inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Mohammed gani alikua waafrika magharibi!?..lini!?kwann tuende mbali haya ya leo huyaoni ? je kuna faida gan kuacha haya ya alshabab , boko haram , al answar , is central africa , halaf tujadili mamb ya zamn kbs , au hayo ya wakristu kueneza ukristu huko baran kwao( maana haikuwa nje ya ulaya kama Mohamed aliua waafrika magharibi na kaskazin kueneza dini yake ) je hayo ya crusade baran ulaya yanahalalisha chochote wanachofanya akina alshabab , boko haram au is central africa au janjaweed au al answar kwa kuua na kuchinja waafrika wenzao
walipingwa kwa matendo yao na sio kwa upagan wao , mbona hujibu juu ya hezbollah , taliban , alshabab , is central africa hawa wamechinja mtwara hapo , al ansar , adf , boko haram , janja weed etc hawa pia jihadism yao ni sahihi kuchinja watu?Hao wapagani ulikuwa na haki gani ya kuwarazimisha ukristo wenu.
Thibitisha hili kwa uislamDini kuu mbili yaani Ukrisito na Uislam vilipata nguvu kwa sababu ya upanga hilo halina shaka na yeyote atakaye bisha juu ya hilo ni mwenda wazimu.
Ila waroma walivunja recod ya mauaji ya watu wengi hapa duniani na sidhani kama kuna watu watakuja kuvunja rekod yao, maana waliuwa mpaka wakristo wenzao ambao halijaribu kuhalihasi kanisa katoliki.
Wakatoriki waliivamia bara la America na kawanagamiza mamilioni ya wahindi wekundu.
Na pia katika miaka ya hivi karibuni kanisa limekuwa likihusishwa na kashifa mbovu za mauaji mfano mauaji ya kimbali nchini Rwanda.
Alafu unacho takiwa kujua ni kuwa Ottoman kipaumbele chake kikubwa kilikuwa ni kutanua imaya yao, suala la dini walikuwa hawalipi nguvu sana kiivyo na ndio maana ndani ya Ottoman kulikuwa na wakristo na wapagani kibao na hawakuwahi kuuawa ,tofauti na upande wa utawala wa waroma ambao wapagani walikuwa wana uawa.
akili zako kama mbuz , kisa kafanya shaban lawama apewe mudi kisa zaman shaban alikuwa anaitwa mudiMadhehebu yote ya ukrisito ni zao la Ukatoliki.
Kwenye vitabu vya historia ya kuenea kwa hizi diniElimu hii umeipatia wapi?
Taliban na jeshi la marekani Wana tofauti gani!?..Tena Bora Taliban wanapigania taifa lao,marekani kazi kuua watu wa taifa jingine,na bush alitangaza ni crusade/Vita vya msalabawalipingwa kwa matendo yao na sio kwa upagan wao , mbona hujibu juu ya hezbollah , taliban , alshabab , is central africa hawa wamechinja mtwara hapo , al ansar , adf , boko haram , janja weed etc hawa pia jihadism yao ni sahihi kuchinja watu?
Wanatumia biblia iliyoandalia na romaMakanisa Yote yametoka kwenye shina la roma..
Protestant
Anglicana
Lutheran
Sabatoo
Kifupi ni yoteeee yna asili ya kutoka roma
Kilichoandikwa hapo ni sawa kabisa, ni maelekezo kutoka kwa Mungu kwa mfalme wa kwanza wa Israel "Sauli".Ngoja niwalete Your Friendly Narcissist na Marco Polo na Maghayo huenda wana majibu.
Nawaleta kwenu kwa udhamini mkubwa wa hii verse..View attachment 2779970
Naunga mkono hoja 👍👏Dini zote mbili , islamic na Christianity sehemu kubwa ilienezwa Kwa njia ya upanga.
Hao wakatoliki walichinja watu wengi ukilinganisha na alshabab ni kama alshabab wanatania.uliza kwanza ni watu wa wap , ilikuwa ulaya huko huko wala si Afrika ila leo hii uslam umesababisha maafa dunian kote , kasoro latin amerika ndo kidogo hakuna ushetan wa uislam maana kule walidhibiti huu ushetan
Hebu waulize wakatoliki wenzako hili, maana wewe inaonekana lilikupita kushoto.Hao walio chinja watu hawakuwa Wakristo hakuna popote Ukristo unalazimishwa ilikuwa ama uwe Islam au Mkatoliki
Dini siyo kitu cha kukaa na kujisifia, tunajisifia imani zetu na matendo yetu mema,Lakini hakuondoi ukweli kuwa wakristo wa sasa duniani kote ni zao la kanisa katoliki.
Bila utawala wa waroma kushika upanga kuieneza huo unao uita Ukatoliki nadhani ww hapo huo ukrisito wako wa kweli usinge kufikia.
