Uchaguzi 2020 Kwanini Tundu Lissu anarudia kanda ya Ziwa badala ya kwenda Kanda ya Kusini?

Uchaguzi 2020 Kwanini Tundu Lissu anarudia kanda ya Ziwa badala ya kwenda Kanda ya Kusini?

Hapa wilayani Chato hakuna dalili za ugeni nadhani kapiga U turn!
Ngoja niende Twitter, huko hakuna uongo watu wana picha za sattelite hivyo hakuna longolongo. Alternativly, nasikia hali ya usalama wake ni ndogo wameamua asiende
 
Kipindi alichokuwa amefungiwa ndio Tume ilikuwa imempangia Tundu Lissu awe mikoa ya kusini.

ACT na CDM walikuwa wamepanga jambo lao tarehe 3 October lakini Tume na CCM wakawahujumu kwa kumfungia TL kufanya kampeni.

Ratiba ya Tume ya Uchaguzi ndio inaelekeza mkoa / wilaya ambayo mgombea Uraisi anatakiwa kufanya kampeni.
Tusidanganyane bhana hebu tuwekee hiyo ratiba hapa na uthibitisho wote kama ulivyo
 
Mhaya ambaye hana akili ndiyo wewe nimeona kwa mara ya kwanza, wakurya hawezi kuchagua mtu katili hata dak moja
Wewe mwenye akili nitakuona tarehe 29 ukilalama kuibiwa. Kadeki lami huko!
 
Mosi..
Anajua kuwa kanda ya ziwa wanamkubali sana zaidi ya alivyodhani ivyo ana uhakika wa kutapata kura za kutosha pale.

Pili.
Kanda ya ziwa waliamasishwa kujiandikishwa sana na kwa upendeleo na ccm kwan wanajua baba j anatokea uko ivyo angezoa kura za kutosha, sasa TAL ana capitalise iyo fursa ije kwake.

Mwisho.
Watu wa kanda ya ziwa ni opposers by nature hasa ukianzia watu wa musoma, wahaya na wajuaji wa mwanza wamekuwa waelewa sana wa mambo wakieleweshwa na wana misimamo.
Kwa ayo apo kanda ya ziwa ni nono kwa wanasiasa
Kama ni mwanasiasa aliyekomaa atumie nafasi hii kurekebisha agenda za kampeni zake na kufafanua Sera ya chama chake ya Uhuru, Haki na Maendeleo ya Watu.

Aeleze ni Tanzania gani anataka kuijenga.

Aeleze ni kwa jinsi gani Sera hiyo itamtoa Mtanzania hapa alipo kuelekea huko anakowapeleka.

Watanzania wengi bado wanahitaji huduma bora za jamii, aeleze jinsi Sera hiyo itafanikisha.
 
Kama ni mwanasiasa aliyekomaa atumie nafasi hii kurekebisha agenda za kampeni zake na kufafanua Sera ya chama chake ya Uhuru, Haki na Maendeleo ya Watu.

Aeleze ni Tanzania gani anataka kuijenga.

Aeleze ni kwa jinsi gani Sera hiyo itamtoa Mtanzania hapa alipo kuelekea huko anakowapeleka.

Watanzania wengi bado wanahitaji huduma bora za jamii, aeleze jinsi Sera hiyo itafanikisha.
Punguani hana la kuwapa watanzania. Hiyo saccos itakula jeuri yake 28 oct.
 
Jamaa anapiga kampeni kwenye barabara za lami tu, hawezi kwenda Kyala wala Lupaso, hata huko kanda ya ziwa haendi Kibara wala Karumwa. Kaenda Ikungi hakulala kwao kwani hana nyumba, hata mamake hajamjengea, sasa hivi anaenda kula bata Rubondo, kumbe wanyiramba tabia zao zilezile
Pumbavu kweli Wewe, nani Alikwambia Lissu ni Mnyiramba? Wanyiramba mnao huko Fisiemu majinga yenu Mwigulu na Kitila...
Kwa hiyo unatutukana Wanyiramba tukutane 28/10/2020
Utakutana na nani nyau we
 
Wewe naye takataka tu. Ester Matiku, Ester Bulaya, John Heche, Bukoba katoka Rwakatale.
Daaaah, inasikitisha kwa kweli..
Kuanzia Mwanza, Shinyanga, Musoma, Bukoba, Geita na Simiyu bado wanahesabu Wabunge wanne watano wa Upinzani...!!!??
Tambua kwamba, Safari ya MAGEUZI bado sana..
Hapo ilitakiwa kuwe na Wabunge anagalau ishirini hivi... Hivi Unajua kwamba mikoa hiyo mitano Ina majimbo zaidi ya 40...!??
AJABU Kuna watu wanajaji kanda ya ziwa kwa kuangalia jimbo la Heche, kina Esther kumbe Kuna majimbo mengine 35 yako CCM
 
Daaaah, inasikitisha kwa kweli..
Kuanzia Mwanza, Shinyanga, Musoma, Bukoba, Geita na Simiyu bado wanahesabu Wabunge wanne watano wa Upinzani...!!!??
Tambua kwamba, Safari ya MAGEUZI bado sana..
Hapo ilitakiwa kuwe na Wabunge anagalau ishirini hivi... Hivi Unajua kwamba mikoa hiyo mitano Ina majimbo zaidi ya 40...!??
AJABU Kuna watu wanajaji kanda ya ziwa kwa kuangalia jimbo la Heche, kina Esther kumbe Kuna majimbo mengine 35 yako CCM
Hao akina ester unawahesabu? Washakatiwa shanga mbona
 
Back
Top Bottom