Kwanini Tundu Lissu aliitwa ‘Chief Whip‘ Opposition Leader ndani na nje ya Nchi?

Kwanini Tundu Lissu aliitwa ‘Chief Whip‘ Opposition Leader ndani na nje ya Nchi?

Wakuu tukirudi nyuma kidogo kwenye siasa za Bongo hapo nyuma kulikuwa na siasa za Weka chuma niweke Ugoko.

Jambo moja ninalokumbuka huyu bwana anayeitwa Tundu Lissu alitambulika na kupata umaarufu na hatimaye Vyombo vya habari vya ndani na nje ya Nchi vilimtambua kama Chief Whip Opposition leader.

Kwa tafsiri isiyo rasmi Whip ni Mjeledi. Mjeledi ni rimba ndefu laini mithiri ya mpira yakni kitu kinachoweza kupinda na kuvutika. Inasemekana mtu akipigwa viboko kwa rimba hii maumivu yake ni balaa.

Hata website ya serikali yaani ya Bunge la Tanzania lilimtambulisha hivyo.
Tundu lisu nyaghamba
 
Back
Top Bottom