Asilimia kubwa ya sisi wanaume tuna tabia ya kupuuza maradhi tofauti na kina mama ambao wao kila maumivu huchukulia ni kitu serious.
Mimi binafsi mpaka kwenda hospitali ni iwe nimeshikika hasa.
Pengine ndio maana huwa hata kwenye ndoa tunakufa mapema kabla ya wake zetu.