Uchaguzi 2020 Kwanini Tundu Lissu anarudia kanda ya Ziwa badala ya kwenda Kanda ya Kusini?

Uchaguzi 2020 Kwanini Tundu Lissu anarudia kanda ya Ziwa badala ya kwenda Kanda ya Kusini?

Ukiangalia huu ushabiki humu, huwa najiuliza hivi hawa wanasiasa wanavyopitia hizi comments zetu humu huwa wanatuonaje sie wananchi?
 
Anatapatapa tu. Hajuwi hata alitakalo. Subiri uone atakavyogalagazwa...bora arudi tu kule ushogani alipokuwa anatunzwa na wanaume wenzake..
 
Mosi..
Anajua kuwa kanda ya ziwa wanamkubali sana zaidi ya alivyodhani ivyo ana uhakika wa kutapata kura za kutosha pale.

Pili.
Kanda ya ziwa waliamasishwa kujiandikishwa sana na kwa upendeleo na ccm kwan wanajua baba j anatokea uko ivyo angezoa kura za kutosha, sasa TAL ana capitalise iyo fursa ije kwake.

Mwisho.
Watu wa kanda ya ziwa ni opposers by nature hasa ukianzia watu wa musoma, wahaya na wajuaji wa mwanza wamekuwa waelewa sana wa mambo wakieleweshwa na wana misimamo.
Kwa ayo apo kanda ya ziwa ni nono kwa wanasiasa
 
Jamaa anapiga kampeni kwenye barabara za lami tu, hawezi kwenda Kyala wala Lupaso, hata huko kanda ya ziwa haendi Kibara wala Karumwa. Kaenda Ikungi hakulala kwao kwani hana nyumba, hata mamake hajamjengea, sasa hivi anaenda kula bata Rubondo, kumbe wanyiramba tabia zao zilezile
Hii nayo ni sera? Kweli maccm mmepakatwa!
 
Kusini kufanya nini wakati uko magufuli ameshakataliwa kitambo? Kanda ya ziwa ndyo mbumbumbu wengi waanatakiwa waelimishwe zaidi.

Haiwezekani unaishi within 5km kutoka ziwa victoria alafu maji mnapata kwa mgao.
 
Tundu Lissu yuko Tabora akielekea Shinyanga kwa ajili ya mikutano ya kampeni.

Nauliza tu kwanini haendi kanda ya Kusini?

Maendeleo hayana vyama!

Jaribu kuomba uingie kwenye vikao vyao vya kampeni upate taarifa na maelekezo! Sisi tunajuaje
 
Heche ni baba yako? Matiko na Bulaya ni mama zako? Ukerewe kabla ya figisu lilikuwa linaongozwa na babako? Huna akili mwamba!
Badala ya kujibu wewe unauliza.

Hovyo kabisa we mchaga, nadhani wewe siyo machame ni wale wachovu wa rombo!
 
Kusini wala haina haja ya kampeni maana walima koroshow wana vichinjiovyao wanasubiri Nda tu..! Enheewanasubiri Nda na sio Muda.
 
Back
Top Bottom