Kwanini Ujenzi wa Ulaya (Ukraine) hawaweki lenta?

Kibongo bongo inawezekana ujenge jengo la kawaida au ghorofa usiweke lenta?

Sent using Jamii Forums mobile app
Zipo nyingi Sana mkuu, japo kwa ghorofa naona badala ya beam ya zege inatumika chuma ambayo ukiwa nje haionekani kabisa. Na slab inabebwa na hiyo steel beam. Mfano tembelea majengo mengi ya viwanda vyenye angalau floor 1, utaona hii kitu imetumika Sana. Pia inasaidia kupunguza gharama kuliko zege.
 
Kuna nyumba nikipata nafasi ntapiga picha niweke hapa ..ya ghorofa moja lakini Haina nguzo....wamelaza tofali na msingi wametumia mawe...
 
Sasa wale wanaokomalia linta la nondo 4 kwa kijumba Cha chumba sebule
 
Nilipofika Ulaya kwa mara ya kwanza nilifanya kazi kwenye construction sites. Nilishangaa kweli kweli wanamimina zege leo kesho wanaondoa mbao zilizoshikilia zege.
Watakua wanatumia cement Kali sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…