ORCA ACE
JF-Expert Member
- Jan 18, 2020
- 1,449
- 1,708
Hallaa, kumbe musukuma ndie johnbaptist?? Lol
Yaani umekuwa mjinga hata kushindwa kujua kuwa Bunda, Tarime zote, Bukoba, Ukerewe kabla ya biashara ya utumwa kote huko ni Kanda ya ziwa?
Isije kuwa humu JF tunajadiliana na mtu kiwango cha Livingstone Lusinde au Musukuma anayekwenda kwa jina LA johnthebaptist !!