Mudawote
JF-Expert Member
- Jul 10, 2013
- 10,771
- 14,129
Kule hawawezi kumuelewa,Tundu Lissu yuko Tabora akielekea Shinyanga kwa ajili ya mikutano ya kampeni.
Nauliza tu kwanini haendi kanda ya Kusini?
Maendeleo hayana vyama!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kule hawawezi kumuelewa,Tundu Lissu yuko Tabora akielekea Shinyanga kwa ajili ya mikutano ya kampeni.
Nauliza tu kwanini haendi kanda ya Kusini?
Maendeleo hayana vyama!
Tundu Lissu yuko Tabora akielekea Shinyanga kwa ajili ya mikutano ya kampeni.
Nauliza tu kwanini haendi kanda ya Kusini?
Maendeleo hayana vyama!
Kanda ya ziwa ni ngome kuu ya CHADEMA.Tundu Lissu yuko Tabora akielekea Shinyanga kwa ajili ya mikutano ya kampeni.
Nauliza tu kwanini haendi kanda ya Kusini?
Maendeleo hayana vyama!
Tangu lini??? Kujifariji nako kunaleta nafuu ya stressKanda ya ziwa ni ngome kuu ya CHADEMA.
Tupo hapa Chato wilayani tuone kama kweli!Kanda ya ziwa ni ngome kuu ya CHADEMA.
Siamini kama wewe unaishi Denmark ila naamini wewe ni mjinga moja tu (Ignorant) anayeishi hapo Tandale kwa Tumbo.CHADEMA ina mbunge hata mmoja kanda ya ziwa?
Sasa si umeambia kuwa Kanda ya ziwa ndio ngome ya ccm, halafu unauliza tena! Nimekubali ukiwa ccm akili zinaondoka!!CHADEMA ina mbunge hata mmoja kanda ya ziwa?
Kanda ya ziwa kuna more votes. Lindi na Mtwara kuna only 1.3 ml votesTundu Lissu yuko Tabora akielekea Shinyanga kwa ajili ya mikutano ya kampeni.
Nauliza tu kwanini haendi kanda ya Kusini?
Maendeleo hayana vyama!
AhahahaKanda ya ziwa ndipo ilipo ngome ya kipara na inawatu wengi kuliko kanda zote
bado muda atakwendaTundu Lissu yuko Tabora akielekea Shinyanga kwa ajili ya mikutano ya kampeni.
Nauliza tu kwanini haendi kanda ya Kusini?
Maendeleo hayana vyama!
Hilo ndio jawabu bwashee?!Siamini kama wewe unaishi Denmark ila naamini wewe ni mjinga moja tu (Ignorant) anayeishi hapo Tandale kwa Tumbo.
Kwani kusini hajaenda? Ulitaka arudi huko ili useme pia kwa nini anarudia Kanda hiyo?Tundu Lissu yuko Tabora akielekea Shinyanga kwa ajili ya mikutano ya kampeni.
Nauliza tu kwanini haendi kanda ya Kusini?
Maendeleo hayana vyama!
Hapa wilayani Chato hakuna dalili za ugeni nadhani kapiga U turn!bado muda atakwenda
Kusini alienda lini bwashee?Kwani kusini hajaenda? Ulitaka arudi huko ili useme pia kwa nini anarudia Kanda hiyo?
W
Awamu hii mmeshikwa pabaya maccm
Hoja nyingine utopolo tu, awamu hii Lisu atazoa kura za kimbunga anzia Sengerema, Kasamwa, Nyehunge, Nzera, Kome, Katoro, Buseresere,Buziku,Chato, Lunzewe, Kakola, Nyakanazi.CHADEMA ina mbunge hata mmoja kanda ya ziwa?
Mwakani ataenda..Ok
Kwahiyo kusini hataenda tena?
Tatizo ulikuwa umefungiwa ndani ya boxKusini alienda lini bwashee?
Ukitaka kumuua nyoka lazima upote kichwaAhahaha
Hujajibu swali!Tatizo ulikuwa umefungiwa ndani ya box
Kwa hiyo unatutukana Wanyiramba tukutane 28/10/2020Pumbavu kweli Wewe, nani Alikwambia Lissu ni Mnyiramba? Wanyiramba mnao huko Fisiemu majinga yenu Mwigulu na Kitila...