johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
-
- #21
Kwani wewe unamzidi nini Kibajaji au Msukuma?Yaani umekuwa mjinga hata kushindwa kujua kuwa Bunda, Tarime zote, Bukoba, Ukerewe kabla ya biashara ya utumwa kote huko ni Kanda ya ziwa?
Isije kuwa humu JF tunajadiliana na mtu kiwango cha Livingstone Lusinde au Musukuma anayekwenda kwa jina LA johnthebaptist !!
kama haina mbunge kwahiyo wasiende ?hizi akili za CCM bhana ni aibuChadema ina mbunge hata mmoja kanda ya ziwa?
Unaijuwa kanda ya Ziwa?Chadema ina mbunge hata mmoja kanda ya ziwa?
Mkuu umemjibu vizuri, Kama namuona Mr John Uso umemshuka.Hao akina Ester Bulaya, Heche na Matiko ni wabunge wa CCM? SHAME ON YOU
Hakuna mtu aliyemhujumu Tundu Lissu. Tundu Lissu alifungiwa kama adhabu aliyopewa na Kamati ya Maadili inayoundwa na vyama vyote. Adhabu hiyo imetokana na kitendo cha Tundu Lissu kutoa kauli za uongo zinazolenga kuchafua amani ya nchi yetu. Tundu Lissu alipoitwa kutoa maelezo kwenye kikao cha kamati akakaidi kuhudhuria...Kipindi alichokuwa amefungiwa ndio Tume ilikuwa imempangia Tundu Lissu awe mikoa ya kusini.
..ACT na CDM walikuwa wamepanga jambo lao tarehe 3 October lakini Tume na CCM wakawahujumu kwa kumfungia TL kufanya kampeni.
..Ratiba ya Tume ya Uchaguzi ndio inaelekeza mkoa / wilaya ambayo mgombea Uraisi anatakiwa kufanya kampeni.
Du wwgombea wameishiwa ,mashabiki nanyi.mnaongea pumba ...hivi Ni kweli CCM imefikia hapa!jamaa anapiga kampeni kwenye barabara za lami tu, hawezi kwenda kyala wala lupaso, hata huko kanda ya ziwa haendi kibara wala karumwa. Kaenda ikungi hakulala kwao kwani hana nyumba, hata mamake hajamjengea, sasa hivi anaenda kula bata rubondo, kumbe wanyiramba tabia zao zilezile
Hao ndio akina nani bwashee?Wewe naye takataka tu. Ester Matiku, Ester Bulaya, John Heche, Bukoba katoka Rwakatale.
Tundu Lisu yuko Tabora akielekea Shinyanga kwa ajili ya mikutano ya kampeni.
Nauliza tu kwanini haendi kanda ya kusini?
Maendeleo hayana vyama!
Unakata viuno tu, Lisu ni Mnyaturu.jamaa anapiga kampeni kwenye barabara za lami tu, hawezi kwenda kyala wala lupaso, hata huko kanda ya ziwa haendi kibara wala karumwa. Kaenda ikungi hakulala kwao kwani hana nyumba, hata mamake hajamjengea, sasa hivi anaenda kula bata rubondo, kumbe wanyiramba tabia zao zilezile
Jibu swali meku!kama haina mbunge kwahiyo wasiende ?hizi akili za CCM bhana ni aibu
Afu ule wimbo wao wa sisiem mbele kwa mbele siusikii, au ndio hata na CD wamezitupa tayari wameona upepo unaelekea nyuma kwa nyuma....Kusini Hamna lenu,Kanda ya ziwa anarudi kumwaga Sera vizuri na kupiga spana sawa sawa.Awanu hii mtaimba nyimbo zote.
Ndio, kwa akina Lwakatare!Unaijuwa kanda ya Ziwa?
Kamati ya maadili imejaa vyama vibaraka wa ccm.Hakuna mtu aliyemhujumu Tundu Lissu. Tundu Lissu alifungiwa kama adhabu aliyopewa na Kamati ya Maadili inayoundwa na vyama vyote. Adhabu hiyo imetokana na kitendo cha Tundu Lissu kutoa kauli za uongo zinazolenga kuchafua amani ya nchi. Tundu Lissu alipoitwa kutoa maelezo kwenye kikao cha kamati akakaidi kuhudhuria.
Ni upotoshaji kusema kuwa alifungiwa kwa hujuma.
Uchaguzi 2020 - Ngome kuu za CCM (Kanda ya Kati na Kanda ya Ziwa) walizokuwa wakizitegemea zimetikiswaTundu Lisu yuko Tabora akielekea Shinyanga kwa ajili ya mikutano ya kampeni.
Nauliza tu kwanini haendi kanda ya kusini?
Maendeleo hayana vyama!
sehemu ya kuweka nguvu ni ile ngome ya mpinzani wako ,kama hamna mbunge huko ina maana haikuwa ngome ya chadema kwahiyo lazima arudi ,bila shaka umelewa vizuri zamu hii kama hujaelewa bado utakuwa unasumbuliwa na uzezetaJibu swali meku!
Unamjua John Heche aliyekuwa mbunge wa Tarime Vijijini, au Ester Matiko aliyekuwa mbunge wa Tarime Mjini?? au Ester Bulaya aliyekuwa mbunge wa Bunda?? Unamjua Wilfred Rwakatale aliyekuwa mbunge wa Bukoba mjini? Wabunge wote hawa walikuwa wabunge wa chadema wakitoka Kanda ya ziwa.Chadema ina mbunge hata mmoja kanda ya ziwa?
... hakuna mahali wamemwelewa Tundu Lissu kama Kusini. Akiamua kwenda ni kuwajulia hali tu sio kupiga kampeni maana huko alishaeleweka kitambo sana.Ok
Kwahiyo kusini hataenda tena?
Nimekuelewa meku lakini huku kusini tunamsubiri pia!sehemu ya kuweka nguvu ni ile ngome ya mpinzani wako ,kama hamna mbunge huko ina maana haikuwa ngome ya chadema kwahiyo lazima arudi ,bila shaka umelewa vizuri zamu hii kama hujaelewa bado utakuwa unasumbuliwa na uzezeta
Naona Prof Lipumba anazunguruka nchi nzima!
Salum Mwalimu yupo anapita huko. Kwani lazima kila sehemu aende.Ok
Kwahiyo kusini hataenda tena?