Kwanini Tundu Lissu hajasimamisha mgombea wa Makamu mwenyekiti?

Kwanini Tundu Lissu hajasimamisha mgombea wa Makamu mwenyekiti?

zitto junior

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2013
Posts
20,537
Reaction score
31,729
Heri ya mwaka mpya wanajukwaa, tukielekea uchaguzi mkuu wa chadema ngazi ya taifa nimekua najiuliza sana kwanini Tundu Lissu hajasimamisha mgombea wa makamu mwenyekiti?. Ipo wazi wenje ni endorsement ya Mbowe, ina maana hata akishinda atafanya kazi na Wenje ambaye anampinga hata kabla ya uchaguzi?

Kingine hawa kina Lema, Heche, Golugwa n.k wanahofia nini kuchukua fomu ya kugombea umakamu uenyekiti? Hivi kweli chadema ndio inaona Wenje apite bila kupingwa nafasi ya Umakamu mwenyekiti?. This is a disgrace, kama Lissu hatolifanyia kazi hili la mgombea wa umakamu basi naona itakua mwiba wake.
 
Lisu akishinda Wenje na Sugu wanahuisha KADI zao za CCM kama Dr Mashinji na kurejea Nyumbani 😂😂
 
Heri ya mwaka mpya wanajukwaa, tukielekea uchaguzi mkuu wa chadema ngazi ya taifa nimekua najiuliza sana kwanini Tundu Lissu hajasimamisha mgombea wa makamu mwenyekiti?. Ipo wazi wenje ni endorsement ya Mbowe, ina maana hata akishinda atafanya kazi na Wenje ambaye anampinga hata kabla ya uchaguzi?

Kingine hawa kina Lema, Heche, Golugwa n.k wanahofia nini kuchukua fomu ya kugombea umakamu uenyekiti? Hivi kweli chadema ndio inaona Wenje apite bila kupingwa nafasi ya Umakamu mwenyekiti?. This is a disgrace, kama Lissu hatolifanyia kazi hili la mgombea wa umakamu basi naona itakua mwiba wake.
Ni tundu au chama ndio kinasimamisha mgombea?
 
Huo sio uchaguzi kama wa uraisi ile ya kwamba raisi anakua na makamu wake.

Tukirudi kwenye points zako, hao uliowataja wote waliamua kukata tamaa kwenye kugombea uenyekiti Kanda sababu walishughulikiwa, unategemea kwenye umakamu itakuwaje? Lissu kaamua kuvaa mabomu sababu anajiweza kupambana.

USIENDE mbali kwenye nafasi ya umakamu. Hizo Kanda zenyewe ni aibu, Sugu, wenje tayari ni wenyeviti Kanda hapo kuna chama tena?
 
Heri ya mwaka mpya wanajukwaa, tukielekea uchaguzi mkuu wa chadema ngazi ya taifa nimekua najiuliza sana kwanini Tundu Lissu hajasimamisha mgombea wa makamu mwenyekiti?. Ipo wazi wenje ni endorsement ya Mbowe, ina maana hata akishinda atafanya kazi na Wenje ambaye anampinga hata kabla ya uchaguzi?

Kingine hawa kina Lema, Heche, Golugwa n.k wanahofia nini kuchukua fomu ya kugombea umakamu uenyekiti? Hivi kweli chadema ndio inaona Wenje apite bila kupingwa nafasi ya Umakamu mwenyekiti?. This is a disgrace, kama Lissu hatolifanyia kazi hili la mgombea wa umakamu basi naona itakua mwiba wake.
JokaKuu Tindo econonist ..

Kambi ya Lissu bado haijajipanga
 
Heri ya mwaka mpya wanajukwaa, tukielekea uchaguzi mkuu wa chadema ngazi ya taifa nimekua najiuliza sana kwanini Tundu Lissu hajasimamisha mgombea wa makamu mwenyekiti?. Ipo wazi wenje ni endorsement ya Mbowe, ina maana hata akishinda atafanya kazi na Wenje ambaye anampinga hata kabla ya uchaguzi?

