Kwanini ukatili wa kutisha wa Japan hauzungumzwi sana tofauti na wa Mjerumani katika vita vya pili vya dunia?

Kwanini ukatili wa kutisha wa Japan hauzungumzwi sana tofauti na wa Mjerumani katika vita vya pili vya dunia?

Pamoja na atrocities hizo alizofanya Japan lakini kitu chakushangaza wajapan wanafundishwa historia ya uongo. Kizazi cha sasa hivi cha Japan hawafahamu lolote kuhusu wateso, ubakaji na mauaji ya halaiki nchi yao ilifanya kwa China, wafilipino, Indonesia na nchi nyingine za Asia.

Wajapan wengi wanadhani walipigwa na nuklia na Mmarekani kwasababu ya wivu wa wengi hawafahamu lolote kuwa Japan ilipanga na kushambuli Pearl of Harbour US.
 
Ndio yale yale tu. Walijiua kwasababu wanashindwa. Kwani akina Hitler, Heinrich Himmler na Joseph Goebbels walijiua sababu gani? Aibu ya kubondwa, kushindwa na kuhofia udhalili na kifuatacho wakikamatwa. Ego yao ilivunjwa vunjwa.

Ndicho kilichowakuta wajapan waliokuwa hawaamini kabisa kuwa wanashindwa. Wengine wakaona wafanye seppuku tu.
masahihisho,

heinrich himmler kuna ushahidi hakukamatwa, jamaa alitoroka,,,,

tafuta kitabu kinaitwa the 'unlikely dealth of heinrich himmler' , kitabu kizuri sana, hitler pia hakuna ushahidi kama aliuliwa/kujiua.... inaonekana alitoroka!
 
Mbona alaska ipo karibu na russia au taratibu sipo vipi pale
alaska ni sea route, hata route ya finland sio nzuri kumvamia rusdia....

route rahisi na inayompa adui %age kubwa ya ushindi ni kuivamia russia kupitia ukraine TU...... ndio mana kwao ukraine ilikua ni redline, hawapo tayar adui aweke base zake ukraine, watapigana mpk kufa!
 
Japan aliharibu meli nyingi na ndege za kivita za mmarekani (uncle Sam) vita ya pili ya dunia , ile trend ya Kamikaze au kujitoa mhanga , waasisi ni Wajapan , yale mameli makubwa ya mmarekani alikuwa ni pilot mmoja tu na ndege ya kivita iliyojawa explosives au milipuko anaendesha na kwenda kugonga hiyo meli na kusababisha maangamizi ,
Wanajeshi wengi na vifaa vingi vya mmarekani viliteketezwa na hii vita ilikuwa ngumu kwa mmarekani asikuambie mtu , pale Pacific palichafuka haswa .

Isingekuwa industrial mighty na mass production ya mmarekani Japan wasingemuweza
Industrial mass production ya mmarekani hasa baada ya kudeclare war ilikuwa ni balaa , alizalysha vifaa vya kijeshi kwa wingi mno na kuoverpower mjapan na Germany .
Na nchi karibia zote zilizoshiriki kwenye ile vita vilitumia mitambo n vifaa vya mmarekani .

Japan walikuwa nuksi haswa wale washenzi ,walianza kutwanga na kuvamia mpaka Australlia ndio ile Mmarekani akawa na yeye anaingia kwenye vita .
kilichomsaidia mmarekani pia aliingia kwa kuchelewa, pia ww1 hakupigana!

dunia watabe wa vita tukiongea kiuhalisia ni uk, germany, france, russia na japan........ unaweza kumtoa france hapo, ila hao majamaa wa ulaya watatu na huyo mjapani wamepigana vita nyingi sana!

US ni mchumba tu, hajawahi pata mtiti wa maana kutoka kwa watabe wenzake...... US ni waoga sana wa vita utafikiri kenge!
 
Mistake ya Hitler ilikuwa ni kuoverstrech majeshi huku akijua ile frontline ya Russia ni ngumu kihistoria ,tangia enzi za akina Napoleon , walishindwa na kuambulia failure hapo , maana terrain yenyewe si rafiki ,na katika vita supplies ya mahitaji kama chakula ,mafuta ,madawa , nguo na silaha ni muhimu .
Na hata henchmen wake walimuambia ila akaamua kupuuzia .
Halafu sijui ni tamaa gani ilimuingia Hitler mpaka kuamua kumsaliti mwenzake maana Nazi na Soviet walikuwa ni kitu kimoja
 
kilichomsaidia mmarekani pia aliingia kwa kuchelewa, pia ww1 hakupigana!

dunia watabe wa vita tukiongea kiuhalisia ni uk, germany, france, russia na japan........ unaweza kumtoa france hapo, ila hao majamaa wa ulaya watatu na huyo mjapani wamepigana vita nyingi sana!

