Kwanini Tundu Lissu hajasimamisha mgombea wa Makamu mwenyekiti?

Kwanini Tundu Lissu hajasimamisha mgombea wa Makamu mwenyekiti?

Heri ya mwaka mpya wanajukwaa, tukielekea uchaguzi mkuu wa chadema ngazi ya taifa nimekua najiuliza sana kwanini Tundu Lissu hajasimamisha mgombea wa makamu mwenyekiti?. Ipo wazi wenje ni endorsement ya Mbowe, ina maana hata akishinda atafanya kazi na Wenje ambaye anampinga hata kabla ya uchaguzi?

Kingine hawa kina Lema, Heche, Golugwa n.k wanahofia nini kuchukua fomu ya kugombea umakamu uenyekiti? Hivi kweli chadema ndio inaona Wenje apite bila kupingwa nafasi ya Umakamu mwenyekiti?. This is a disgrace, kama Lissu hatolifanyia kazi hili la mgombea wa umakamu basi naona itakua mwiba wake.

Kwani Kuna watu husimamisha wagombea?

Si kugombea ni suala binafsi?

Au kwenye form Kuna provision ya kuwa mgombea ni kwa hisani ya msimamizi gani?
 
Kwani Kuna watu husimamisha wagombea?

Si kugombea ni suala binafsi?

Au kwenye form Kuna provision ya kuwa mgombea ni kwa hisani ya msimamizi gani?
Si unaandaa timu ya kufanya nayo kazi, coz hata katibu mkuu na naibu wake wanateuliwa na mwenyekiti na kuthibitishwa na wajumbe!!
 
Heri ya mwaka mpya wanajukwaa, tukielekea uchaguzi mkuu wa chadema ngazi ya taifa nimekua najiuliza sana kwanini Tundu Lissu hajasimamisha mgombea wa makamu mwenyekiti?. Ipo wazi wenje ni endorsement ya Mbowe, ina maana hata akishinda atafanya kazi na Wenje ambaye anampinga hata kabla ya uchaguzi?

Kingine hawa kina Lema, Heche, Golugwa n.k wanahofia nini kuchukua fomu ya kugombea umakamu uenyekiti? Hivi kweli chadema ndio inaona Wenje apite bila kupingwa nafasi ya Umakamu mwenyekiti?. This is a disgrace, kama Lissu hatolifanyia kazi hili la mgombea wa umakamu basi naona itakua mwiba wake.
Hadi katibu mwenezi wa ccm amteulie!
 
Heri ya mwaka mpya wanajukwaa, tukielekea uchaguzi mkuu wa chadema ngazi ya taifa nimekua najiuliza sana kwanini Tundu Lissu hajasimamisha mgombea wa makamu mwenyekiti?. Ipo wazi wenje ni endorsement ya Mbowe, ina maana hata akishinda atafanya kazi na Wenje ambaye anampinga hata kabla ya uchaguzi?

Kingine hawa kina Lema, Heche, Golugwa n.k wanahofia nini kuchukua fomu ya kugombea umakamu uenyekiti? Hivi kweli chadema ndio inaona Wenje apite bila kupingwa nafasi ya Umakamu mwenyekiti?. This is a disgrace, kama Lissu hatolifanyia kazi hili la mgombea wa umakamu basi naona itakua mwiba wake.
Chadema halisi imejifia.
Usitegemee yeyote akisbinda ataweza kuinganisha chadema tena.

Kugombea kwa Lissu nahisi ni mkakati wa kuwafungua macho wajinga kuwa Mbowe sio mwenzetu ni mchwa na kiveugeu...mchana chadema usiku ccm.

Baada ya uchavuzi yatakuwa ni mazishi rasmi ya chadema.

Hili ni povo la mwisho...hakuna chama pale tena.
 
Chadema halisi imejifia.
Usitegemee yeyote akisbinda ataweza kuinganisha chadema tena.

Kugombea kwa Lissu nahisi ni mkakati wa kuwafungua macho wajinga kuwa Mbowe sio mwenzetu ni mchwa na kiveugeu...mchana chadema usiku ccm.

Baada ya uchavuzi yatakuwa ni mazishi rasmi ya chadema.

Hili ni povo la mwisho...hakuna chama pale tena.
Umeongea Ukweli mchungu 😄
 
Umeongea Ukweli mchungu 😄
Kuna watu wanahisi ni kweli Lissu amedhamiria kushinda...sahau.

Ukweli ni kwamba Lissu amechoka majungu, ubadhirifu na wizi wa Mbowe.

