Uchaguzi 2020 Kwanini Tusimchague John Pombe Magufuli !? Una sababu embu tuwekee hapa!

Uchaguzi 2020 Kwanini Tusimchague John Pombe Magufuli !? Una sababu embu tuwekee hapa!

Ameharibu mifumo mingi ya nchi na utaratibu alioleta yeye umeleta hasaea badala ya faida. Mf. Mifuko ya pension
Mfumo wa wizi. Watu wameshindwa kabisa kuiba kama zamani. Tender kwa makandazasi hakuna, Watu wanataka kuiba bwana
 
Kwa sababu haujuwi maana ya vyama vingi
 
1/. Utekaji
2/. Mauaji
3/. Ubambikaji kesi zisizo na dhamana kwa raia wema wasio na hatia
4/. Ukabila.. hata mikutanoni anahutubia kikwao
5/. Ubaguzi kwa misingi ya kiitikadi
6/. Upendeleo
7/. Kutopandisha mishahara kwa miaka 5
8/. Kuacha kuajiri
9/. Kuua biashara
Sababu ulizozisema ni msumari wa moto kwenye mashiko ya mpiga kura anaejielewa na hizi ndizo zitakazowakosesha kura CCM mwaka huu na ndio mwanzo wa kusota kwenye benchi la upinzani,CCM imejaa matapeli wachumia tumbo,wewe inafikia watu wanakula mpaka hela za rambi rambi,
 
Mfumo wa wizi. Watu wameshindwa kabisa kuiba kama zamani. Tender kwa makandazasi hakuna, Watu wanataka kuiba bwana
Kuna hela zimepotea kutokana na habari za mkaguzi au wakaguzi matrilioni hayajulikani yalipo,hilo la wizi limekuja kwa sura mpya sasa,watu wanawahi hukohuko juu,hushangai CCM wamechapisha jezi za kampeni mara sita ya jumla ya idadi ya waTanzania,CCM wanajaza magari ya binafsi mafuta iwe dizeli au petroli kubeba wajaza vichwa kwenye mikutano tena hadi ndanindani huko vichochoroni wanapeleka malori na kuwapa jezi,pesa wanatoa wapi ,hizo ndio zile hela matrilioni yaliopotelea kusiko julikana,mpango huo unaendeshwa Tanzania nzima bara na visiwani,CCM kama CCM hawana uwezo huo ndio ukasikia kuna patashika nani kamega nyingi,maana zingine zinaishia mifukoni haziendi kwenye matenki ya mafuta.mapambo na masteji makubwa makubwa vyote hivyo vinahitaji hela,na hela itakuwa ndio ile iliyopotea.
 
Kwa upande wangu mimi ni kuzuia mambo ya siasa mikutano ya hadhara na kukubali kuwapokea mashehe wa uamsho kutoka Zanzibar waletwe huku Tanganyika,hivi mheshimiwa hawezi kujua mambo ya uwongo na mzigo huu sasa umeiangukia Tanzania nzima,waislamu walio wengi wanaikataa CCM mwaka huu kwa dude hili tu la kuwafunga mashehe ,WaZanzibari wanawaita Mashehe wetu.

Kuna Viongozi wa CCM - Zanzibar waliwambia mashehe hawa mtaenda kunyea ndoo,viongozi wa ngazi za juu kabisa katika serikali kufika kutamka hayo kwa mambo ya kesi za kubambikia leo hii,malipo yapo njiani ccm wengi wakihudhuria mikutano ya viongozi hawa wa dini na wakiwakubali kwelikweli.
Leo mnarudi kuwaomba kura waZenji ,mmewakosea kubwa ni kuwa mmeshindwa kuwafikisha miaka saba ,sababu kubwa inajulikana mmewafunga kisiasa kuliko kiuhalisia wa sababu mnazowabambikizia ambazo mmeshindwa kuleta ushahidi.
Hii ni sababu ya kura yangu kutoelekea CCM naipeleka kule walikoniahidi siku ya kushinda tu basi mashehe wapo huru !
Muuaji
 
