Kwanini Tundu Lissu huondoka nchini bila kuaga?

Kwanini Tundu Lissu huondoka nchini bila kuaga?

Hili nimeliwaza sana, na kuvuruga akili kidogo, wakati waTanzania wanapoifikiria CHADEMA kuwa chama kinachoweza kuwaondoa madarakani CCM.

Huu siyo mchezo lelemama, kama CHADEMA hawapo tayari kwa kazi hiyo, basi wasiwape waTanzania matumaini wasiyokuwa na uwezo nayo.

This is serious stuff,...CHADEMA acheni mchezo.

Inaumiza sana roho.
Uvccm mnawayawaya
 
Mawazo haya bdio yanasababisha Chadema inaendelea kuwa kama ilivyo kwa miaka takriban 30 sasa!
Kwa mitazamo hii ina maana ntaendelea kuisindikiza CCM mpaka mwisho.
Watanzania inabidi tuendelee kusubiri chama kipya ambacho kitakuwa seriously na siasa safi.
Haikuhusu wewe mkata viuno
 
Tangu Tundu Lissu tangu arudi nchini hii nadhani itakuwa ni mara ya pili sasa kuondoka tena nchini bila kusema sababu yoyote hali hii sidhani kama inaleta afya kwa chama chake ukizingatia TL ni kiongozi ambaye uchaguzi uliopita aliwania nafasi ya juu kabisa ya urais.

Maoni yangu ni vyema awe anatoa taarifa kwa wanachama pale anaposafiri kwenda nje ya nchi ili watu wawe wanajua anasafari kwa dhumuni gani.
Mkeo mwenyewe anaenda saluni hakuagi na anakazwa mbuye huko,sasa unataka Lisu akuage wa kazi gani
 
Tangu Tundu Lissu tangu arudi nchini hii nadhani itakuwa ni mara ya pili sasa kuondoka tena nchini bila kusema sababu yoyote hali hii sidhani kama inaleta afya kwa chama chake ukizingatia TL ni kiongozi ambaye uchaguzi uliopita aliwania nafasi ya juu kabisa ya urais.

Maoni yangu ni vyema awe anatoa taarifa kwa wanachama pale anaposafiri kwenda nje ya nchi ili watu wawe wanajua anasafari kwa dhumuni gani.
Hakuna unachokijua mkuu. Ungejua ungefuta ulichoandika.
Credit: Mega Mind Nyerere

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uko sahihi,kuna dosari kidigo kwa Yeye Lissu kama kiongozi wa kisiasa kitaifa kuwa anafanya baadhi ya mambo kuwa ya kisiri siri namna hiyo.

Hii inatia Doa na Mashaka madhumuni hasa ya hizo safari zake.

Inaweza aminisha baadhi ya wananchi kwamba kuna hila fulani hivi.
Kwa sababu sio siri kwamba familia yake iko huko nje Ubelgiji.

Sasa kuna ubaya gani akiondoka kwa kuaga wafuasi wake pamoja na watanzania kwa ujumla?

Au kila baada ya tukio la kukamatwa huwa analitumia kama kick ya kuiwezesha familia yake kuendelea kufadhiliwa huko Ulaya?

Kwa hili lazima Aambiwe ukweli!
Mpango siku anaondoka alikuaga? chama chake wamelalamika hajawaaga? au mnataka tena kumpiga risasi? Tulia amesafiri mara ngapi nje ya nchi mbona hatujaona akiaga?
 
aage ili ugundue nini?

anapeleka report ya kazi aliyotumwa na watwana huko ulaya.

ninyi hamumsaidii chochote ispokua kura tu, wakati wa uchaguzi.

akiulizia pesa za join the chain zilipatikana sh.ngapi na zilitumikaje mnakasirika....

akiuliza risiti za malipo na matumizi ya fedha za chama tangu alipoondoka mnasema mkorofi....

sasa yeye pia si kiongozi anapaswa kujua mambo yanaendaje chamani, sasa eti ukorofi, usaliti au ujuaji unatoka wap...
Rais wako alipoenda Kenya kimya kimya alienda kutoa taarifa kwa watwana gani?
 
Mpaka Odinga katoa siri ndiyo wananchi mnakuja kujua kuwa kumbe rais wenu aliondoka nchini bila kuaga na bado Ruto akagoma kuonana naye.
kwahiyo alienda kuripoti au kupeleka ripoti kwa odinga right?😂
 
Tangu Tundu Lissu tangu arudi nchini hii nadhani itakuwa ni mara ya pili sasa kuondoka tena nchini bila kusema sababu yoyote hali hii sidhani kama inaleta afya kwa chama chake ukizingatia TL ni kiongozi ambaye uchaguzi uliopita aliwania nafasi ya juu kabisa ya urais.

Maoni yangu ni vyema awe anatoa taarifa kwa wanachama pale anaposafiri kwenda nje ya nchi ili watu wawe wanajua anasafari kwa dhumuni gani.
Kwa vile wewe ni mwanachama mwenzake, labda unajua zaidi. Lakini sidhani kama huwa anaondoka kimya kimya tu. Kama ameondoka kimya kimya, umejuaje kaondoka? Labda yupo.
 
Back
Top Bottom