Uchaguzi 2020 Kwanini Tundu Lissu anarudia kanda ya Ziwa badala ya kwenda Kanda ya Kusini?

Uchaguzi 2020 Kwanini Tundu Lissu anarudia kanda ya Ziwa badala ya kwenda Kanda ya Kusini?

Tundu Lissu yuko Tabora akielekea Shinyanga kwa ajili ya mikutano ya kampeni.

Nauliza tu kwanini haendi kanda ya Kusini?

Maendeleo hayana vyama!

Hajawahi fika meatu,simiyu, masunbwe ,bukombe, na uelewe yeye anafuata ratiba ya Tume.

Bado mikoa ifuatayo
Arusha
Tanga
Lindi
Mtwara
Pwani
Lakini tunachoshukuru makamu yupo vizuri kwa sera kwahiyo hata asipokwenda tayari maamuzi watu washayafanya
 
Jamaa anapiga kampeni kwenye barabara za lami tu, hawezi kwenda Kyala wala Lupaso, hata huko kanda ya ziwa haendi Kibara wala Karumwa. Kaenda Ikungi hakulala kwao kwani hana nyumba, hata mamake hajamjengea, sasa hivi anaenda kula bata Rubondo, kumbe wanyiramba tabia zao zilezile
Acha umbeya
 
Kuna yule mgombea anafanya kampeni DSM wiki sasa, anazunguka tu na akaona haitoshi akaamua kabisa kutumia shughuli ya kiserikali kufanya kampeni.

Mwambie avuke Daraja la Mkapa aende kule alikolala 'Che Benja'
Ukiwa na kale kaugonjwa ka homa ya matumbo huwezi kuwa mbali na maliwato,😆😆😆😆
 
manyoko tujenge barabara yeye aje kutupa shombo, aende ikungi aka share umasikini na wanyiramba wenzake
We nguruwe wa lumumba naona upo zamu ,nguruwe wenzako mbona wapo kimya sahizi
 
Jamaa anapiga kampeni kwenye barabara za lami tu, hawezi kwenda Kyala wala Lupaso, hata huko kanda ya ziwa haendi Kibara wala Karumwa. Kaenda Ikungi hakulala kwao kwani hana nyumba, hata mamake hajamjengea, sasa hivi anaenda kula bata Rubondo, kumbe wanyiramba tabia zao zilezile
Uko pote mbna kaishapita adi nzera, sengelema Mzee wenu ndio hali tete dar tu pamemshinda kumaliza
 
Tundu Lisu yuko Tabora akielekea Shinyanga kwa ajili ya mikutano ya kampeni.

Nauliza tu kwanini haendi kanda ya kusini?

Maendeleo hayana vyama!

Hakuna mtu aliyemhujumu Tundu Lissu. Tundu Lissu alifungiwa kama adhabu aliyopewa na Kamati ya Maadili inayoundwa na vyama vyote. Adhabu hiyo imetokana na kitendo cha Tundu Lissu kutoa kauli za uongo zinazolenga kuchafua amani ya nchi yetu. Tundu Lissu alipoitwa kutoa maelezo kwenye kikao cha kamati akakaidi kuhudhuria.

Ni upotoshaji kusema kuwa alifungiwa kwa hujuma.

Mkuu mbona kamati ya maadili hata haikiri kupokea malalamiko ya chadema ambayo kwa eecords yanafika manne au tano sasa.
 
Mpuuzi sana wewe, hizo barabara mmejenga kwa hela zenu au hela za wananchi ?
tunamsubiri busisi kivuko lazima engene izime katika ya maji akae siku nne wakati mafundi wakijitahidi kurekebisha hitilafu
 
Tundu Lissu yuko Tabora akielekea Shinyanga kwa ajili ya mikutano ya kampeni.

Nauliza tu kwanini haendi kanda ya Kusini?

Maendeleo hayana vyama!
anaenda kupiga bomu kwenye ngome ya ngosha na hadi sasa amefanikiwa kuisambaratisha kwa 75%!
 
Back
Top Bottom