Simchagui kwa sababu nyingi zaidi ya 100.
Lakini nitasema Tatu 3 tu.
1 Kumteka Mo dewj.
2. Kumpiga Lissu Risasi.
3.kumpoteza saa Nane na mauji ya Bn
 
Jamaa wa kikundi flan cha kuitwa UAMSHO.Kulikua na vugu vugu zanzibar la kuchoma nyumba za ibada za wakristo miaka flan na hawa jamaa walikamatwa kwa tuhuma za kuwa wao ndio walikua wanaratibu zoezi lile haramu.
Hamna hilo halimo katika madai ya kesi sema ukweli,kuna watu walitajwa na kuwa waliingia Tanzania na kufadhiliwa na kikundi hicho cha uamsho kumbuka kikundi hicho kimesajiliwa kisheria na kikiendesha shughuli zake kisheria kama vilivyo vikundi vingine. Sasa hao waliotajwa ni watu hewa hakuna ushahidi wa watu hao kuingia Tanzania ,huo ni mkwamo wa mwanzo wa wadai wameshindwa kuwaleta au kuonyesha watu hao na sehemu walizoingilia ,ni mambo ya kutunga tu na kama tujuavyo ukweli ukidhihiri uwongo hujitenga,mdai ya wadai yote yamejitenga na kuonekana ni uwongo,miaka saba hawajapata hata chembe ya ushahidi,wamefungwa kisiasa zaidi kama walivyofungwa akina Seifu na wenginetele.
 
Kwa upande wangu mimi ni kuzuia mambo ya siasa mikutano ya hadhara na kukubali kuwapokea mashehe wa uamsho kutoka Zanzibar waletwe huku Tanganyika,hivi mheshimiwa hawezi kujua mambo ya uwongo na mzigo huu sasa umeiangukia Tanzania nzima,waislamu walio wengi wanaikataa CCM mwaka huu kwa dude hili tu la kuwafunga mashehe ,WaZanzibari wanawaita Mashehe wetu.

Kuna Viongozi wa CCM - Zanzibar waliwambia mashehe hawa mtaenda kunyea ndoo,viongozi wa ngazi za juu kabisa katika serikali kufika kutamka hayo kwa mambo ya kesi za kubambikia leo hii,malipo yapo njiani ccm wengi wakihudhuria mikutano ya viongozi hawa wa dini na wakiwakubali kwelikweli.
Leo mnarudi kuwaomba kura waZenji ,mmewakosea kubwa ni kuwa mmeshindwa kuwafikisha miaka saba ,sababu kubwa inajulikana mmewafunga kisiasa kuliko kiuhalisia wa sababu mnazowabambikizia ambazo mmeshindwa kuleta ushahidi.
Hii ni sababu ya kura yangu kutoelekea CCM naipeleka kule walikoniahidi siku ya kushinda tu basi mashehe wapo huru !

Nngekuwa mhariri singeweza kuchapisha story/swali lako kwani halipo balanced; lingetakiwa liwe na two sides
1. Kwa nini usimchague Magufuli
2. Kwa nini umchague Maguful
then wachangiaji wangepima waone ni zipi hoja za nguvu/za msingi kuliko zingine

"Call a spade spade"
 
Watanzania ni kuanzia Wananchi wawili wa kitanzania.

Hiyo Mandate anayo ya kunijumuisha pia mie.
Nitamchagua John P.Magufuli kama rais Mzalendo na Nchi yake.
Watanzania kuanzia wawili? Yeah right
Hana mandate wala power yoyote kisheria.
Pili sababu ww ndio umetaka kujumuika right.. but the rest maamuzi ni yao. Sio kuamuliwa na mtu hata hajulikani.
 
