Kwanini tunapenda kuigana?

Kwanini tunapenda kuigana?

Kuna wengine wanaiga kwa manufaa na wengine kwa nia mbovu.
Tatizo kubwa la kuiga kwa nia mbovu ni kukosa Ubunifu ambao unachangiwa na uvivu wa kufikiri.
Unakuta Mtu ana copy na ku paste kitu without editing, kama ni gari basi atanunua la rangi na design kama yako.

Kuiga kitu kama umeona kwa mtu na unapendezwa si vibaya, but at least try to put some work into it, with some little changes.
 
Unamkaribisha mtu ndani kwako anaanza tv nzuri umenunua wapi na mimi nikainunue kochi zuri na mimi lazima nilinunue, mwingine utasikia nguo hii nzuri umenunua wapi na mimi niinunue. Hii pia iko kwenye magari ndio maana utaona ikiingia brevis kila mtu brevis, ikija crown kila mtu crown sasa hivi vanguard si wanawake si wanaume kila kona vanguard.

Tatizo nini ushamba, hatuna taste au hatuna ubunifu au uvivu wa kufikiri?
Hapa naigwa mpka nikipumua
 
Kuna wengine wanaiga kwa manufaa na wengine kwa nia mbovu.
Tatizo kubwa la kuiga kwa nia mbovu ni kukosa Ubunifu ambao unachangiwa na uvivu wa kufikiri.
Unakuta Mtu ana copy na ku paste kitu without editing, kama ni gari basi atanunua la rangi na design kama yako.

Kuiga kitu kama umeona kwa mtu na unapendezwa si vibaya, but at least try to put some work into it, with some little changes.
At least umenielewa.
 
Unamkaribisha mtu ndani kwako anaanza tv nzuri umenunua wapi na mimi nikainunue kochi zuri na mimi lazima nilinunue, mwingine utasikia nguo hii nzuri umenunua wapi na mimi niinunue. Hii pia iko kwenye magari ndio maana utaona ikiingia brevis kila mtu brevis, ikija crown kila mtu crown sasa hivi vanguard si wanawake si wanaume kila kona vanguard.

Tatizo nini ushamba, hatuna taste au hatuna ubunifu au uvivu wa kufikiri?


Kutojitambua na kutojiamini kwani hata mafundi wa fenicha pale Chang'ombe wanatengeneza the same thing yaani hawana ubunifu hata kidogo.
 
Me naomba kuwa tofauti na wewe, Kwani nini maana ya Fashion Show na Trending Fashion!?
 
Who felt bad? Im surprised we cant understand hata Kiswahili?
Heading : Kwanini tunaigana?
Ending: Tatizo ni ushamba? Hatuna taste etc? Still questioning. I waa expecting good explaination as to why is that so(u tried) but ending by saying why feeling bad.
Why people conclude otherwise?

Nimekuelewa sana mkuu, myself napenda kuwa unique nachukia sana mtu anapotaka kuwa/ kutumia nguvu nyingi kuwa kama mimi na wengine mbaka personality anataka kuiga , seriously [emoji19]??? Ukitaka kuwa mimi, mimi nitakuwa nani??
 
Labda hujaelewa, soma vizuri. Kuna,watu hawanunui kitu mpaka waone mtu mwingine kanunua. Ndio hao akikuona hata na viatu anataka umuelekeze duka akavinunue.

Pia tunaweza kununua vitu kuwaonesha watu,au kujiweka tofauti au kukidhi mahitaji. Yote yanawezekana.
Dah....labda iwe katika vitu visivyo na tija katika maisha yetu.....lakini kwa vile vyenye tija katika uzalishaji...au urahisi katika kupambana na mazingira yetu....ni mjinga tu ataumiza kichwa badala ya kukopi na kupest....
 
Unakuta foleni gari kumi zimeongozana IST....
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
hazili mafuta eti zinanusa kama pakaa
 
Dah....labda iwe katika vitu visivyo na tija katika maisha yetu.....lakini kwa vile vyenye tija katika uzalishaji...au urahisi katika kupambana na mazingira yetu....ni mjinga tu ataumiza kichwa badala ya kukopi na kupest....
Ok.
 
Back
Top Bottom