inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Ulaya ipi waliyosilimishwa kwa Vita!?Si ni wapuuzi tunaambiwa chochote tunakubali. Wenzetu ulaya mpaka vita
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulaya ipi waliyosilimishwa kwa Vita!?Si ni wapuuzi tunaambiwa chochote tunakubali. Wenzetu ulaya mpaka vita
1Samuel-15: Kiswahili Biblia - Agano la kaleWeka link nisome sura nzima.
Ku diverge means they are not catholic now na wamekataa tamaduni zote za catholic ambazo si mafundisho ya biblia.Maybe nahisi bado hujaelwa Point yangu Nilichosema na ninachokisema Siku zote Madhehebu yote yamediverge from Rome na hakuna hata moja ambalo halina mizizi kwenye catholic
SpainUlaya ipi waliyosilimishwa kwa Vita!?
Acha kutetea timu yako unayoishabikia afu usome Spanish inquisitionMifano?
Ushahidi?
Chanzo cha taarifa?
Au ndoto
Mkuu uko serious? Waarabu hawana agenda za kikoloni, kujiona wao.bora na kudunisha wengine? Hizi dini walizotuletea tuzishike na kuzifuata lakini kisiwe kigezo Cha kutetea maovu yao sababu tu walituletea dini. Wazungu, waarabu waliudhalilisha sana utu wa Mwafrika.Yeah,Kama vilivyo,hawana agenda za kikoloni na kujiona wao Bora na kudunisha wengine
Timu ipi hiyo?Acha kutetea timu yako unayoishabikia afu usome Spanish inquisition
📌📌📌Ku diverge means they are not catholic now na wamekataa tamaduni zote za catholic ambazo si mafundisho ya biblia.
Msingi wa ukristo ni biblia. wakati catholic ikiwa branded kama ukristo being the largest and oldest church can mean so, but in fact sio ukristo kwa sababu hawatembei katika ukristo kama ulivyoandikwa katika biblia.
Wakristo wengine hulazimika kubeba tuhuma hizo zilizofanywa na ukatoliki lakini ukristo hauenezwi kwa panga hata kidogo
Ukatoliki
Tutolee movie zako hapa..😂Walikuwa ni wakatoliki ndo walifanya hivyo.
Kwa kipindi kile ukatolic haukuwa ukristo ,
Walitaka kuutokomeza ukristo kabisa.
Ndo wakawa wanauwa wakristo.
Ila walishidwa kwa sababu mkono wa bwana upo.
Kwani uongo ni nini hapo? Maria siyo mama mtukufu? Hakumzaa Yesu (ambaye kwa wakristo ni Mungu) kama Almzaa Yesu ni mama wa Mungu au siyo mama wa Mungu? Kama ni mama wa Mungu anastahili kuheshimiwa au hastahili?View attachment 2780824
Maria mama Mtukufu.
Yesu ( Mwili ) Kristo ( Roho wa Mungu ).Kwani uongo ni nini hapo? Maria siyo mama mtukufu? Hakumzaa Yesu (ambaye kwa wakristo ni Mungu) kama Almzaa Yesu ni mama wa Mungu au siyo mama wa Mungu? Kama ni mama wa Mungu anastahili kuheshimiwa au hastahili?
Wakatoliki tunamuabudu Mungu nyie mnampigia kelele Mungu.
Nyie ndiyo wapagani wakubwa.
Kwa hiyo mwili wa Yesu ulikuja duniani bila roho wa Mungu? Au we ndiyo unakaza fuvu kwa mafundisho ya mchungaji wako mpiga kelele?Yesu ( Mwili ) Kristo ( Roho wa Mungu ).
Maria alizaa mwili, roho wa mungu alishakuwepo kitambo kirefu Sasa wewe kaza fuvu komaa na Mariah kamzaa Mungu.
Na akuombee Wewe Lofa mkosefu.Maria ni mama wa Mungu,
Nimesoma tayari ,wangepigwa wenye makosa na sio wengine wasiokuwa na hatia kuuwawa .
Mzee binadamu tunavofikiria sio kama mungu anavofikiria.Nimesoma tayari ,wangepigwa wenye makosa na sio wengine wasiokuwa na hatia kuuwawa .
Aliua wote isipokuwa nduguze waishmaelMzee binadamu tunavofikiria sio kama mungu anavofikiria.
Hao wewe unaowaona hawana makosa ila Mungu kipindi anatoa hayo maagizo alikuwa anawaona wana makosa, ubaya ni kwamba Israel hawakumsikiliza mungu, mungu aliwambia waue kila kabila watakalo likuta kweny nchi ya ahadi kwasababu mungu anawajua wamebeba mbegu mbaya, mbegu za kivita na chuki, sasa wao kwa tamaa zao za mali hawakufanya ivo, waliacha baadhi ya watu waliojificha na wanyama baadhi.
Mungu akaawambia hao mliowaacha watakuwa kuwa kama mwiba mbavuni mwenu, sasa hao waliowaacha kinyume na maagizo ya mungu ndo hao sasa wamezaliana na wanapigana vita hadi leo, kama unavoona kinachoendelea huko Israel.
Gaza ndio kaananiMzee binadamu tunavofikiria sio kama mungu anavofikiria.
Hao wewe unaowaona hawana makosa ila Mungu kipindi anatoa hayo maagizo alikuwa anawaona wana makosa, ubaya ni kwamba Israel hawakumsikiliza mungu, mungu aliwambia waue kila kabila watakalo likuta kweny nchi ya ahadi kwasababu mungu anawajua wamebeba mbegu mbaya, mbegu za kivita na chuki, sasa wao kwa tamaa zao za mali hawakufanya ivo, waliacha baadhi ya watu waliojificha na wanyama baadhi.
Mungu akaawambia hao mliowaacha watakuwa kuwa kama mwiba mbavuni mwenu, sasa hao waliowaacha kinyume na maagizo ya mungu ndo hao sasa wamezaliana na wanapigana vita hadi leo, kama unavoona kinachoendelea huko Israel.