johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Wenje la Mdimu 😂Naunga mkono hoja,hata akichaguliwa kuwa mwenyekiti itakuwa ngumu kufanya kazi na tapeli Wenje.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenje la Mdimu 😂Naunga mkono hoja,hata akichaguliwa kuwa mwenyekiti itakuwa ngumu kufanya kazi na tapeli Wenje.
Yaani kwanini asingeshawishi mtu agombee umakamu ili akishinda awe na timu imara kuliko yeye ashinde alafu apewe makamu asiyefaa.Ni tundu au chama ndio kinasimamisha mgombea?
Heche akisimama anammaliza wenje ila sielewi kwanini hachukui fomu. Ina maana Wenje apite bila kupingwa?John Heche ndio analubuniwa na lissu na kina maria sarungi achukue fomu kupambana na wenje aka moto mkali
Hapana dirisha linafungwa nadhani tarehe 5 maana kuanzia tarehe 12 ni mikutano ya mabaraza.Inadaiwa dirisha la kuchukua na kurudisha fomu linafungwa tarehe 17 January, hivyo muda bado.
Kuna tetesi ziliwekwa humu kuwa Lema atatangaza kuchukua fomu ya umakamu very soon.
Heri ya mwaka mpya wanajukwaa, tukielekea uchaguzi mkuu wa chadema ngazi ya taifa nimekua najiuliza sana kwanini Tundu Lissu hajasimamisha mgombea wa makamu mwenyekiti?. Ipo wazi wenje ni endorsement ya Mbowe, ina maana hata akishinda atafanya kazi na Wenje ambaye anampinga hata kabla ya uchaguzi?
Kingine hawa kina Lema, Heche, Golugwa n.k wanahofia nini kuchukua fomu ya kugombea umakamu uenyekiti? Hivi kweli chadema ndio inaona Wenje apite bila kupingwa nafasi ya Umakamu mwenyekiti?. This is a disgrace, kama Lissu hatolifanyia kazi hili la mgombea wa umakamu basi naona itakua mwiba wake.
Basi hao akina Heche na Lema washawishiwe wachukue fomu. Wenje hafai kuwa makamu mwenyekiti wa chadema.Hapana dirisha linafungwa nadhani tarehe 5 maana kuanzia tarehe 12 ni mikutano ya mabaraza.
Si unaandaa timu ya kufanya nayo kazi, coz hata katibu mkuu na naibu wake wanateuliwa na mwenyekiti na kuthibitishwa na wajumbe!!Kwani Kuna watu husimamisha wagombea?
Si kugombea ni suala binafsi?
Au kwenye form Kuna provision ya kuwa mgombea ni kwa hisani ya msimamizi gani?
Hadi katibu mwenezi wa ccm amteulie!Heri ya mwaka mpya wanajukwaa, tukielekea uchaguzi mkuu wa chadema ngazi ya taifa nimekua najiuliza sana kwanini Tundu Lissu hajasimamisha mgombea wa makamu mwenyekiti?. Ipo wazi wenje ni endorsement ya Mbowe, ina maana hata akishinda atafanya kazi na Wenje ambaye anampinga hata kabla ya uchaguzi?
Kingine hawa kina Lema, Heche, Golugwa n.k wanahofia nini kuchukua fomu ya kugombea umakamu uenyekiti? Hivi kweli chadema ndio inaona Wenje apite bila kupingwa nafasi ya Umakamu mwenyekiti?. This is a disgrace, kama Lissu hatolifanyia kazi hili la mgombea wa umakamu basi naona itakua mwiba wake.
Chadema halisi imejifia.Heri ya mwaka mpya wanajukwaa, tukielekea uchaguzi mkuu wa chadema ngazi ya taifa nimekua najiuliza sana kwanini Tundu Lissu hajasimamisha mgombea wa makamu mwenyekiti?. Ipo wazi wenje ni endorsement ya Mbowe, ina maana hata akishinda atafanya kazi na Wenje ambaye anampinga hata kabla ya uchaguzi?
Kingine hawa kina Lema, Heche, Golugwa n.k wanahofia nini kuchukua fomu ya kugombea umakamu uenyekiti? Hivi kweli chadema ndio inaona Wenje apite bila kupingwa nafasi ya Umakamu mwenyekiti?. This is a disgrace, kama Lissu hatolifanyia kazi hili la mgombea wa umakamu basi naona itakua mwiba wake.
Wenje ana uwezo wa kununua hadi Mwenyekiti achilia mbali huto tuwajumbe 1200 🐼Heche akisimama anammaliza wenje ila sielewi kwanini hachukui fomu. Ina maana Wenje apite bila kupingwa?
Umeongea Ukweli mchungu 😄Chadema halisi imejifia.
