Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata hilo neno 'mheshimiwa' halikupaswa kutumika kwake.Kwa upande wangu mimi ni kuzuia mambo ya siasa mikutano ya hadhara na kukubali kuwapokea mashehe wa uamsho kutoka Zanzibar waletwe huku Tanganyika,hivi mheshimiwa hawezi kujua mambo ya uwongo na mzigo huu sasa umeiangukia Tanzania nzima,waislamu walio wengi wanaikataa CCM mwaka huu kwa dude hili tu la kuwafunga mashehe ,WaZanzibari wanawaita Mashehe wetu.
Kuna Viongozi wa CCM - Zanzibar waliwambia mashehe hawa mtaenda kunyea ndoo,viongozi wa ngazi za juu kabisa katika serikali kufika kutamka hayo kwa mambo ya kesi za kubambikia leo hii,malipo yapo njiani ccm wengi wakihudhuria mikutano ya viongozi hawa wa dini na wakiwakubali kwelikweli.
Leo mnarudi kuwaomba kura waZenji ,mmewakosea kubwa ni kuwa mmeshindwa kuwafikisha miaka saba ,sababu kubwa inajulikana mmewafunga kisiasa kuliko kiuhalisia wa sababu mnazowabambikizia ambazo mmeshindwa kuleta ushahidi.
Hii ni sababu ya kura yangu kutoelekea CCM naipeleka kule walikoniahidi siku ya kushinda tu basi mashehe wapo huru !
Inaelekea hata darasani ulikuwa unashika mkia, uneshindwa kuielewa mada hii! Wewe si bure.Sisi Watanzania tutamchagua Rais Magufuli Kwasababu ni Mzalendo sio km yule anayetaka kuuza raslimali zetu
usiongee mambo usiyoyajua sababu hayajakukuta.Wewe km umejenga barabarani mlaumu baba ako kwa kukwepa gharama za kuchorewa ramani na manspaa
Stupid kbs, usiongee mambo usiyoyajua sababu hayajakukuta.
Sasa hapa unaandika nini? Madawa yamekujaje kweny uzi huu.Fuata sheria za Nchi, madawa ya kulevya hayana nafasi Tanzania
Bado wewe.1. Ni mkatili, mbaguzi, muuaji na mwenye roho ya chuki na kisasi kikubwa
Mf. Alivyowafanyia Ben Saanane, Tundu Lissu, Erick Kabendera na Mama yake, Msanii Idriss na wengineo wengi
2. Ameharibu uchumi kwa maamuzi yake ya kijinga
Mf. Kuingilia soko la korosho kulikopelekea biashara ya zao hili kufa
mf2. Anesababisha kupanda vibaya kwa bei ya sukari kutoka 1800 mpaka 2800/3000 kutokana na maamuzi yake ya hovyo ya kuzuia uagizwaji wa sukari kwa chuki zake dhidi ya wafanyabiashara
3. Ameharibu uchumi. Watu wengi wamefunga biashara kwa manyanyaso ya TRA na wengi wamepoteza kazi kutokana na makampuni yao kufunga biashara Tanzania
Mf. Rhino cement na mengineyo mengi bila kusahau Kampuni na maduka ya kubadirisha fedha
4. Amesababisha umasikini mkubwa kwa wakulima wa mananasi na mazao mengine kutokana na kuharibu mahusiano ya kimataifa mf na kenya ambapo wafanyabiashara na kampuni za kule ndo zilikuwa zinakuja Tanzania kununua mazao mengi
5. Ni muonevu na mpendeleaji mkubwa. Alifukuza kazi maelfu ya watumishi kwa vyeti feki huku akiwaacha kabudi na Makonda ambao hawakuwa na vyeti
Nimekopi na kuipaste kwa Kamati ya bunge la marekani mambo ya njeBado wewe.
Viva Magufuli Mzalendo wa ukweli, kataa mapandikizi ya Mabeberu kutoka ubeligiji
Mabeberu aka WATU WA MAREKANI AISEEE NDO HAO WANALETA DAWA,WANAJENGA RELI KWA PESA ZA MABEBERU,BILA MABEBERU HAMKAI HATA SIKU MBILI MNADONDOKA KAMA KUKUViva Magufuli Mzalendo wa ukweli, kataa mapandikizi ya Mabeberu kutoka ubeligiji
Kitendo cha kutaka kumuua lisu na kununua wapinzani haya ni madoa yasiyofutika kwenye mioyo ya wengi damu ya ben sanane ipo mikononi mwake pia kura za maelfu kwa maelfu wanatumia sababu hizi za haki kumkataa 28/10 jiwe hapiti hata iweje na mkitumia dola mtaleta fujo.
Mabeberu aka WATU WA MAREKANI AISEEE NDO HAO WANALETA DAWA,WANAJENGA RELI KWA PESA ZA MABEBERU,BILA MABEBERU HAMKAI HATA SIKU MBILI MNADONDOKA KAMA KUKU
Duh kweli magu hapendwi, nami simpendi dikteta huyu mbaguzi na mkabila mkubwa.Viva Magufuli Mzalendo wa ukweli, kataa mapandikizi ya Mabeberu kutoka ubeligiji