Uvccm mnawayawayaHili nimeliwaza sana, na kuvuruga akili kidogo, wakati waTanzania wanapoifikiria CHADEMA kuwa chama kinachoweza kuwaondoa madarakani CCM.
Huu siyo mchezo lelemama, kama CHADEMA hawapo tayari kwa kazi hiyo, basi wasiwape waTanzania matumaini wasiyokuwa na uwezo nayo.
This is serious stuff,...CHADEMA acheni mchezo.
Inaumiza sana roho.
Huyo ni papai tuNa ww ni great thinker ? Pathetic
Haikuhusu wewe mkata viunoMawazo haya bdio yanasababisha Chadema inaendelea kuwa kama ilivyo kwa miaka takriban 30 sasa!
Kwa mitazamo hii ina maana ntaendelea kuisindikiza CCM mpaka mwisho.
Watanzania inabidi tuendelee kusubiri chama kipya ambacho kitakuwa seriously na siasa safi.
Mkeo mwenyewe anaenda saluni hakuagi na anakazwa mbuye huko,sasa unataka Lisu akuage wa kazi ganiTangu Tundu Lissu tangu arudi nchini hii nadhani itakuwa ni mara ya pili sasa kuondoka tena nchini bila kusema sababu yoyote hali hii sidhani kama inaleta afya kwa chama chake ukizingatia TL ni kiongozi ambaye uchaguzi uliopita aliwania nafasi ya juu kabisa ya urais.
Maoni yangu ni vyema awe anatoa taarifa kwa wanachama pale anaposafiri kwenda nje ya nchi ili watu wawe wanajua anasafari kwa dhumuni gani.
Wachana na hao uvccm malaya wa kisiasaKama hajakuaga ulijuaje sasa
Dubai au Abudhabi?Mara zote rais wako akisafiri
Mara zote rais wako akisafiri nje ya nchi huwa anaaga?, alafu kwa nini usumbuke na mambo ya ndani ya chama cha Chadema, ? Lini viongozi wa chama husika wamelalamika kwamba hawajui alipo? Fuata maisha yako ya chadema hayakuhusu
Hakuna unachokijua mkuu. Ungejua ungefuta ulichoandika.Tangu Tundu Lissu tangu arudi nchini hii nadhani itakuwa ni mara ya pili sasa kuondoka tena nchini bila kusema sababu yoyote hali hii sidhani kama inaleta afya kwa chama chake ukizingatia TL ni kiongozi ambaye uchaguzi uliopita aliwania nafasi ya juu kabisa ya urais.
Maoni yangu ni vyema awe anatoa taarifa kwa wanachama pale anaposafiri kwenda nje ya nchi ili watu wawe wanajua anasafari kwa dhumuni gani.
Mpango siku anaondoka alikuaga? chama chake wamelalamika hajawaaga? au mnataka tena kumpiga risasi? Tulia amesafiri mara ngapi nje ya nchi mbona hatujaona akiaga?Uko sahihi,kuna dosari kidigo kwa Yeye Lissu kama kiongozi wa kisiasa kitaifa kuwa anafanya baadhi ya mambo kuwa ya kisiri siri namna hiyo.
Hii inatia Doa na Mashaka madhumuni hasa ya hizo safari zake.
Inaweza aminisha baadhi ya wananchi kwamba kuna hila fulani hivi.
Kwa sababu sio siri kwamba familia yake iko huko nje Ubelgiji.
Sasa kuna ubaya gani akiondoka kwa kuaga wafuasi wake pamoja na watanzania kwa ujumla?
Au kila baada ya tukio la kukamatwa huwa analitumia kama kick ya kuiwezesha familia yake kuendelea kufadhiliwa huko Ulaya?
Kwa hili lazima Aambiwe ukweli!
Labda akalale kwa mume wake ndiyo ajue kama ameagaWa Tanzania ni wazandiki sana. Nani kakwambia kasafiri, na kama unajua kasafiri, then ina maana kuna taarifa, sasa unataka nini? Akisafiri akuachie na hela ya matumizi.
Rais wako alipoenda Kenya kimya kimya alienda kutoa taarifa kwa watwana gani?aage ili ugundue nini?
anapeleka report ya kazi aliyotumwa na watwana huko ulaya.
ninyi hamumsaidii chochote ispokua kura tu, wakati wa uchaguzi.
akiulizia pesa za join the chain zilipatikana sh.ngapi na zilitumikaje mnakasirika....
akiuliza risiti za malipo na matumizi ya fedha za chama tangu alipoondoka mnasema mkorofi....
sasa yeye pia si kiongozi anapaswa kujua mambo yanaendaje chamani, sasa eti ukorofi, usaliti au ujuaji unatoka wap...
Kwani anaongoza viongozi wa Chadema pekee au huwa pia anajikomba kwa watanzania wote?
Unajua maana ya Public Figure?
hahahaha lini alienda?Rais wako alipoenda Kenya kimya kimya alienda kutoa taarifa kwa watwana gani?
Mpaka Odinga katoa siri ndiyo wananchi mnakuja kujua kuwa kumbe rais wenu aliondoka nchini bila kuaga na bado Ruto akagoma kuonana naye.hahahaha lini alienda?
duuu makubwa kumbe alisafiri kenyaMpaka Odinga katoa siri ndiyo wananchi mnakuja kujua kuwa kumbe rais wenu aliondoka nchini bila kuaga na bado Ruto akagoma kuonana naye.
kwahiyo alienda kuripoti au kupeleka ripoti kwa odinga right?😂Mpaka Odinga katoa siri ndiyo wananchi mnakuja kujua kuwa kumbe rais wenu aliondoka nchini bila kuaga na bado Ruto akagoma kuonana naye.
Kwa vile wewe ni mwanachama mwenzake, labda unajua zaidi. Lakini sidhani kama huwa anaondoka kimya kimya tu. Kama ameondoka kimya kimya, umejuaje kaondoka? Labda yupo.Tangu Tundu Lissu tangu arudi nchini hii nadhani itakuwa ni mara ya pili sasa kuondoka tena nchini bila kusema sababu yoyote hali hii sidhani kama inaleta afya kwa chama chake ukizingatia TL ni kiongozi ambaye uchaguzi uliopita aliwania nafasi ya juu kabisa ya urais.
Maoni yangu ni vyema awe anatoa taarifa kwa wanachama pale anaposafiri kwenda nje ya nchi ili watu wawe wanajua anasafari kwa dhumuni gani.