Kwanini ukienda hospitali idadi kubwa ya wanaotibiwa ni wanawake?

Kwanini ukienda hospitali idadi kubwa ya wanaotibiwa ni wanawake?

Mwanaume ukienda Hospital, kina mama wote wanakushangaa.
 
Nipo Muhimbili hapa...idadi kubwa ya wagonjwa na wapendwa wao ni wamama ... ni kwamba men hawaumwi!?

No wonder men ndo sababu tunakufa fasta hatuna muda wa kupokea tiba
wanawake wanaumwa,na wanaume tunakufa!! hospitalini,wanawake kibao,,,makaburini wanaume kibao!!
 
Asilimia kubwa ya sisi wanaume tuna tabia ya kupuuza maradhi tofauti na kina mama ambao wao kila maumivu huchukulia ni kitu serious.
Mimi binafsi mpaka kwenda hospitali ni iwe nimeshikika hasa.

Pengine ndio maana huwa hata kwenye ndoa tunakufa mapema kabla ya wake zetu.
kufa mapema c unawazidi umri
 
You can just imagine kuna department inadeal na magonjwa ya wanawake tu!!! OBGY huko obstetrics and gynaecology department.
Ila hakuna department ya magonjwa ya wanaume
😂😂
 
Back
Top Bottom