Zipo nyingi Sana mkuu, japo kwa ghorofa naona badala ya beam ya zege inatumika chuma ambayo ukiwa nje haionekani kabisa. Na slab inabebwa na hiyo steel beam. Mfano tembelea majengo mengi ya viwanda vyenye angalau floor 1, utaona hii kitu imetumika Sana. Pia inasaidia kupunguza gharama kuliko zege.Kibongo bongo inawezekana ujenge jengo la kawaida au ghorofa usiweke lenta?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa wale wanaokomalia linta la nondo 4 kwa kijumba Cha chumba sebuleHuku kwetu kujenga ghorofa bila column inawezekana vizuri bila shida, Ila tofali yako iwe ya uhakika. Ila sijawahi kuona slab bila beam, hiyo ni kitu kipya kwangu.
Pia lenta sio lazima Sana kwenye jengo hasa hizi nyumba za floor moja. Cha muhimu msingi wako uwe mzuri na udongo usiwe mkorofi.
Nilipofika Ulaya kwa mara ya kwanza nilifanya kazi kwenye construction sites. Nilishangaa kweli kweli wanamimina zege leo kesho wanaondoa mbao zilizoshikilia zege.Mnaokomalia linta nondo 4 njoo msome hii
tupe conekshen za ulayaNilipofika Ulaya kwa mara ya kwanza nilifanya kazi kwenye construction sites. Nilishangaa kweli kweli wanamimina zege leo kesho wanaondoa mbao zilizoshikilia zege.
Acha uwongo bhana,
Hizo layer mbili unaziona wapi Hapa kwny kitoboView attachment 2324157
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulaya?Nilipofika Ulaya kwa mara ya kwanza nilifanya kazi kwenye construction sites. Nilishangaa kweli kweli wanamimina zege leo kesho wanaondoa mbao zilizoshikilia zege.
Ndiyo.Ulaya?