ππππ Mbona sisi hatuzioni story za wapanua bahari kwenye documentary za Egypt. We unaangalia bible movies unasema ni documentary of Egyptian historyMzee mm na documentaries ni kama mbongo na wali maharage, nimeziangalia hizo na nyingine nyingi tuu.
Kadri siku zinavoenda kuna information mpya zinapatikana mzee usikariri.
βDo you anything about the ancient Egyptian hieratic papyrus called the "Ipuwer Papyrus"?
Jaribu kuifatilia ni nn hio?
Mimi najua uislam ulovyoenea,hakuna huo uwongo,mtume saw kapigana Vita akiwa Madina tu,Tena vya kuchokozwa, muislam hapigani Vita mpaka achokozwe,ndiyo maelekezoKuna kitabu nimeshindwa kukutumia link, hebu Google andika, "historia ya kanisa ikoll"
Utaona jinsi ukristo na uislamu vile ulieneza dini kikatili sana.
Hakuna ubaya ndugu kuendelea kubaki na Imani hiyo. Unachotakiwa kuelewa ni kwamba hicho nimekwambia upitie ni masimulizi ya kihistoria kama hayo unayoyaamini. Mambo kuhusu ueneaji wa dini tunayasoma tu na kuchagua ya kuyaamini maana hatukuwepo kwenye tukio lolote.Mimi najua uislam ulovyoenea,hakuna huo uwongo,mtume saw kapigana Vita akiwa Madina tu,Tena vya kuchokozwa, muislam hapigani Vita mpaka achokozwe,ndiyo maelekezo
Najua umesoma historia iliyoandikwa na wazungu, wazungu huandika vitu hasi dhidi ya wengine,wanadai walipokuja walitukuta wajinga,washenzi hatuna elimu,wakati walikuta tukijitegemea kwa chakula,mavazi na hata huduma za afyaHakuna ubaya ndugu kuendelea kubaki na Imani hiyo. Unachotakiwa kuelewa ni kwamba hicho nimekwambia upitie ni masimulizi ya kihistoria kama hayo unayoyaamini. Mambo kuhusu ueneaji wa dini tunayasoma tu na kuchagua ya kuyaamini maana hatukuwepo kwenye tukio lolote.
We uliyosoma imeandikwa na naniNajua umesoma historia iliyoandikwa na wazungu, wazungu huandika vitu hasi dhidi ya wengine,wanadai walipokuja walitukuta wajinga,washenzi hatuna elimu,wakati walikuta tukijitegemea kwa chakula,mavazi na hata huduma za afya
WaarabuWe uliyosoma imeandikwa na nani
Hao ndo hawaandiki vitu hasi dhidi ya wengine?Waarabu
Hivyo vilikuwa Vita vya kupanua himaya za kiutawala na kudhibiti maeneo Ila zilivalishwa sura ya kidini ili kuvutia wengi kujiunga huku wakiamini wanapigana ili kulinda imani zao.Ulimdodosa zaidi kwa nini waliamua kutumia mapigano?Kamuulize nini ilikuwa sababu ya crusade?
Yeah,Kama vilivyo,hawana agenda za kikoloni na kujiona wao Bora na kudunisha wengineHao ndo hawaandiki vitu hasi dhidi ya wengine?
Ok vizuriYeah,Kama vilivyo,hawana agenda za kikoloni na kujiona wao Bora na kudunisha wengine
Rejea moja ya sababu ya vita vya jihad kule Afrika ya Magharibi ilikuwa ni kuimarisha na kueneza dini ya kiislam, case study ni jihad ya kule West Africa, na mfano WA jihadist ni Othman Dan Fodio.Uislam usiusingizie kabisa tena.
Kama u mkweli weka ushahidi.
Kumbe ndio technique yako, kuniwekea maneno mdomoni ambayo sijasema.ππππ Mbona sisi hatuzioni story za wapanua bahari kwenye documentary za Egypt. We unaangalia bible movies unasema ni documentary of Egyptian history
Kwa hiyo Ukatoliki siyo Ukristo,ila hayo matakataka yenu mnayoabudu kwa kelele ndiyo ukristo?
πSawa walifika Europe wakawaimbia bomaya wote wakaslim πππMimi najua uislam ulovyoenea,hakuna huo uwongo,mtume saw kapigana Vita akiwa Madina tu,Tena vya kuchokozwa, muislam hapigani Vita mpaka achokozwe,ndiyo maelekezo
πSawa egyptologistKumbe ndio technique yako, kuniwekea maneno mdomoni ambayo sijasema.
Sawa.
Hata mpaka leo mnachinja na kupiga mawe Tena kwa maelekezo ya kuran.Uislam usiusingizie kabisa tena.
Kama u mkweli weka ushahidi.
Pwani ya afrika mashariki walisilimu vipi!?πSawa walifika Europe wakawaimbia bomaya wote wakaslim πππ
Si ni wapuuzi tunaambiwa chochote tunakubali. Wenzetu ulaya mpaka vitaPwani ya afrika mashariki walisilimu vipi!?
Weka link nisome sura nzima.Umesoma hio sura nzima?
Kama umesoma bac uliza swali?
Alaf hiko sio kitendo(siwez tumia neno ukatili kama mungu ndo ameamuru kifanyike) kikubwa sana cha kushangaza mzee, waulize Misri walifanyiwa nn na Mungu walipokataa kuwaachia waisraeli warudi nchi yao, ipo hadi kweny vitabu vyao vya historia, waliona kila rangi.