Ok, duu!!Jamaa wa kikundi flan cha kuitwa UAMSHO.Kulikua na vugu vugu zanzibar la kuchoma nyumba za ibada za wakristo miaka flan na hawa jamaa walikamatwa kwa tuhuma za kuwa wao ndio walikua wanaratibu zoezi lile haramu.
Mshahara wa leo 2020 ndio aliouacha Kikwete 2015Kwa upande wangu mimi ni kuzuia mambo ya siasa mikutano ya hadhara na kukubali kuwapokea mashehe wa uamsho kutoka Zanzibar waletwe huku Tanganyika,hivi mheshimiwa hawezi kujua mambo ya uwongo na mzigo huu sasa umeiangukia Tanzania nzima,waislamu walio wengi wanaikataa CCM mwaka huu kwa dude hili tu la kuwafunga mashehe ,WaZanzibari wanawaita Mashehe wetu.
Kuna Viongozi wa CCM - Zanzibar waliwambia mashehe hawa mtaenda kunyea ndoo,viongozi wa ngazi za juu kabisa katika serikali kufika kutamka hayo kwa mambo ya kesi za kubambikia leo hii,malipo yapo njiani ccm wengi wakihudhuria mikutano ya viongozi hawa wa dini na wakiwakubali kwelikweli.
Leo mnarudi kuwaomba kura waZenji ,mmewakosea kubwa ni kuwa mmeshindwa kuwafikisha miaka saba ,sababu kubwa inajulikana mmewafunga kisiasa kuliko kiuhalisia wa sababu mnazowabambikizia ambazo mmeshindwa kuleta ushahidi.
Hii ni sababu ya kura yangu kutoelekea CCM naipeleka kule walikoniahidi siku ya kushinda tu basi mashehe wapo huru !
Je, uchomaji moto makanisa ulikuwepo au ni taarifa hewa?Hamna hilo halimo katika madai ya kesi sema ukweli,kuna watu walitajwa na kuwa waliingia Tanzania na kufadhiliwa na kikundi hicho cha uamsho kumbuka kikundi hicho kimesajiliwa kisheria na kikiendesha shughuli zake kisheria kama vilivyo vikundi vingine. Sasa hao waliotajwa ni watu hewa hakuna ushahidi wa watu hao kuingia Tanzania ,huo ni mkwamo wa mwanzo wa wadai wameshindwa kuwaleta au kuonyesha watu hao na sehemu walizoingilia ,ni mambo ya kutunga tu na kama tujuavyo ukweli ukidhihiri uwongo hujitenga,mdai ya wadai yote yamejitenga na kuonekana ni uwongo,miaka saba hawajapata hata chembe ya ushahidi,wamefungwa kisiasa zaidi kama walivyofungwa akina Seifu na wenginetele.
Meko akiwa zanzibar anawaambia wazanzibar kuwa wasiondoke maana akimaliza hotuba bado Kuna show na watamuona akichezaKwa upande wangu mimi ni kuzuia mambo ya siasa mikutano ya hadhara na kukubali kuwapokea mashehe wa uamsho kutoka Zanzibar waletwe huku Tanganyika, hivi mheshimiwa hawezi kujua mambo ya uwongo na mzigo huu sasa umeiangukia Tanzania nzima,waislamu walio wengi wanaikataa CCM mwaka huu kwa dude hili tu la kuwafunga mashehe ,WaZanzibari wanawaita Mashehe wetu.
Kuna Viongozi wa CCM - Zanzibar waliwambia mashehe hawa mtaenda kunyea ndoo,viongozi wa ngazi za juu kabisa katika serikali kufika kutamka hayo kwa mambo ya kesi za kubambikia leo hii,malipo yapo njiani ccm wengi wakihudhuria mikutano ya viongozi hawa wa dini na wakiwakubali kwelikweli.
Leo mnarudi kuwaomba kura waZenji ,mmewakosea kubwa ni kuwa mmeshindwa kuwafikisha miaka saba ,sababu kubwa inajulikana mmewafunga kisiasa kuliko kiuhalisia wa sababu mnazowabambikizia ambazo mmeshindwa kuleta ushahidi.
Hii ni sababu ya kura yangu kutoelekea CCM naipeleka kule walikoniahidi siku ya kushinda tu basi mashehe wapo huru !
Watanzania wazalendo tuliotayari kufa kwaajili ya Taifa letu tutampigia kura Tundu Lissu!
Kutowatendea haki masheikh wa uamshoKwa upande wangu mimi ni kuzuia mambo ya siasa mikutano ya hadhara na kukubali kuwapokea mashehe wa uamsho kutoka Zanzibar waletwe huku Tanganyika, hivi mheshimiwa hawezi kujua mambo ya uwongo na mzigo huu sasa umeiangukia Tanzania nzima,waislamu walio wengi wanaikataa CCM mwaka huu kwa dude hili tu la kuwafunga mashehe ,WaZanzibari wanawaita Mashehe wetu.
Kuna Viongozi wa CCM - Zanzibar waliwambia mashehe hawa mtaenda kunyea ndoo,viongozi wa ngazi za juu kabisa katika serikali kufika kutamka hayo kwa mambo ya kesi za kubambikia leo hii,malipo yapo njiani ccm wengi wakihudhuria mikutano ya viongozi hawa wa dini na wakiwakubali kwelikweli.
Leo mnarudi kuwaomba kura waZenji ,mmewakosea kubwa ni kuwa mmeshindwa kuwafikisha miaka saba ,sababu kubwa inajulikana mmewafunga kisiasa kuliko kiuhalisia wa sababu mnazowabambikizia ambazo mmeshindwa kuleta ushahidi.
Hii ni sababu ya kura yangu kutoelekea CCM naipeleka kule walikoniahidi siku ya kushinda tu basi mashehe wapo huru !