Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na yeye yuko geleji wanaziba pancha na kumwaga oiliNaona Prof Lipumba anazunguruka nchi nzima!
Ok
Kwahiyo kusini hataenda tena?
Ratiba ya tume ya uchaguzi ipo. Ndio maana kuna kesi za "Unlawful assembly"Tundu Lissu yuko Tabora akielekea Shinyanga kwa ajili ya mikutano ya kampeni.
Nauliza tu kwanini haendi kanda ya Kusini?
Maendeleo hayana vyama!
Anayemtaka LISSU aende kanda ya kusini aangalie ratiba ya TUME YA UCHAGUZINi lini ambapo mkulu kaenda kanda ya kusini!?
Mosi..
Anajua kuwa kanda ya ziwa wanamkubali sana zaidi ya alivyodhani ivyo ana uhakika wa kutapata kura za kutosha pale.
Pili.
Kanda ya ziwa waliamasishwa kujiandikishwa sana na kwa upendeleo na ccm kwan wanajua baba j anatokea uko ivyo angezoa kura za kutosha, sasa TAL ana capitalise iyo fursa ije kwake.
Mwisho.
Watu wa kanda ya ziwa ni opposers by nature hasa ukianzia watu wa musoma, wahaya na wajuaji wa mwanza wamekuwa waelewa sana wa mambo wakieleweshwa na wana misimamo.
Kwa ayo apo kanda ya ziwa ni nono kwa wanasiasa
Heche ni baba yako? Matiko na Bulaya ni mama zako? Ukerewe kabla ya figisu lilikuwa linaongozwa na babako? Huna akili mwamba!CHADEMA ina mbunge hata mmoja kanda ya ziwa?
Hii nayo ni sera? Kweli maccm mmepakatwa!Jamaa anapiga kampeni kwenye barabara za lami tu, hawezi kwenda Kyala wala Lupaso, hata huko kanda ya ziwa haendi Kibara wala Karumwa. Kaenda Ikungi hakulala kwao kwani hana nyumba, hata mamake hajamjengea, sasa hivi anaenda kula bata Rubondo, kumbe wanyiramba tabia zao zilezile
Tundu Lissu yuko Tabora akielekea Shinyanga kwa ajili ya mikutano ya kampeni.
Nauliza tu kwanini haendi kanda ya Kusini?
Maendeleo hayana vyama!
wewe unakuhusu?Tundu Lissu yuko Tabora akielekea Shinyanga kwa ajili ya mikutano ya kampeni.
Nauliza tu kwanini haendi kanda ya Kusini?
Maendeleo hayana vyama!
Kwani Tundu Lisu anatumia ili mliyokodi hapo Ufipa?Kuna mtoto anauliza hapa
Kwani Magufuli hatumii ile chopper mliyoikodi kutoka Kenya ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Badala ya kujibu wewe unauliza.Heche ni baba yako? Matiko na Bulaya ni mama zako? Ukerewe kabla ya figisu lilikuwa linaongozwa na babako? Huna akili mwamba!
Barabara gani umejenga wewemanyoko tujenge barabara yeye aje kutupa shombo, aende ikungi aka share umasikini na wanyiramba wenzake
Tumia vizuri akili yako mwamba! Kichwa siyo cha kufugia chawa mwamba!Badala ya kujibu wewe unauliza.
Hovyo kabisa we mchaga, nadhani wewe siyo machame ni wale wachovu wa rombo!
Kipara hakifugi chawa meku!Tumia vizuri akili yako mwamba! Kichwa siyo cha kufugia chawa mwamba!