Kwani arusha, moshi, morogoro, dodoma zanzibar hajafika?A
Anajilinganisha na jiwe, akija kushituka kapiga kampeni dar na kanda ya ziwa tu, mwishoe aanze kulia lia kaibiwa kura!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani arusha, moshi, morogoro, dodoma zanzibar hajafika?A
Anajilinganisha na jiwe, akija kushituka kapiga kampeni dar na kanda ya ziwa tu, mwishoe aanze kulia lia kaibiwa kura!
Na kwanini pia 'Mgombea' wako ambaye 'Unamlamba' sana Miguu yake Yeye 'Hotuba' zake 'zinajirudia' tu hana 'Jipya' hadi sasa 'anakera' wengi tu?Tundu Lisu yuko Tabora akielekea Shinyanga kwa ajili ya mikutano ya kampeni.
Nauliza tu kwanini haendi kanda ya kusini?
Maendeleo hayana vyama!
Nashukuru bwashee!johnthebaptist ,
..ratiba ya wagombea Uraisi toleo la 5 hii hapa chini.
..naamini toleo la 6 ndiyo itakuwa ya mwisho, lakini bado sijaiona.
NB:
..kuna uzi nimeusahau niliweka ratiba ya Lissu na Salum Mwalimu mpaka tarehe 17 mwezi huu.
https://www.nec.go.tz/uploads/documents/sw/1601631440-RATIBA YA KAMPENI TOLEO LA TANO.pdf
Wewe ni adui yetu, kamwe huwezi kuzijua mbinu na njia zetuTundu Lisu yuko Tabora akielekea Shinyanga kwa ajili ya mikutano ya kampeni.
Nauliza tu kwanini haendi kanda ya kusini?
Maendeleo hayana vyama!
johnthebaptist,Nashukuru bwashee!
Haya ni matumizi mabaya sana ya akiliCHADEMA ina mbunge hata mmoja kanda ya ziwa?
Inaitwa strategy formulationIyo ina itwa counter attack
Ni boya fulanihapajui hata kanda ya ziwa
KabisaKanda ya ziwa kwake ni Chattle tu.
Taaahira jingine hili. Wanaowajengea mama zao wanaweka matangazo kwenye biilboards? mmeishafanywa mazezetajamaa anapiga kampeni kwenye barabara za lami tu, hawezi kwenda kyala wala lupaso, hata huko kanda ya ziwa haendi kibara wala karumwa. Kaenda ikungi hakulala kwao kwani hana nyumba, hata mamake hajamjengea, sasa hivi anaenda kula bata rubondo, kumbe wanyiramba tabia zao zilezile
Kuna yule mgombea anafanya kampeni DSM wiki sasa, anazunguka tu na akaona haitoshi akaamua kabisa kutumia shughuli ya kiserikali kufanya kampeni.Tundu Lisu yuko Tabora akielekea Shinyanga kwa ajili ya mikutano ya kampeni.
Nauliza tu kwanini haendi kanda ya kusini?
Maendeleo hayana vyama!
hata wao hawakujuiSema siwajui hao akina Easter!
Hapo sasa tunaanza kudanganyana mchana!Hujui kuwa ratiba za tume zinafuatwa na pia kuwa kusini mshirika kachero mbobezi kesha fanya ya kutosha?
Hapo sasa tunaanza kudanganyana mchana!
Umemsahau Highness Kiwia wa Ilemela.Ahsante bwashee nimemkumbuka na Wenje wa Nyamagana na yule Machemli wa ukerewe
Uoni Mwalimu anavyoibomoa ccm kusini,Tundu Lisu yuko Tabora akielekea Shinyanga kwa ajili ya mikutano ya kampeni.
Nauliza tu kwanini haendi kanda ya kusini?
Maendeleo hayana vyama!
itakuwa kwa maelekezo ya tume kwani ratiba yake inasemajeTundu Lisu yuko Tabora akielekea Shinyanga kwa ajili ya mikutano ya kampeni.
Nauliza tu kwanini haendi kanda ya kusini?
Maendeleo hayana vyama!