Kwanini Ujenzi wa Ulaya (Ukraine) hawaweki lenta?

Acha uwongo bhana,
Hizo layer mbili unaziona wapi Hapa kwny kitobo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Storey floor inatenganishwaje?
 

Attachments

  • 03B8059B-DE68-41C0-AFAD-671F7CF2DE2D.jpg
    8.2 KB · Views: 41
  • 6C6E6996-452B-4268-B738-7A530C107764.jpeg
    18.4 KB · Views: 36
  • B56995FF-5FFB-496F-AE55-77468492E46A.jpeg
    21.9 KB · Views: 34
Ubunifu hakuna
Siunaona hata ramn za nyumba zote kama zinafanana hakuna anayekuja na jipya mpaka mzungu aanzishe πŸ˜€πŸ˜€
Ttz linaweza kuwa ni mfumo wetu wa elimu
Siunaona mtoa mada amekuja kuwachallenge na hii hawana majibu
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ Ma engineer wa vitini na past paper mnawaonea bure tu hapa
 
Hapa nmekupata,
Ila za kule Ukraine hata zikibomoka hatuoni hata pande la chuma limeanguka.

Ni totally Hakuna beams

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…