Uchaguzi 2020 Kwanini Tundu Lissu anarudia kanda ya Ziwa badala ya kwenda Kanda ya Kusini?

Uchaguzi 2020 Kwanini Tundu Lissu anarudia kanda ya Ziwa badala ya kwenda Kanda ya Kusini?

Yaani umekuwa mjinga hata kushindwa kujua kuwa Bunda, Tarime zote, Bukoba, Ukerewe kabla ya biashara ya utumwa kote huko ni Kanda ya ziwa?
Isije kuwa humu JF tunajadiliana na mtu kiwango cha Livingstone Lusinde au Musukuma anayekwenda kwa jina LA johnthebaptist !!
Kwani wewe unamzidi nini Kibajaji au Msukuma?

Tuanzie hapo?
 
..Kipindi alichokuwa amefungiwa ndio Tume ilikuwa imempangia Tundu Lissu awe mikoa ya kusini.

..ACT na CDM walikuwa wamepanga jambo lao tarehe 3 October lakini Tume na CCM wakawahujumu kwa kumfungia TL kufanya kampeni.

..Ratiba ya Tume ya Uchaguzi ndio inaelekeza mkoa / wilaya ambayo mgombea Uraisi anatakiwa kufanya kampeni.
Hakuna mtu aliyemhujumu Tundu Lissu. Tundu Lissu alifungiwa kama adhabu aliyopewa na Kamati ya Maadili inayoundwa na vyama vyote. Adhabu hiyo imetokana na kitendo cha Tundu Lissu kutoa kauli za uongo zinazolenga kuchafua amani ya nchi yetu. Tundu Lissu alipoitwa kutoa maelezo kwenye kikao cha kamati akakaidi kuhudhuria.

Ni upotoshaji kusema kuwa alifungiwa kwa hujuma.
 
jamaa anapiga kampeni kwenye barabara za lami tu, hawezi kwenda kyala wala lupaso, hata huko kanda ya ziwa haendi kibara wala karumwa. Kaenda ikungi hakulala kwao kwani hana nyumba, hata mamake hajamjengea, sasa hivi anaenda kula bata rubondo, kumbe wanyiramba tabia zao zilezile
Du wwgombea wameishiwa ,mashabiki nanyi.mnaongea pumba ...hivi Ni kweli CCM imefikia hapa!
 
Wewe naye takataka tu. Ester Matiku, Ester Bulaya, John Heche, Bukoba katoka Rwakatale.
Hao ndio akina nani bwashee?

Hahahaaaa...... Miye nawajua akina Lema, Mbowe, Mdee, Lijualikali, Silinde, Mwambe na Selasini.

Kuuliza siyo ujinga bwashee!
 
Tundu Lisu yuko Tabora akielekea Shinyanga kwa ajili ya mikutano ya kampeni.

Nauliza tu kwanini haendi kanda ya kusini?

Maendeleo hayana vyama!

Hujui kuwa ratiba za tume zinafuatwa na pia kuwa kusini mshirika kachero mbobezi kesha fanya ya kutosha?
 
jamaa anapiga kampeni kwenye barabara za lami tu, hawezi kwenda kyala wala lupaso, hata huko kanda ya ziwa haendi kibara wala karumwa. Kaenda ikungi hakulala kwao kwani hana nyumba, hata mamake hajamjengea, sasa hivi anaenda kula bata rubondo, kumbe wanyiramba tabia zao zilezile
Unakata viuno tu, Lisu ni Mnyaturu.
 
Kusini Hamna lenu,Kanda ya ziwa anarudi kumwaga Sera vizuri na kupiga spana sawa sawa.Awanu hii mtaimba nyimbo zote.
Afu ule wimbo wao wa sisiem mbele kwa mbele siusikii, au ndio hata na CD wamezitupa tayari wameona upepo unaelekea nyuma kwa nyuma....
 
Hakuna mtu aliyemhujumu Tundu Lissu. Tundu Lissu alifungiwa kama adhabu aliyopewa na Kamati ya Maadili inayoundwa na vyama vyote. Adhabu hiyo imetokana na kitendo cha Tundu Lissu kutoa kauli za uongo zinazolenga kuchafua amani ya nchi. Tundu Lissu alipoitwa kutoa maelezo kwenye kikao cha kamati akakaidi kuhudhuria.

Ni upotoshaji kusema kuwa alifungiwa kwa hujuma.
Kamati ya maadili imejaa vyama vibaraka wa ccm.

Ndio maana tunasema kuna hujuma imefanyika.

Baadhi ya vyama ktk kamati ya maadili vilikuwa vinampiga vita TL hata akiwa hospitali anajiuguza.

Kamati ingeweza kutoa adhabu ya faini, karipio, etc, lakini uchaguzi huu kamati imekuwa ikiwasimamisha wagombea wa Cdm kufanya kampeni. Je, ni kweli kwamba wanaokosea ktk kampeni ni Cdm peke yao?
 
Jibu swali meku!
sehemu ya kuweka nguvu ni ile ngome ya mpinzani wako ,kama hamna mbunge huko ina maana haikuwa ngome ya chadema kwahiyo lazima arudi ,bila shaka umelewa vizuri zamu hii kama hujaelewa bado utakuwa unasumbuliwa na uzezeta
 
Chadema ina mbunge hata mmoja kanda ya ziwa?
Unamjua John Heche aliyekuwa mbunge wa Tarime Vijijini, au Ester Matiko aliyekuwa mbunge wa Tarime Mjini?? au Ester Bulaya aliyekuwa mbunge wa Bunda?? Unamjua Wilfred Rwakatale aliyekuwa mbunge wa Bukoba mjini? Wabunge wote hawa walikuwa wabunge wa chadema wakitoka Kanda ya ziwa.
 
sehemu ya kuweka nguvu ni ile ngome ya mpinzani wako ,kama hamna mbunge huko ina maana haikuwa ngome ya chadema kwahiyo lazima arudi ,bila shaka umelewa vizuri zamu hii kama hujaelewa bado utakuwa unasumbuliwa na uzezeta
Nimekuelewa meku lakini huku kusini tunamsubiri pia!
 
Back
Top Bottom