Natamani kila mtu aelewe hiki ulichoandika hapa.Ukristo ni wote walio mwelewa Yesu na kushika mafunzo yote ya Yesu hao ndiyo Wakristo. Roma baada yakuona vuguvugu la wa fuasi wa Yesu limepamba moto na ni ngumu kulizuia watumia mbinu kujidai na wenyewe wameokoka na kubatizwa na kuingia kwenye Ukristo na kwa vile wao ndiyo walikuwa watawala wadunia kanisa lao likapata wafuasi wengi na kujiita Catholic kwa maana ya Universal.
Kwahiyo hata leo unaweza kuona namna walivyo tofauti na Yesu mwenye hata wote walio kuwa wanawapinga waliuliwa kwa adhabu kali kama kuchomwa moto wakiwa hai nk. hata wote waliokuwa wanafundisha ukweli wa biblia kama msamaha wa dhambi ni bure na hauuzwi.
[ katoliki walikuwa wanawauzia watu msamaha wa dhambi zao yaani ukitaka kusamehewa dhambi unatoa hela ]
kwahiyo wengi walikufa na vita vita vingi vya kidini vilisababishwa na Vatcan hata dini bandia iliundwa ili itumike kama chombo cha mashambulizi pale yoyote atakae enda tofauti na vatcan hii ndiyo inatumika hata leo.
Ni kwamba Roman Empire haikuanguka yenyewe ilijibadili na kuwa kanisa katoliki na hii imewasaidia zaidi vile leo wameweza kufikia kila mahali kwa mwavuli wa dini kupitia ukristo.
bila hao dunia isingekuwa sehemu salama ya kuishi.Mumshukuru sana Papal.Pale Vatcan kuna kikundi kinaitwa Jesuits unaweza kukisoma na utaona namna leo dunia inavyo endeshwa kwa uongo.
acha uongo mwendawazimu wewe.Ukristo ni wote walio mwelewa Yesu na kushika mafunzo yote ya Yesu hao ndiyo Wakristo. Roma baada yakuona vuguvugu la wa fuasi wa Yesu limepamba moto na ni ngumu kulizuia watumia mbinu kujidai na wenyewe wameokoka na kubatizwa na kuingia kwenye Ukristo na kwa vile wao ndiyo walikuwa watawala wadunia kanisa lao likapata wafuasi wengi na kujiita Catholic kwa maana ya Universal.
Kwahiyo hata leo unaweza kuona namna walivyo tofauti na Yesu mwenye hata wote walio kuwa wanawapinga waliuliwa kwa adhabu kali kama kuchomwa moto wakiwa hai nk. hata wote waliokuwa wanafundisha ukweli wa biblia kama msamaha wa dhambi ni bure na hauuzwi.
[ katoliki walikuwa wanawauzia watu msamaha wa dhambi zao yaani ukitaka kusamehewa dhambi unatoa hela ]
kwahiyo wengi walikufa na vita vita vingi vya kidini vilisababishwa na Vatcan hata dini bandia iliundwa ili itumike kama chombo cha mashambulizi pale yoyote atakae enda tofauti na vatcan hii ndiyo inatumika hata leo.
Ni kwamba Roman Empire haikuanguka yenyewe ilijibadili na kuwa kanisa katoliki na hii imewasaidia zaidi vile leo wameweza kufikia kila mahali kwa mwavuli wa dini kupitia ukristo.
Kama hutajibu hoja kwa hoja nani atakuwa mwendawazimu?acha uongo mwendawazimu wewe.
Since i studied Numerology and Symbology (Symbolism) ,Nakubaliana na wewe kwa 100% sema This was not the Mada ya leoMzee pitia pitia uone symbol, names, numeralas zilitumikaje utakuja kuona kuwa hata hao waroma wamekwangua mahali hiyo idea ya kanisa even msalaba.
Ni kweli na saivi wanakaribia kuunga mkono ushoga siku inakuja ndoa za mashoga tutazishuhudia zikifungwa makanisani. kama huo ndiyo usalama wa dunia ni sawa.bila hao dunia isingekuwa sehemu salama ya kuishi.Mumshukuru sana Papal.
Maybe nahisi bado hujaelwa Point yangu Nilichosema na ninachokisema Siku zote Madhehebu yote yamediverge from Rome na hakuna hata moja ambalo halina mizizi kwenye catholicMzee Soma Tena ulichoandika Kisha Rudi nyuma kasome nilichoandika. Na ukifanikiwa kuja Kama Roman ilikuwa kanisa kabla au baada ya Yesu rudi tusemezane.
We kalia kukaza fuvu na kuhisi ni wachungaji ndio walionifunza haya.
Sijui wewe umefundishwa na Nani ?