Kwanini Ujenzi wa Ulaya (Ukraine) hawaweki lenta?

Kwanini Ujenzi wa Ulaya (Ukraine) hawaweki lenta?

hatari sana, ma engineer wetu wengi ni wa kudesa ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
Ubunifu hakuna
Siunaona hata ramn za nyumba zote kama zinafanana hakuna anayekuja na jipya mpaka mzungu aanzishe ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
Ttz linaweza kuwa ni mfumo wetu wa elimu
Siunaona mtoa mada amekuja kuwachallenge na hii hawana majibu
 
Sasa eng kwann hujafanya utafiti kujua mbona wenzetu wanajenga
Sio kila kitu mfundishwe darasan ubunifu mwngine mnaweza kuongezea wenyewe ni maoni tu lakn [emoji3]
Teknolojia ya ujenzi ni kubwa na tofauti sana kulingana na mazingira, mfano hapa bongo hakuna culture ya kutengeneza nyumba za mbao, kwa hiyo mtaalamu wa huku akishindwa design nyumba ya mbao usimcheke, ht USA kuna wahandisi hawawezi design nyumba zetu hizi.

By the way kwa teknolojia ya sasa, hakuna ujenzi huo, hizo nyumba nyingi ni za miaka ya nyuma kidogo, same na hapa bongo nyumba za wamisionari nyingi hazina lenta
 
Nadhani hata hao wahandisi wetu wanashangaa na hawana majibu ya uhakika!! Kumbukeni kuwa watu wa mwanzo kabisa walianza kujenga mnara wa babeli kwa kutumia matofali ya kuchoma tu, hapakuwepo na mambo ya zege wala rinta na mnara ulipanda juu sana na kama Mungu asingewachafulia lugha kitu kingepanda hadi mawinguni bila rinta!!
Sahii kabisa,
Watasema hawakufundishwa hivyo vyuoni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Teknolojia ya ujenzi ni kubwa na tofauti sana kulingana na mazingira, mfano hapa bongo hakuna culture ya kutengeneza nyumba za mbao, kwa hiyo mtaalamu wa huku akishindwa design nyumba ya mbao usimcheke, ht USA kuna wahandisi hawawezi design nyumba zetu hizi.

By the way kwa teknolojia ya sasa, hakuna ujenzi huo, hizo nyumba nyingi ni za miaka ya nyuma kidogo, same na hapa bongo nyumba za wamisionari nyingi hazina lenta
Sio kweli kwamba hizi ni nyumba za kizamani,
Hili jengo Ni la ubalozi wa Canada nchini Ukraine,

Hii picha imepigwa haina hata mwezi ktk ya Hii Vita, jengo Lina Hadi kiyoyozi[emoji116]
IMG_20220814_101441.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hilo la ugumu wa ardhi ya Ulaya unabahatisha tu, si kweli.

Afrika ndio the oldest and the hardest land mass in the history of earth formation. Na baadae, wakati Pangea inavunjika vipande na mabara yanatambaa ( tectonic plate driffting) Afrika ilibakia pale pale kwa miaka milioni 200. (John Reader: Africa, Biography of the Continent.)

Ndio maana hata kilimo kilishindikana, jua, jiwe na dongo gumu na kavu.

Hatujui tu kujenga. Ardhi yetu inapaswa kutupa advantage.

Mimi nimekulia kwenye nyumba ya mkoloni, ya ghorofa, haina nondo, mkanda, jamvi wala zege. Imejengwa kwa beam za mbao za futi moja. Haikuwahi kuwa na nyufa, mtitio, mchwa, mvujo, kamwe.
Aisee
Kuna la kujifanza Hapa[emoji848]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wahandisi wetu wamekariri madesa tu na michoro ndio maana wanashindwa kuja na majibu katika uzi huu wanapita kimya kimya ama kweli Kuna shida katika mfumo wetu wa elimu.

Nyumba iliyo jengwa na Babu kijijini kwa kutumia tofari mbichi na tope ipo imara haina nyufa Wala nini angalia Sasa nyumba zilizo jengwa na mhandisi ni kichekesho [emoji57]
 
Hilo la ugumu wa ardhi ya Ulaya unabahatisha tu, si kweli.

Afrika ndio the oldest and the hardest land mass in the history of earth formation. Na baadae, wakati Pangea inavunjika vipande na mabara yanatambaa ( tectonic plate driffting) Afrika ilibakia pale pale kwa miaka milioni 200. (John Reader: Africa, Biography of the Continent.)

Ndio maana hata kilimo kilishindikana, jua, jiwe na dongo gumu na kavu.

Hatujui tu kujenga. Ardhi yetu inapaswa kutupa advantage.

Mimi nimekulia kwenye nyumba ya mkoloni, ya ghorofa, haina nondo, mkanda, jamvi wala zege. Imejengwa kwa beam za mbao za futi moja. Haikuwahi kuwa na nyufa, mtitio, mchwa, mvujo, kamwe.
Uko nondo kwa madesa. Bado unayakumbuka hongera
 
Nyumba za sasa ulaya vinatengenezwa kwa ngozi mbili yaani ndani kuna matofali ya kawaida inafatiwa na insulation alafu nje yanakuja matofali ya kuchoma. Floor nzima ndio ina kuwa linter ya kuhold nyumba, lakini wewe unakuwa huioni isipokuwa unaona matofali ya kuchoma .
Yale matofali yao magumu balaa. Ni yale Yana vikokoto. Pia kwenye floors wanatumia steel beams.
 
Kwenye hizo nyumba ziko lintel lakini ni za matufali yaliyochanganywa na chuma.
Lintel ziko za sina nyingi tu, lintel za zege ilyochanganywa na chuma ni moja wapo
HiZo linta za zege zenye chuma umeziona wapi mkuu?

Au unazungumzia hivi vijilenta vya kunyunyizia kwenye madirisha?
IMG_20220814_101356.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom