Kwanini Ukristo (Ukatoliki na makanisa washirika ) waliamua kuchinja watu?

Kwanini Ukristo (Ukatoliki na makanisa washirika ) waliamua kuchinja watu?

Duuuh!!!! Kumbe na huu upande kilichafuka miaka hiyo.

Nimejikuta napigwa na butwaa hapa. So haya ya Alkaida ni marudio tuu kumbe
 
Maybe nahisi bado hujaelwa Point yangu Nilichosema na ninachokisema Siku zote Madhehebu yote yamediverge from Rome na hakuna hata moja ambalo halina mizizi kwenye catholic
Ku diverge means they are not catholic now na wamekataa tamaduni zote za catholic ambazo si mafundisho ya biblia.

Msingi wa ukristo ni biblia. wakati catholic ikiwa branded kama ukristo being the largest and oldest church can mean so, but in fact sio ukristo kwa sababu hawatembei katika ukristo kama ulivyoandikwa katika biblia.

Wakristo wengine hulazimika kubeba tuhuma hizo zilizofanywa na ukatoliki lakini ukristo hauenezwi kwa panga hata kidogo
 
Yeah,Kama vilivyo,hawana agenda za kikoloni na kujiona wao Bora na kudunisha wengine
Mkuu uko serious? Waarabu hawana agenda za kikoloni, kujiona wao.bora na kudunisha wengine? Hizi dini walizotuletea tuzishike na kuzifuata lakini kisiwe kigezo Cha kutetea maovu yao sababu tu walituletea dini. Wazungu, waarabu waliudhalilisha sana utu wa Mwafrika.
 
Ku diverge means they are not catholic now na wamekataa tamaduni zote za catholic ambazo si mafundisho ya biblia.

Msingi wa ukristo ni biblia. wakati catholic ikiwa branded kama ukristo being the largest and oldest church can mean so, but in fact sio ukristo kwa sababu hawatembei katika ukristo kama ulivyoandikwa katika biblia.

Wakristo wengine hulazimika kubeba tuhuma hizo zilizofanywa na ukatoliki lakini ukristo hauenezwi kwa panga hata kidogo
📌📌📌
 
Kwani uongo ni nini hapo? Maria siyo mama mtukufu? Hakumzaa Yesu (ambaye kwa wakristo ni Mungu) kama Almzaa Yesu ni mama wa Mungu au siyo mama wa Mungu? Kama ni mama wa Mungu anastahili kuheshimiwa au hastahili?
Wakatoliki tunamuabudu Mungu nyie mnampigia kelele Mungu.
Nyie ndiyo wapagani wakubwa.
 
Kwani uongo ni nini hapo? Maria siyo mama mtukufu? Hakumzaa Yesu (ambaye kwa wakristo ni Mungu) kama Almzaa Yesu ni mama wa Mungu au siyo mama wa Mungu? Kama ni mama wa Mungu anastahili kuheshimiwa au hastahili?
Wakatoliki tunamuabudu Mungu nyie mnampigia kelele Mungu.
Nyie ndiyo wapagani wakubwa.
Yesu ( Mwili ) Kristo ( Roho wa Mungu ).
Maria alizaa mwili, roho wa mungu alishakuwepo kitambo kirefu Sasa wewe kaza fuvu komaa na Mariah kamzaa Mungu.
 
Yesu ( Mwili ) Kristo ( Roho wa Mungu ).
Maria alizaa mwili, roho wa mungu alishakuwepo kitambo kirefu Sasa wewe kaza fuvu komaa na Mariah kamzaa Mungu.
Kwa hiyo mwili wa Yesu ulikuja duniani bila roho wa Mungu? Au we ndiyo unakaza fuvu kwa mafundisho ya mchungaji wako mpiga kelele?
Yesu alikuwa mtu kweli na Mungu kweli,hakuwa nusu mtu nusu Mungu.
Maria alimzaa Yesu mtu mwenye roho wa Mungu,Mungu Alimchagua Maria ili apitie kwake kuja duniani,Maria alimleta Mungu duniani.
Maria ni mama wa Mungu,Full stop
 
Kuna watu makatili, wenye roho mbaya na waovu katika jamii kwa asili yao. Inapotokea watu hao kupata madaraka katika. taasisi, iwe ya kijamii, kidini au serikali, hutumia madaraka yao kutesa na hata kuua wale wote watakaokuwa kinyume na matarajio yao.
Mtu wa aina hiyo akiwa kwenye serikali, taasisi ya kidini au ya kijamii huumiza na kuua wengine.
Hivyo ni muhimu sana kuwachuja watu wanaogombea madaraka kwa kutumia watu wengine wenye weledi wasiotaka madaraka au watakaozuiwa kisheria.
 
Nimesoma tayari ,wangepigwa wenye makosa na sio wengine wasiokuwa na hatia kuuwawa .
Mzee binadamu tunavofikiria sio kama mungu anavofikiria.

Hao wewe unaowaona hawana makosa ila Mungu kipindi anatoa hayo maagizo alikuwa anawaona wana makosa, ubaya ni kwamba Israel hawakumsikiliza mungu, mungu aliwambia waue kila kabila watakalo likuta kweny nchi ya ahadi kwasababu mungu anawajua wamebeba mbegu mbaya, mbegu za kivita na chuki, sasa wao kwa tamaa zao za mali hawakufanya ivo, waliacha baadhi ya watu waliojificha na wanyama baadhi.

Mungu akaawambia hao mliowaacha watakuwa kuwa kama mwiba mbavuni mwenu, sasa hao waliowaacha kinyume na maagizo ya mungu ndo hao sasa wamezaliana na wanapigana vita hadi leo, kama unavoona kinachoendelea huko Israel.
 
Mzee binadamu tunavofikiria sio kama mungu anavofikiria.

Hao wewe unaowaona hawana makosa ila Mungu kipindi anatoa hayo maagizo alikuwa anawaona wana makosa, ubaya ni kwamba Israel hawakumsikiliza mungu, mungu aliwambia waue kila kabila watakalo likuta kweny nchi ya ahadi kwasababu mungu anawajua wamebeba mbegu mbaya, mbegu za kivita na chuki, sasa wao kwa tamaa zao za mali hawakufanya ivo, waliacha baadhi ya watu waliojificha na wanyama baadhi.

Mungu akaawambia hao mliowaacha watakuwa kuwa kama mwiba mbavuni mwenu, sasa hao waliowaacha kinyume na maagizo ya mungu ndo hao sasa wamezaliana na wanapigana vita hadi leo, kama unavoona kinachoendelea huko Israel.
Aliua wote isipokuwa nduguze waishmael
Ila mwana wa kijakazi hawezi kumiliki sawa na mwana wa kifalme
 
Mzee binadamu tunavofikiria sio kama mungu anavofikiria.

Hao wewe unaowaona hawana makosa ila Mungu kipindi anatoa hayo maagizo alikuwa anawaona wana makosa, ubaya ni kwamba Israel hawakumsikiliza mungu, mungu aliwambia waue kila kabila watakalo likuta kweny nchi ya ahadi kwasababu mungu anawajua wamebeba mbegu mbaya, mbegu za kivita na chuki, sasa wao kwa tamaa zao za mali hawakufanya ivo, waliacha baadhi ya watu waliojificha na wanyama baadhi.

Mungu akaawambia hao mliowaacha watakuwa kuwa kama mwiba mbavuni mwenu, sasa hao waliowaacha kinyume na maagizo ya mungu ndo hao sasa wamezaliana na wanapigana vita hadi leo, kama unavoona kinachoendelea huko Israel.
Gaza ndio kaanani
Na ndipo ilipokuwa bustani ya edeni
Na ndipo mitume na manabii kama musa na yusufu na wengineo walisema mifupa yao ikazikwe hapo.
Na ndipo sulemani alijenga hekalu la Mungu.
Ni sehem ndogo lakini inamana kubwa sana kwa wayahudi
Na ndipo yerusalemu mpya ya ufunuo itakapojengwa
 
Back
Top Bottom