Mpaka sasa:
Watakao mchagua Jiwe:2
Ambao hawatamchagua Jiwe:20

Mpambano bado waendelea
 
Jingine litalako wakosesha kura CCM ni hili la uraia ,kudai uraia wa mtu baada ya kulumbana na Serikali iliyopo madarakani,kama ni historia basi Magufuli inasemwa ni Mhutu,unajua Tanzania nzima zama za zama ilikuwa pori la wanyama wakali yaani mbuga za wanyama ni historia refu inataka muda na karatasi nyingi kuisimulia,ila binadamu walikuwepo mbali sana na bahari na hii mipaka tunayoijua ya sasa tuijuayo.Watu walianza maeneo ya Zaire ya Congo huko mbaali sana.
Hili ni eneo watanzania walio wengi wataiangusha CCM ili kuliepuka maana kama unajirani yako yamemkuta basi na wewe ipo siku litakuandama linaweza kumkuta hata Magufuli na mawaziri wake,ni jambo baya sana,wanalolifanya serikali ya CCM,WaZanzibari wanasema mambo kangaja huenda na kurudi wakikusudia msimu wa kitu unakwenda na kurudi.

Tuchukulie Magufuli ameweza kuwafurusha wala rushwa anaowaita yaani ametumbua watu wengi baadhi ya viongozi wasio na timu ndani ya chama wamekwenda na kutumbuliwa huku ,sasa,sasa Magu anaondoka inawezekana kabisa akatokea kiongozi Raisi nae akambana Magu na kutaka aelezwe hela alizotumia kwenye kampeni,kujenga uwanja,kujenga reli kununua ndege alizotoa wapi na mfano wa mambo kama hayo na mwisho aseme Magu alifanya hivyo kwa sababu sio Mtanzania na hana uchungu na hela za waTanzania.

Ubaguzi umeshawakosesha kura CCM,watanzania walio wengi wameliona hili na inafaa wazidi kukumbushwa hata kama wapo ccm hawapo huru kwa dude hili la kibaguzi.
 
-Kuongeza makato ya HESLB
-Tozo ya riba mikipo ya elimu kama mikopo ya biashara.
-Kufuta fao la kujitoa mpaka ufikishe miaka 60.
-Kutoongeza mishahara 5yrs now.
-Decline on banking industry causing unemployments caused by declined individual business.
-Na mengine mengi,hali ngumu mtaani.
 
1601715638924.png
 
Jingine litalako wakosesha kura CCM ni hili la uraia ,kudai uraia wa mtu baada ya kulumbana na Serikali iliyopo madarakani,kama ni historia basi Magufuli inasemwa ni Mhutu,unajua Tanzania nzima zama za zama ilikuwa pori la wanyama wakali yaani mbuga za wanyama ni historia refu inataka muda na karatasi nyingi kuisimulia,ila binadamu walikuwepo mbali sana na bahari na hii mipaka tunayoijua ya sasa tuijuayo.Watu walianza maeneo ya Zaire ya Congo huko mbaali sana.
Hili ni eneo watanzania walio wengi wataiangusha CCM ili kuliepuka maana kama unajirani yako yamemkuta basi na wewe ipo siku litakuandama linaweza kumkuta hata Magufuli na mawaziri wake,ni jambo baya sana,wanalolifanya serikali ya CCM,WaZanzibari wanasema mambo kangaja huenda na kurudi wakikusudia msimu wa kitu unakwenda na kurudi.

Tuchukulie Magufuli ameweza kuwafurusha wala rushwa anaowaita yaani ametumbua watu wengi baadhi ya viongozi wasio na timu ndani ya chama wamekwenda na kutumbuliwa huku ,sasa,sasa Magu anaondoka inawezekana kabisa akatokea kiongozi Raisi nae akambana Magu na kutaka aelezwe hela alizotumia kwenye kampeni,kujenga uwanja,kujenga reli kununua ndege alizotoa wapi na mfano wa mambo kama hayo na mwisho aseme Magu alifanya hivyo kwa sababu sio Mtanzania na hana uchungu na hela za waTanzania.

Ubaguzi umeshawakosesha kura CCM,watanzania walio wengi wameliona hili na inafaa wazidi kukumbushwa hata kama wapo ccm hawapo huru kwa dude hili la kibaguzi.
Jamani si tulisema tunataka Rais mkali,asiye lemba lemba, siyo kama JK CCM sikivu ikasikia maoni ikamleta JPM, hapa kazi tu siyo Vasco Dagama. Kazi iendelee tusonge mbele. Projo hazitajenga Nchi, bali vitendo!
 
Back
Top Bottom