US ni mchumba tu, hajawahi pata mtiti wa maana kutoka kwa watabe wenzake...... US ni waoga sana wa vita utafikiri kenge!
Unamtoaje France nchi ya zamani zaidi na iliyoexperience Civil wars nyingi sana kabla UK haijazaliwa?

Unajua USA isingepata uhuru kutoka kwa Britain kama France isingemsaidia?
 
China ana ushawishi gani zaidi ya kusambaza yale madude ya kamari ya Tsh.200
China ana ushawishi wa kiuchumi na kisiasa.
WB na IMF ilitoa ripoti benki kuu ya China imekopesha zaidi ya mataifa 138 na kati ya hayo 38 yamesamehewa madeni.
Unakijua kitu kinachoitwa SHANG LARI DIAOLOGUE!?
Hii shanglari hufanyika kila mwaka mataifa ya Asian pacific hukutana kujadili masuala ya kiusalama na kiuchumi na kiranja wa huu mkutano ni CHINA.
Fuatilia hata mgogoro wa Venezuela,Iran na Russia nani alifuatwa ili kuzungumza nao kama sio China.
Saudi Arabia na Iran aliwapatanisha nani kama sio China!?
Je hapo bado China hana ushawishi!?
Mgogoro wa Taiwan Ursula Von derleyen mwenyekiti wa EU alimsihi Biden akae na Jin Ping wazungumze kama ikitokea confrontation basi dunia itateseka kuliko inavyoteseka kwa vita ya Ukraine.
China ndie anaye contribute asilimia kubwa ya industrial goods ulimwenguni.
Kafuatilie kitu kinachoitwa BELT AND ROAD hiki kitu kimefanya mataifa makubwa pia kama Italy na France kwenda Beijing.
Hapo bado utasema China haina ushawishi!?
 
Iki ujue USA hakupigwa kwenye vita ya Vietnam lazima ujue hali ya kisiasa ilikuaje kipindi hicho katika Taifa la marekani.

Kiufupi vita hivyo vya Vietnam vilipingwa sn na wa USA wenyewe hali ilivopelekea rais wao Kennedy kuuawa so kimsingi ni vita ambayo USA hawakuwa na maslahi nayo.

Lkn pia kuna mambo mengi sn yaliyopelekea USA ku give kwenye hiyo war.jisomee utaelewa
Lete claim unazozileta wewe ila je alishindwa hakushindwa?
Usilete justification ya kufunika hilo mzee.
Basi sawa tuliache hilo,vipi kuhusu hapo middle east baab al mandib!?
juzi French frigate ilijiondoa na sasa US frigate iko Djibout pasi na kufanya lolote na bahari Houthi wameishikilia.
 
Wanatumia mpaka Sasa huo mwavuli wa holocaust kuua Wapalestina kule Gaza na kupora ardhi Yao.

Yeyote anayeibuka kupinga hilo au kuikisoa Israel anaitwa mwenye chuki dhidi ya Uyahudi, ila huo mwavuli Kuna kipindi utatoboka tu maana Dunia imebadilika mno.

zitto junior
Ardhi inayoitwa ya Palestina inaweza kuwa claimed na Waarabu au Wayahudi. Kila mmoja ana sababu za msingi za kupaita nyumbani kwake, pale wanapogoma kukubaliana ndio machafuko yanatokea.
 
Ardhi inayoitwa ya Palestina inaweza kuwa claimed na Waarabu au Wayahudi. Kila mmoja ana sababu za msingi za kupaita nyumbani kwake, pale wanapogoma kukubaliana ndio machafuko yanatokea.
Shida Israel anataka sehemu yote.
 
Sikuzote mshindi ndio anaandika history.
Isingekua nyuki hwa washenzi ungekuta wamefika huku kwetu.
Binadamu wa kwanza alikua nyani

Mabaki ya binadamu wa kwanza yalipatikana blonde la Olduvai

Eti wao ndio wamegundua ziwa victoria

Eti binadamu wa kwanza kupanda mlima Kilimanjaro ni wao (mzungu)

Yaani waongo waongo Sana 😀😀😀
 
Back
Top Bottom