Hapa anatufungua macho kwa vitendo.
Pia anatuthibishia kuwa chadema ni mali ya familia ya Mbowe na hana mpango wa kuachia nafadi.

TAtu ametuthibitishia kuwa yeyote anayekitaka kiti maana yake atapotezwa kama Wangwe...hivi hamkuelewa tu?
 
Heri ya mwaka mpya wanajukwaa, tukielekea uchaguzi mkuu wa chadema ngazi ya taifa nimekua najiuliza sana kwanini Tundu Lissu hajasimamisha mgombea wa makamu mwenyekiti?. Ipo wazi wenje ni endorsement ya Mbowe, ina maana hata akishinda atafanya kazi na Wenje ambaye anampinga hata kabla ya uchaguzi?

Kingine hawa kina Lema, Heche, Golugwa n.k wanahofia nini kuchukua fomu ya kugombea umakamu uenyekiti? Hivi kweli chadema ndio inaona Wenje apite bila kupingwa nafasi ya Umakamu mwenyekiti?. This is a disgrace, kama Lissu hatolifanyia kazi hili la mgombea wa umakamu basi naona itakua mwiba wake.
Kwanza anastahili afukuzwe kwa sababu ni kigeugeu.Kwanza alichukua fomu za Makamu M/kiti lakini hakuzirudisha ,mara kaibuka tena anagombea uenyekiti.Hana msimamo,anatuchanganya aondoke.
 
Basi hao akina Heche na Lema washawishiwe wachukue fomu. Wenje hafai kuwa makamu mwenyekiti wa chadema.
Kwani huyu Lema siyo Mchaga? Au mimi ndio siwaelewi hoja zenu za kila siku za uchaga?
 
Kwanza anastahili afukuzwe kwa sababu ni kigeugeu.Kwanza alichukua fomu za Makamu M/kiti lakini hakuzirudisha ,mara kaibuka tena anagombea uenyekiti.Hana msimamo,anatuchanganya aondoke.
Wacha uongo,form hakuchukua bali alitangaza nia tu na kubadili mawazo ni haki yake pia,mbona Sultan Mbowe alitangaza 2019 kuwa hatagombea tena lakini kachukua na kurudisha form? Na mbona 2015 aliyeandaliwa na Chadema kugombea Urais alikuwa Dr. Slaa lakini Mbowe akabadili gia angani?No research no right to speak.
 
Wacha uongo,form hakuchukua bali alitangaza nia tu na kubadili mawazo ni haki yake pia,mbona Sultan Mbowe alitangaza 2019 kuwa hatagombea tena lakini kachukua na kurudisha form? Na mbona 2015 aliyeandaliwa na Chadema kugombea Urais alikuwa Dr. Slaa lakini Mbowe akabadili gia angani?No research no right to speak.
2015 waliyonufaika ni Chadema, labda kama mna chuki binafsi na Mbowe.

Momentum of Lowasa ndio iliwapa mpaka wahuni Ubunge na Udiwani.
 
2015 waliyonufaika ni Chadema, labda kama mna chuki binafsi na Mbowe.

Momentum of Lowasa ndio iliwapa mpaka wahuni Ubunge na Udiwani.
Hujaelewa andiko langu,nilikuwa namjibu huyo aliyesema Lissu ni kigeugeu kwa kubadili mawazo kugombea uenyekiti tofauti na tangazo lake la awali kugombea makamu mwenyekiti.
 
Heri ya mwaka mpya wanajukwaa, tukielekea uchaguzi mkuu wa chadema ngazi ya taifa nimekua najiuliza sana kwanini Tundu Lissu hajasimamisha mgombea wa makamu mwenyekiti?. Ipo wazi wenje ni endorsement ya Mbowe, ina maana hata akishinda atafanya kazi na Wenje ambaye anampinga hata kabla ya uchaguzi?

Kingine hawa kina Lema, Heche, Golugwa n.k wanahofia nini kuchukua fomu ya kugombea umakamu uenyekiti? Hivi kweli chadema ndio inaona Wenje apite bila kupingwa nafasi ya Umakamu mwenyekiti?. This is a disgrace, kama Lissu hatolifanyia kazi hili la mgombea wa umakamu basi naona itakua mwiba wake.
Ni hivi, survival ya Chadema itatokana na ushindi wa Lisu. Hawa kina Wenye ni takataka wa Mbowe kwenye kuifukia Chadema
 
Back
Top Bottom