Usitegemee yeyote akisbinda ataweza kuinganisha chadema tena.
Kugombea kwa Lissu nahisi ni mkakati wa kuwafungua macho wajinga kuwa Mbowe sio mwenzetu ni mchwa na kiveugeu...mchana chadema usiku ccm.
Baada ya uchavuzi yatakuwa ni mazishi rasmi ya chadema.
Hili ni povo la mwisho...hakuna chama pale tena.
Kuna watu wanahisi ni kweli Lissu amedhamiria kushinda...sahau.Umeongea Ukweli mchungu 😄
Sugu hajawahi kuwa ccm wacha lopolopo.Lisu akishinda Wenje na Sugu wanahuisha KADI zao za CCM kama Dr Mashinji na kurejea Nyumbani 😂😂
Kwanza anastahili afukuzwe kwa sababu ni kigeugeu.Kwanza alichukua fomu za Makamu M/kiti lakini hakuzirudisha ,mara kaibuka tena anagombea uenyekiti.Hana msimamo,anatuchanganya aondoke.Heri ya mwaka mpya wanajukwaa, tukielekea uchaguzi mkuu wa chadema ngazi ya taifa nimekua najiuliza sana kwanini Tundu Lissu hajasimamisha mgombea wa makamu mwenyekiti?. Ipo wazi wenje ni endorsement ya Mbowe, ina maana hata akishinda atafanya kazi na Wenje ambaye anampinga hata kabla ya uchaguzi?
Kingine hawa kina Lema, Heche, Golugwa n.k wanahofia nini kuchukua fomu ya kugombea umakamu uenyekiti? Hivi kweli chadema ndio inaona Wenje apite bila kupingwa nafasi ya Umakamu mwenyekiti?. This is a disgrace, kama Lissu hatolifanyia kazi hili la mgombea wa umakamu basi naona itakua mwiba wake.
Kwani huyu Lema siyo Mchaga? Au mimi ndio siwaelewi hoja zenu za kila siku za uchaga?Basi hao akina Heche na Lema washawishiwe wachukue fomu. Wenje hafai kuwa makamu mwenyekiti wa chadema.
Wacha uongo,form hakuchukua bali alitangaza nia tu na kubadili mawazo ni haki yake pia,mbona Sultan Mbowe alitangaza 2019 kuwa hatagombea tena lakini kachukua na kurudisha form? Na mbona 2015 aliyeandaliwa na Chadema kugombea Urais alikuwa Dr. Slaa lakini Mbowe akabadili gia angani?No research no right to speak.Kwanza anastahili afukuzwe kwa sababu ni kigeugeu.Kwanza alichukua fomu za Makamu M/kiti lakini hakuzirudisha ,mara kaibuka tena anagombea uenyekiti.Hana msimamo,anatuchanganya aondoke.
2015 waliyonufaika ni Chadema, labda kama mna chuki binafsi na Mbowe.Wacha uongo,form hakuchukua bali alitangaza nia tu na kubadili mawazo ni haki yake pia,mbona Sultan Mbowe alitangaza 2019 kuwa hatagombea tena lakini kachukua na kurudisha form? Na mbona 2015 aliyeandaliwa na Chadema kugombea Urais alikuwa Dr. Slaa lakini Mbowe akabadili gia angani?No research no right to speak.
Hujaelewa andiko langu,nilikuwa namjibu huyo aliyesema Lissu ni kigeugeu kwa kubadili mawazo kugombea uenyekiti tofauti na tangazo lake la awali kugombea makamu mwenyekiti.2015 waliyonufaika ni Chadema, labda kama mna chuki binafsi na Mbowe.
Momentum of Lowasa ndio iliwapa mpaka wahuni Ubunge na Udiwani.
Ni hivi, survival ya Chadema itatokana na ushindi wa Lisu. Hawa kina Wenye ni takataka wa Mbowe kwenye kuifukia ChademaHeri ya mwaka mpya wanajukwaa, tukielekea uchaguzi mkuu wa chadema ngazi ya taifa nimekua najiuliza sana kwanini Tundu Lissu hajasimamisha mgombea wa makamu mwenyekiti?. Ipo wazi wenje ni endorsement ya Mbowe, ina maana hata akishinda atafanya kazi na Wenje ambaye anampinga hata kabla ya uchaguzi?
Kingine hawa kina Lema, Heche, Golugwa n.k wanahofia nini kuchukua fomu ya kugombea umakamu uenyekiti? Hivi kweli chadema ndio inaona Wenje apite bila kupingwa nafasi ya Umakamu mwenyekiti?. This is a disgrace, kama Lissu hatolifanyia kazi hili la mgombea wa umakamu basi naona itakua mwiba wake.