Copy
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 1,055
- 1,341
Zipo nyingi Sana mkuu, japo kwa ghorofa naona badala ya beam ya zege inatumika chuma ambayo ukiwa nje haionekani kabisa. Na slab inabebwa na hiyo steel beam. Mfano tembelea majengo mengi ya viwanda vyenye angalau floor 1, utaona hii kitu imetumika Sana. Pia inasaidia kupunguza gharama kuliko zege.Kibongo bongo inawezekana ujenge jengo la kawaida au ghorofa usiweke lenta?
Sent using Jamii Forums mobile app