..akashindwa uchaguzi..aliyeshinda atakuwa Rais wa Saba katika awamu ya Sita...2030 ikitokea mama Samia atagombea tena na kushinda atakuwa Rais wa nane katika awamu ya Sita (kwa kuzingatia Ilani ya chama chake..na katiba )
Wewe usiye maamuma, tuambie kwanini Dr. Mwinyi kule Zenji ni Rais wa awamu ya nane?
 
Rais Mama Samia Suluhu Hassan nitakuwa wa mwisho Kukuamini kuwa tupo Awamu ya Sita kama unavyotulazimisha.

Ninachojua tu Generalist na naamini hata wale Waliobarikiwa vyema Akili ni kwamba tupo bado Awamu ya Tano ya Muhula wake wa Pili ( wa mwisho), ila Samia Suluhu Hassan ni Rais wa Sita.

Rais Mama Samia Suluhu Hassan nitakubaliana nawe kuwa tupo Awamu ya Sita pale tu ukichukua Fomu na Kugombea Urais na ukashinda kuanzia mwaka 2025.

Rais wa Awamu ya Tano alikuwa ni Hayati Dkt. John Pombe Magufuli na Wewe kuwa Makamu wake na alipofariki Kikatiba ukaapishwa Wewe kuendelea ndani ya Awamu hii kstika Muhula wake wa mwisho.

Nasikitika tu kuona kuna waliomuamini.
Kwahio Samia ni Rais wa sita wa awamu ya tano?
 
NI AWAMU YA SITA KWA KUWA MAMA ANARUHUSIWA NA KATIBA KUGOMBEA MIAKA MINGINE MITANO TU!
NB: Kama sisi darasa la saba tumeelewa, wewe msomi ulikuwa unasomea ujinga?
1618783767081.png
 
Rais Mama Samia Suluhu Hassan nitakuwa wa mwisho Kukuamini kuwa tupo Awamu ya Sita kama unavyotulazimisha.

Ninachojua tu Generalist na naamini hata wale Waliobarikiwa vyema Akili ni kwamba tupo bado Awamu ya Tano ya Muhula wake wa Pili ( wa mwisho), ila Samia Suluhu Hassan ni Rais wa Sita.

Rais Mama Samia Suluhu Hassan nitakubaliana nawe kuwa tupo Awamu ya Sita pale tu ukichukua Fomu na Kugombea Urais na ukashinda kuanzia mwaka 2025.

Rais wa Awamu ya Tano alikuwa ni Hayati Dkt. John Pombe Magufuli na Wewe kuwa Makamu wake na alipofariki Kikatiba ukaapishwa Wewe kuendelea ndani ya Awamu hii kstika Muhula wake wa mwisho.

Nasikitika tu kuona kuna waliomuamini.
Swali ambalo anatakiwa kujiuliza ni kuwa iwapo jpm angekuwa amesafiri au yuko kwenye matibabu ya muda mrefu automatically anayeongoza nchi ni yeye, je angesimama kwenye jukwaa na kusema hii ni serikali ya awamu ya sita? Then jpm akirudi anasema ni serikali ya awamu ya 5. Awamu za serikali zinatokana na UCHAGUZI sasa hapa hakuna uchaguzi mwingine uliofanyika.
 
Back
Top Bottom