Kwanini ukienda hospitali idadi kubwa ya wanaotibiwa ni wanawake?

Mwanaume ukienda Hospital, kina mama wote wanakushangaa.
 
Nipo Muhimbili hapa...idadi kubwa ya wagonjwa na wapendwa wao ni wamama ... ni kwamba men hawaumwi!?

No wonder men ndo sababu tunakufa fasta hatuna muda wa kupokea tiba
wanawake wanaumwa,na wanaume tunakufa!! hospitalini,wanawake kibao,,,makaburini wanaume kibao!!
 
kufa mapema c unawazidi umri
 
You can just imagine kuna department inadeal na magonjwa ya wanawake tu!!! OBGY huko obstetrics and gynaecology department.
Ila hakuna department ya magonjwa ya wanaume
πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…