Kingine hawa kina Lema, Heche, Golugwa n.k wanahofia nini kuchukua fomu ya kugombea umakamu uenyekiti? Hivi kweli chadema ndio inaona Wenje apite bila kupingwa nafasi ya Umakamu mwenyekiti?. This is a disgrace, kama Lissu hatolifanyia kazi hili la mgombea wa umakamu basi naona itakua mwiba wake.
Àkili kisoda.
 
huo mtego ikitokea akapita LISu ,LISu anaitisha kikao kamati kumwaga ushahidi warushwa ,KESI imeisha LISu anakipenda chama sana
 
Heri ya mwaka mpya wanajukwaa, tukielekea uchaguzi mkuu wa chadema ngazi ya taifa nimekua najiuliza sana kwanini Tundu Lissu hajasimamisha mgombea wa makamu mwenyekiti?. Ipo wazi wenje ni endorsement ya Mbowe, ina maana hata akishinda atafanya kazi na Wenje ambaye anampinga hata kabla ya uchaguzi?

Kingine hawa kina Lema, Heche, Golugwa n.k wanahofia nini kuchukua fomu ya kugombea umakamu uenyekiti? Hivi kweli chadema ndio inaona Wenje apite bila kupingwa nafasi ya Umakamu mwenyekiti?. This is a disgrace, kama Lissu hatolifanyia kazi hili la mgombea wa umakamu basi naona itakua mwiba wake.
kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi hajasimamisha mgombea umakamu mwenyekiti mbadala wake, baada ya yeye kujiengua, kwasababu aligundua mapema kabisa kwamba, hata yeye mwenyewe asingeweza kushinda umakamu mwenyekiti wa chadema Taifa kwa namna ambavyo mipango ilikua imepangika, sembuse mgombea mwingine?

hiyo ndio haswa sababu ya msingi gentleman 🐒
 
kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi hajasimamisha mgombea umakamu mwenyekiti baada ya yeye kujiengua, kwasababu aligundua mapema kabisa kwamba, hata yeye mwenyewe asinge weza kushinda umakamu mwenyekiti, sembuse mgombea mwingine?

hiyo ndio haswa sababu ya msingi gentleman 🐒
the bad is coming
 
Heri ya mwaka mpya wanajukwaa, tukielekea uchaguzi mkuu wa chadema ngazi ya taifa nimekua najiuliza sana kwanini Tundu Lissu hajasimamisha mgombea wa makamu mwenyekiti?. Ipo wazi wenje ni endorsement ya Mbowe, ina maana hata akishinda atafanya kazi na Wenje ambaye anampinga hata kabla ya uchaguzi?

Kingine hawa kina Lema, Heche, Golugwa n.k wanahofia nini kuchukua fomu ya kugombea umakamu uenyekiti? Hivi kweli chadema ndio inaona Wenje apite bila kupingwa nafasi ya Umakamu mwenyekiti?. This is a disgrace, kama Lissu hatolifanyia kazi hili la mgombea wa umakamu basi naona itakua mwiba wake.
John Heche ndio analubuniwa na lissu na kina maria sarungi achukue fomu kupambana na wenje aka moto mkali
 
Hivi kweli chadema ndio inaona Wenje apite bila kupingwa nafasi ya Umakamu mwenyekiti?
Inadaiwa dirisha la kuchukua na kurudisha fomu linafungwa tarehe 17 January, hivyo muda bado.

Kuna tetesi ziliwekwa humu kuwa Lema atatangaza kuchukua fomu ya umakamu very soon.
 
Heri ya mwaka mpya wanajukwaa, tukielekea uchaguzi mkuu wa chadema ngazi ya taifa nimekua najiuliza sana kwanini Tundu Lissu hajasimamisha mgombea wa makamu mwenyekiti?. Ipo wazi wenje ni endorsement ya Mbowe, ina maana hata akishinda atafanya kazi na Wenje ambaye anampinga hata kabla ya uchaguzi?

Kingine hawa kina Lema, Heche, Golugwa n.k wanahofia nini kuchukua fomu ya kugombea umakamu uenyekiti? Hivi kweli chadema ndio inaona Wenje apite bila kupingwa nafasi ya Umakamu mwenyekiti?. This is a disgrace, kama Lissu hatolifanyia kazi hili la mgombea wa umakamu basi naona itakua mwiba wake.
Naunga mkono hoja,hata akichaguliwa kuwa mwenyekiti itakuwa ngumu kufanya kazi na tapeli Wenje.
 
Back
Top Bottom