Uchaguzi 2020 Kwanini Tundu Lissu anarudia kanda ya Ziwa badala ya kwenda Kanda ya Kusini?

Uchaguzi 2020 Kwanini Tundu Lissu anarudia kanda ya Ziwa badala ya kwenda Kanda ya Kusini?

Mosi..
Anajua kuwa kanda ya ziwa wanamkubali sana zaidi ya alivyodhani ivyo ana uhakika wa kutapata kura za kutosha pale....
Sababu wanapakana na nchi jirani thus akili zao zinachaji. Ila tu Kama watarudia kosa Tena wajiandae kubomolewa nyumba zao Kama kimara
 
Tatizo lake papara ameshazunguka kote hadi wananchi waliokuwa na hamu ya kumuona kiu yao ishaisha ata uchaguzi bado. Sasa hivi amebaki kumuongelea Magufuli tu.
 
... hakuna mahali wamemwelewa Tundu Lissu kama Kusini. Akiamua kwenda ni kuwajulia hali tu sio kupiga kampeni maana huko alishaeleweka kitambo sana.
Lissu alishaeleweka kila kona ya Tanzania hata kabla hajaanza campaigns, Lissu alieleweka toka hata kabla hajatua Tanzania. Wengi walitamani awepo na ujio wake uliibua hisia za furaha ya wengi.
 
Mwache Atape tape tu
Kipigo atakacho pokea mwaka huu hata kuwa na hamu tena
 
  • Thanks
Reactions: nao
Huko ndikoo kilipo kibiriti kunako Okt. 29-30. Tusubiri NEC-fyoko itokee tuje kushuhudia TAL akiwasha kibiriti.
 
Uko sahihi, naueaza ubabe wa magu na kule blb walimzomea akawa mnyonge, sihipatii picha wahaya revenge watakayopewa pale atakaporudi tena madarakani, sincetely lzm tupige kura nying za hapana ili hasirud ikulu
Sababu wanapakana na nchi jirani thus akili zao zinachaji.
Ila tu Kama watarudia kosa Tena wajiandae kubomolewa nyumba zao Kama kimara
 
Uko sahihi, naueaza ubabe wa magu na kule blb walimzomea akawa mnyonge, sihipatii picha wahaya revenge watakayopewa pale atakaporudi tena madarakani, sincetely lzm tupige kura nying za hapana ili hasirud ikulu
Ataleta tetemeko kabisa liwafukie wote
 
Sasa kama hujui na kabila la Tl ni lipi si wewe ni ovyo tu.

Moneomwanyokwe na veve
Jamaa anapiga kampeni kwenye barabara za lami tu, hawezi kwenda Kyala wala Lupaso, hata huko kanda ya ziwa haendi Kibara wala Karumwa. Kaenda Ikungi hakulala kwao kwani hana nyumba, hata mamake hajamjengea, sasa hivi anaenda kula bata Rubondo, kumbe wanyiramba tabia zao zilezile
 
Tundu Lisu yuko Tabora akielekea Shinyanga kwa ajili ya mikutano ya kampeni.

Nauliza tu kwanini haendi kanda ya kusini?

Maendeleo hayana vyama!

Kwanini Mgombea wa CCM baada ya kufika Njombe hakwenda Ludewa akatoa heshima kwenye kaburi la marehemu Filikunjombe, akafika Lituhi kwenye kaburi la Kapteni Komba, angeenda Liuli mpaka Mbambabay akamwage sera zake pale???
 
Kama kuna mtu anakiunga mkono Chadema kutoka Kanda ya Ziwa hukuwahi kusafiri na Super Najimunisa kwa barabara ya Vumbi ama kupita Nairobi via barabara ya Lami ipitayo Moshi hatimaye Namanga.
 
Subiria Oct 28.

Hujui anayevunja ratiba za tume ni jiwe?

Hujui kachero mbobezi hajawahi kampeni kwingine zaidi ya kusini?

Hujui kuwa ACT washasema Lissu tosha!
Na pia sijui kama ACT kusini wamemaliza kazi.
 
Kama kuna mtu anakiunga mkono Chadema kutoka Kanda ya Ziwa hukuwahi kusafiri na Super Najimunisa kwa barabara ya Vumbi ama kupita Nairobi via barabara ya Lami ipitayo Moshi hatimaye Namanga.
Serikali zote Duniani zinajenga mabarabara.

Nyerere alijenga,mwinyi, mkapa,kikwete , magufuli na lissu atajenga.

Tunataka UHURU kwanza.

Tundulissu2020
 
Back
Top Bottom