KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
Sio kubalance ni unakatika kabisa!Ukitaka kuona wanaume wengi pitia MOI pale kitengo cha mifupa nadhani mzani wako utabalance.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kubalance ni unakatika kabisa!Ukitaka kuona wanaume wengi pitia MOI pale kitengo cha mifupa nadhani mzani wako utabalance.
Wanawake wana uwakilishi. Mfano anampeleka mtoto na anaowalea. Mwanaume anapoenda anaenda mwenyewe tuAnachokisema mtoa mada kipo, me nililigundua hili nilipompeleka wife kuanza clinic, asee!
Wanaume wanahesabika zahanati nzima wamejaa wanawake, wanaume wengi wamesindikiza watu wao, na waliokuja kutibiwa unawahesabu kwa vidole.
Yaani 5% kwa 95%
Haya mambo nimegombana sana na mke wangu,yaan yeye akisikia kuumwa kidogo anataka kwenda hospital na atapima kila kitu hata kama miezi miwil katoka kupima vitu hvyoAsilimia kubwa ya sisi wanaume tuna tabia ya kupuuza maradhi tofauti na kina mama ambao wao kila maumivu huchukulia ni kitu serious.
Mimi binafsi mpaka kwenda hospitali ni iwe nimeshikika hasa.
Pengine ndio maana huwa hata kwenye ndoa tunakufa mapema kabla ya wake zetu.
AtaaAnachokisema mtoa mada kipo, me nililigundua hili nilipompeleka wife kuanza clinic, asee!
Wanaume wanahesabika zahanati nzima wamejaa wanawake, wanaume wengi wamesindikiza watu wao, na waliokuja kutibiwa unawahesabu kwa vidole.
Yaani 5% kwa 95%
Tushazoea kujikaza KISABUNI.Nipo Muhimbili hapa...idadi kubwa ya wagonjwa na wapendwa wao ni wamama ... ni kwamba men hawaumwi!?
No wonder men ndo sababu tunakufa fasta hatuna muda wa kupokea tiba
Wanajali afya zao. Akijisikia ndivyo sivyo anatafuta matibabu wakati sisi tunajidai wanaume mwisho wake tunaondoka mapema kwa ubishi.Nipo Muhimbili hapa...idadi kubwa ya wagonjwa na wapendwa wao ni wamama ... ni kwamba men hawaumwi!?
No wonder men ndo sababu tunakufa fasta hatuna muda wa kupokea tiba
Nenda kachukue idadi kama hiyo kwenye matamasha ya wasanii au kwenye banda la mpira au uwanja wa taifa 🤣Kanisani kwetu Kuna utaratibu wa kusoma idadi ya wanaume na wanawake waliohudhuria Ibadan jumapili iliyopita. Jumapili ya Jana wakatutangazia kwamba jumapili iliyopita akina mama walikuwa 344 na akina baba 88 !
mwanaume anaenda zahanati kutibiwa nini? Zahanati ni kwaajili ya watoto,wajawazito,wazee na wanawake kwa ujumla.Anachokisema mtoa mada kipo, me nililigundua hili nilipompeleka wife kuanza clinic, asee!
Wanaume wanahesabika zahanati nzima wamejaa wanawake, wanaume wengi wamesindikiza watu wao, na waliokuja kutibiwa unawahesabu kwa vidole.
Yaani 5% kwa 95%