Kwanini ukiombewa na Baba yako mambo yanafanikiwa au Baba ndo Mungu mwenyewe ?

Kwanini ukiombewa na Baba yako mambo yanafanikiwa au Baba ndo Mungu mwenyewe ?

Manfried

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2024
Posts
1,288
Reaction score
4,074
Wakuu huu ni ushuhuda.

Mwaka 2020 nilianza kuishi na Baba mzazi baada ya kuumia kupata Ajali .

Niliamua kubeba hilo jukumu 100% japo ndugu zangu walikuwa wanaruka ruka.

Ila asikuambie mtu tangia nianze kukaa na mzee wangu haya ndo niliyoyapata.

Kila nikitaka kufanya jambo nilikuwa nikimshirikisha analiombea basi hilo jambo lazima litiki 100%.

Baada ya kutafakari nimegundua Baba ndo Mungu mwenyewe hivyo nimekuwa nikimpelekea mahitaji yangu ayaingize katika maombi na kweli kila kitu kimekuwa kinaenda swadakta.

Hii imenifanya kugundua umuhimu wa kuheshimu ancestors Kwa wale ambao baba zao wamefariki na kuheshimu baba zao.


Kwa sasa my Father is everything
 
Wakuu huu ni ushuhuda.

Mwaka 2020 nilianza kuishi na Baba mzazi baada ya kuumia kupata Ajali .

Niliamua kubeba hilo jukumu 100% japo ndugu zangu walikuwa wanaruka ruka.

Ila asikuambie mtu tangia nianze kukaa na mzee wangu haya ndo niliyoyapata.

Kila nikitaka kufanya jambo nilikuwa nikimshirikisha analiombea basi hilo jambo lazima litiki 100%.


Baada ya kutafakari nimegundua Baba ndo Mungu mwenyewe hivyo nimekuwa nikimpelekea mahitaji yangu ayaingize katika maombi na kweli kila kitu kimekuwa kinaenda swadakta.



Hii imenifanya kugundua umuhimu wa kuheshimu ancestors Kwa wale ambao baba zao wamefariki na kuheshimu baba zao.


Kwa sasa my Father is everything
Na Mama Je?
 
Unajua sijui ni shetani au nini? Watu wanamtukuza sana mama hata nyimbo nyingi za wasanii sijui "hakuna kama mama", "mama ndo kila kitu!", "nani kama mama". Mwisho wa siku ni taabu alafu wanaanza kumlaumu baba! Anza na baba ndo upate baraka za mama!
 
"Eeh Mungu Baba" - Ukiangalia hiyo statement unaona Mungu ametengeneza kitu gani kwa Baba, Hata kwenye uumbaji ni alianza mwanaume. Baba ndo mwenyewe.

Sasa sijui hawa singo maza inakuaje wanajipa ubaba ikiwa si majukumu yao ya kiroho na mengineyo.
 
Kama ndo mungu anajiomba mwenyewe?

Wote waliochapwa na maisha hawana baba au hawajui kuomba?

Elona Musk hataki hata kumsikia baba yake.

Jeff Bezos hana mawasiliano yeyote na baba yake mzazi.

The list is endless.
 
Wakuu huu ni ushuhuda.

Mwaka 2020 nilianza kuishi na Baba mzazi baada ya kuumia kupata Ajali .

Niliamua kubeba hilo jukumu 100% japo ndugu zangu walikuwa wanaruka ruka.

Ila asikuambie mtu tangia nianze kukaa na mzee wangu haya ndo niliyoyapata.

Kila nikitaka kufanya jambo nilikuwa nikimshirikisha analiombea basi hilo jambo lazima litiki 100%.


Baada ya kutafakari nimegundua Baba ndo Mungu mwenyewe hivyo nimekuwa nikimpelekea mahitaji yangu ayaingize katika maombi na kweli kila kitu kimekuwa kinaenda swadakta.



Hii imenifanya kugundua umuhimu wa kuheshimu ancestors Kwa wale ambao baba zao wamefariki na kuheshimu baba zao.


Kwa sasa my Father is everything
Acha kugeneralize mambo, usiabudu miungu wengine Mungu ni moja tu. Kuna wababa ni zaidi ya shetani.
 
Kama ndo mungu anajiomba mwenyewe?

Wote waliochapwa na maisha hawana baba au hawajui kuomba?

Elona Musk hataki hata kumsikia baba yake.

Jeff Bezos hana mawasiliano yeyote na baba yake mzazi.

The list is endless.
We jamaa mbishi sana
 
Wakuu huu ni ushuhuda.

Mwaka 2020 nilianza kuishi na Baba mzazi baada ya kuumia kupata Ajali .

Niliamua kubeba hilo jukumu 100% japo ndugu zangu walikuwa wanaruka ruka.

Ila asikuambie mtu tangia nianze kukaa na mzee wangu haya ndo niliyoyapata.

Kila nikitaka kufanya jambo nilikuwa nikimshirikisha analiombea basi hilo jambo lazima litiki 100%.

Baada ya kutafakari nimegundua Baba ndo Mungu mwenyewe hivyo nimekuwa nikimpelekea mahitaji yangu ayaingize katika maombi na kweli kila kitu kimekuwa kinaenda swadakta.

Hii imenifanya kugundua umuhimu wa kuheshimu ancestors Kwa wale ambao baba zao wamefariki na kuheshimu baba zao.


Kwa sasa my Father is everything
Ubarikiwe sana kwa kuliweka jambo Hilo moyoni, MUNGU akupe baraka tele daima wa daima.
 
"Eeh Mungu Baba" - Ukiangalia hiyo statement unaona Mungu ametengeneza kitu gani kwa Baba, Hata kwenye uumbaji ni alianza mwanaume. Baba ndo mwenyewe.

Sasa sijui hawa singo maza inakuaje wanajipa ubaba ikiwa si majukumu yao ya kiroho na mengineyo.
Yaaani! Angalia vijana wengi wanaotaabika mitaani! Ukiwadadisi utajua walilishwa maneno mabaya na mama zao wakamdharau baba yao! Baada ya kukwama ndo wanaanza kumlaumu baba! Utakula jeuri yako kijana! Rudi tengeneza na baba kwanza ndo uende kwa mama!
 
H
Yaaani! Angalia vijana wengi wanaotaabika mitaani! Ukiwadadisi utajua walilishwa maneno mabaya na mama zao wakamdharau baba yao! Baada ya kukwama ndo wanaanza kumlaumu baba! Utakula jeuri yako kijana! Rudi tengeneza na baba kwanza ndo uende kwa mama!
hili jambo ni ukweli 100%
 
Kama ndo mungu anajiomba mwenyewe?

Wote waliochapwa na maisha hawana baba au hawajui kuomba?

Elona Musk hataki hata kumsikia baba yake.

Jeff Bezos hana mawasiliano yeyote na baba yake mzazi.

The list is endless.
Unaweza kutengeneza justifications za kila aina! Lakini nyuma ya pazia ni baba! Alafu sio kila baraka ina mwisho mwema! Hata wabaya wana utajiri wa fedha!
 
Back
Top Bottom