Uchaguzi 2020 Kwanini Tusimchague John Pombe Magufuli !? Una sababu embu tuwekee hapa!

Uchaguzi 2020 Kwanini Tusimchague John Pombe Magufuli !? Una sababu embu tuwekee hapa!

Nitamchagua Magufuli sababu napenda maendeleo.

Tuipigie kura CCM.

JPM ANATOSHA
CCM USHINDI NI JADI
 
1/. Utekaji
2/. Mauaji
3/. Ubambikaji kesi zisizo na dhamana kwa raia wema wasio na hatia
4/. Ukabila.. hata mikutanoni anahutubia kikwao
5/. Ubaguzi kwa misingi ya kiitikadi
6/. Upendeleo
7/. Kutopandisha mishahara kwa miaka 5
8/. Kuacha kuajiri
9/. Kuua biashara
 
Anamtumia Musiba kutukana watu...

Ameunda kikundi Cha watu wasiojulikana wanaua, wanateka, wanajeruhi, wanatishia uhai, n.k

Hana lugha nzuri, ni jeuri, ana kiburi, n.k

Ni mshamba, limbukeni, mzandiki,.n.k
 
Kwa upande wangu mimi ni kuzuia mambo ya siasa mikutano ya hadhara na kukubali kuwapokea mashehe wa uamsho kutoka Zanzibar waletwe huku Tanganyika,hivi mheshimiwa hawezi kujua mambo ya uwongo na mzigo huu sasa umeiangukia Tanzania nzima,waislamu walio wengi wanaikataa CCM mwaka huu kwa dude hili tu la kuwafunga mashehe ,WaZanzibari wanawaita Mashehe wetu.

Kuna Viongozi wa CCM - Zanzibar waliwambia mashehe hawa mtaenda kunyea ndoo,viongozi wa ngazi za juu kabisa katika serikali kufika kutamka hayo kwa mambo ya kesi za kubambikia leo hii,malipo yapo njiani ccm wengi wakihudhuria mikutano ya viongozi hawa wa dini na wakiwakubali kwelikweli.
Leo mnarudi kuwaomba kura waZenji ,mmewakosea kubwa ni kuwa mmeshindwa kuwafikisha miaka saba ,sababu kubwa inajulikana mmewafunga kisiasa kuliko kiuhalisia wa sababu mnazowabambikizia ambazo mmeshindwa kuleta ushahidi.
Hii ni sababu ya kura yangu kutoelekea CCM naipeleka kule walikoniahidi siku ya kushinda tu basi mashehe wapo huru !
Hata hilo neno 'mheshimiwa' halikupaswa kutumika kwake.
 
Sisi Watanzania tutamchagua Rais Magufuli Kwasababu ni Mzalendo sio km yule anayetaka kuuza raslimali zetu
Inaelekea hata darasani ulikuwa unashika mkia, uneshindwa kuielewa mada hii! Wewe si bure.
 
Wenzangu wameshaelezea mengi tu, mmojawapo ni huyo:Lord dening ameniwakilisha ingawa akutaja kifo cha Alfonsi mawazo! Atutaichagua CCM pamoja na kupandisha gharama za maisha na kuongeza utitiri wa kodi! Si hayo tu, kwa msiejua kwenye utawala huu maelefu ya raia wameuwawa kikatili kwenye hifadhi ya Rubondo na imekuwa siri!
 
1. Ni mkatili, mbaguzi, muuaji na mwenye roho ya chuki na kisasi kikubwa

Mf. Alivyowafanyia Ben Saanane, Tundu Lissu, Erick Kabendera na Mama yake, Msanii Idriss na wengineo wengi

2. Ameharibu uchumi kwa maamuzi yake ya kijinga

Mf. Kuingilia soko la korosho kulikopelekea biashara ya zao hili kufa

mf2. Anesababisha kupanda vibaya kwa bei ya sukari kutoka 1800 mpaka 2800/3000 kutokana na maamuzi yake ya hovyo ya kuzuia uagizwaji wa sukari kwa chuki zake dhidi ya wafanyabiashara

3. Ameharibu uchumi. Watu wengi wamefunga biashara kwa manyanyaso ya TRA na wengi wamepoteza kazi kutokana na makampuni yao kufunga biashara Tanzania

Mf. Rhino cement na mengineyo mengi bila kusahau Kampuni na maduka ya kubadirisha fedha

4. Amesababisha umasikini mkubwa kwa wakulima wa mananasi na mazao mengine kutokana na kuharibu mahusiano ya kimataifa mf na kenya ambapo wafanyabiashara na kampuni za kule ndo zilikuwa zinakuja Tanzania kununua mazao mengi

5. Ni muonevu na mpendeleaji mkubwa. Alifukuza kazi maelfu ya watumishi kwa vyeti feki huku akiwaacha kabudi na Makonda ambao hawakuwa na vyeti
Bado wewe.
 
Ametoa fao la kujitoa kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii kwa faidi zao binafsi bila kujari hali halisi za watanzania
 
Kitendo cha kutaka kumuua lisu na kununua wapinzani haya ni madoa yasiyofutika kwenye mioyo ya wengi damu ya ben sanane ipo mikononi mwake pia kura za maelfu kwa maelfu wanatumia sababu hizi za haki kumkataa 28/10 jiwe hapiti hata iweje na mkitumia dola mtaleta fujo.
Viva Magufuli Mzalendo wa ukweli, kataa mapandikizi ya Mabeberu kutoka ubeligiji
 
Viva Magufuli Mzalendo wa ukweli, kataa mapandikizi ya Mabeberu kutoka ubeligiji
Mabeberu aka WATU WA MAREKANI AISEEE NDO HAO WANALETA DAWA,WANAJENGA RELI KWA PESA ZA MABEBERU,BILA MABEBERU HAMKAI HATA SIKU MBILI MNADONDOKA KAMA KUKU
 
Hizo nyimbo za uwongo kuisingizia serkali zimepitwa na wakati

Serkali imuue lissu anakipi cha maana ? Serkali haiui raia wake

Nyie chadema jichunguzeni inaweza kuwa mnamalizana wenyewe kwa wenyewe
Kitendo cha kutaka kumuua lisu na kununua wapinzani haya ni madoa yasiyofutika kwenye mioyo ya wengi damu ya ben sanane ipo mikononi mwake pia kura za maelfu kwa maelfu wanatumia sababu hizi za haki kumkataa 28/10 jiwe hapiti hata iweje na mkitumia dola mtaleta fujo.
 
Tanzania tunajenga reli kwa pesa zetu

Kama dawa tunanunua hatuchukui bure
Mabeberu aka WATU WA MAREKANI AISEEE NDO HAO WANALETA DAWA,WANAJENGA RELI KWA PESA ZA MABEBERU,BILA MABEBERU HAMKAI HATA SIKU MBILI MNADONDOKA KAMA KUKU
 
Imekula kwake. Kiburi kwa kutukana wengine vilaza hili liliniuma sana. Ati kwa sababu kasoma chemistry.
 
Back
Top Bottom