Uchaguzi 2020 Kwanini Tundu Lissu anarudia kanda ya Ziwa badala ya kwenda Kanda ya Kusini?

Uchaguzi 2020 Kwanini Tundu Lissu anarudia kanda ya Ziwa badala ya kwenda Kanda ya Kusini?

Kichwa chako ni sanduku la kutunzia meno tu bwashee!
 
Kama kuna mtu anakiunga mkono Chadema kutoka Kanda ya Ziwa hukuwahi kusafiri na Super Najimunisa kwa barabara ya Vumbi ama kupita Nairobi via barabara ya Lami ipitayo Moshi hatimaye Namanga.
Kwahiyo Chadema ndio walikuwa wamefunga njia?

Hivi kuchwa unafugia nywele tu?
 
Serikali zote Duniani zinajenga mabarabara.

Nyerere alijenga,mwinyi, mkapa,kikwete , magufuli na lissu atajenga.

Tunataka UHURU kwanza.

Tundulissu2020
Haya mawazo ya kijinga tu, ulishasikia barabara inajengwa DRC au Sudan ya kusini? nyerere miaka 25 alijenga pugu road tu tena kutoka fire hadi magomeni iliyojengwa na kajima, hivi watu walioshindwa kujenga hata ofisi ya chama wanakueleza nawewe unawasikiliza? we mjinga kiasi gani wewe?
 
Jamaa anapiga kampeni kwenye barabara za lami tu, hawezi kwenda Kyala wala Lupaso, hata huko kanda ya ziwa haendi Kibara wala Karumwa. Kaenda Ikungi hakulala kwao kwani hana nyumba, hata mamake hajamjengea, sasa hivi anaenda kula bata Rubondo, kumbe wanyiramba tabia zao zilezile
Pumbavu kweli Wewe, nani Alikwambia Lissu ni Mnyiramba? Wanyiramba mnao huko Fisiemu majinga yenu Mwigulu na Kitila...
 
Lissu alishaeleweka kila kona ya Tanzania hata kabla hajaanza campaigns, Lissu alieleweka toka hata kabla hajatua Tanzania. Wengi walitamani awepo na ujio wake uliibua hisia za furaha ya wengi.
leo kahama kaonja joto ya jiwe, tunamsubiri katoro akikatiza atakuwa mwanaume
 
Serikali zote Duniani zinajenga mabarabara.

Nyerere alijenga,mwinyi, mkapa,kikwete , magufuli na lissu atajenga.

Tunataka UHURU kwanza.

Tundulissu2020
nyerere alijenga barabara gani? sialijenga magomeni pugu road na mza musoma alivyokaribia kustaafu, mwinyi alijenga ipi? tatizo jf yamejaa matoto ya 90s
 
Tundu Lissu yuko Tabora akielekea Shinyanga kwa ajili ya mikutano ya kampeni.

Nauliza tu kwanini haendi kanda ya Kusini?

Maendeleo hayana vyama!
Inajulikana amejipanga kutumia wahuni kufanyafujo huko hasa anatumia wahuni kutoka kwenye majimbo ya madini kutoka Kahama na maeneo ya jirani lakini nasikia taarifa zimeshavuja!
 
Back
Top Bottom