Kwanini umeme usimuondoshe Rais Samia madarakani?!

Kwanini umeme usimuondoshe Rais Samia madarakani?!

Honestly, hili limeshakuwa tatizo kubwa na baya kuliko..

And very unfortunately, kuwa Rais Samia Suluhu Hassan na serikali yote iko kimya ni kama vile hawafanyi lolote kabisa pretending that things are okay while aren't..

Na sijui nani kamwambia kuwa tatizo la umeme linatatuliwa kwa kabadili sura za viongozi wanaosimamia sekta hii ya nishati ya mafuta na ya umeme. This is very pathetic...

Na hii inaleta maswali sana yasiyo na majibu kuwa, kwa takribani miaka 6 au 7 hivi wakati wa u - Rais wa John P. Magufuli, tatizo la umeme ni kama lilishaondoka Kwa zaidi ya 95%...

Lakini ndani ya miaka miwili ya Rais Samia Suluhu Hassan, tatizo limerudi Kwa kasi ya kutisha na Kwa ubaya zaidi kuliko nyakati ambazo tumewahi kuwa na shida ya umeme huko nyuma..!!
Kwa akili zake, anajua tutajadili Umeme tusahau Bandari. Ajabu kabisa
 
Daah watu wa magufuli mna hasira sana
Comment hii ya kijinga sana,so wewe unaona TANESCO inafanya vizuri kiasi kwamba Samia hahitaji kuwajibishwa kwa ujinga unaoendelea TANESCO na mtu akidai kuwajibishwa Samia ni pro Magufuli!!!!Yaani mambo ya Msingi mnayageuza kuwa Kama ya Yanga na Simba!You couldn't be more stupid.
 
Tutakuwa manyumbu mpaka lini? Unaenda kupata huduma unaambiwa hakuna umeme. Mwezi mamiezi yamepita. Rais hana chochote anachofanya kutatua tatizo. Hotuba zake hazina mikakati yeyote ya maana zaidi ya brah brah tu.
Hili suala na mengine kama bandari yalitosha kabisa kumfukuza Samia madarakani kwa sababu hawezi kazi.
BREAKING NEWS: Serikali ya Tanzania iko kwenye mazungumzo ya mwisho na shirika la umeme la Msumbumbiji EDM kununua umeme wa dharura wa 150MW. Umeme huo utasaidia kupunguza kadhia ya sasa ya mgao mkali wa umeme. #TanzaniaLeaks

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kalemani ametulia paleee anazoom, tulisema lile jinga litaiua tanesco mkashupaza shingo na bibi yenu kazi kulembua macho. Haya kuleni matunda ya utetezi wenu.
 
Comment hii ya kijinga sana,so wewe unaona TANESCO inafanya vizuri kiasi kwamba Samia hahitaji kuwajibishwa kwa ujinga unaoendelea TANESCO na mtu akidai kuwajibishwa Samia ni pro Magufuli!!!!Yaani mambo ya Msingi mnayageuza kuwa Kama ya Yanga na Simba!You couldn't be more stupid.
Wenzako wanakuka maisha we endelea kulalamika. Kwani unadhani we ndio unajua umuhimu wa umeme kuliko hao Tanesco?
 
BREAKING NEWS: Serikali ya Tanzania iko kwenye mazungumzo ya mwisho na shirika la umeme la Msumbumbiji EDM kununua umeme wa dharura wa 150MW. Umeme huo utasaidia kupunguza kadhia ya sasa ya mgao mkali wa umeme. #TanzaniaLeaks

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanunue tu kama unapatikana.......hivi ukinunua umeme inabidi uanze kutandaza nguzo tena?
 
Tutakuwa manyumbu mpaka lini? Unaenda kupata huduma unaambiwa hakuna umeme. Mwezi mamiezi yamepita. Rais hana chochote anachofanya kutatua tatizo. Hotuba zake hazina mikakati yeyote ya maana zaidi ya brah brah tu.
Hili suala na mengine kama bandari yalitosha kabisa kumfukuza Samia madarakani kwa sababu hawezi kazi.
Rais wa Tz huwa siku zote hakosei ila hukwamishwa na watendaji/wasaidizi wake.
 
Leo maeneo ya Buza huku na Yombo kwa ujumla hakuna umeme na jana asubuhi haukuwepo ukarudi usiku, hili la umeme linatia hasira sana ..
Kuna Mikoa ilianza mgao wa umeme siku nyingi...ila tupo tunagugumia tu...aisee!
Waulize Manyara,Arusha na Singida.
 
Tutakuwa manyumbu mpaka lini? Unaenda kupata huduma unaambiwa hakuna umeme. Mwezi mamiezi yamepita. Rais hana chochote anachofanya kutatua tatizo. Hotuba zake hazina mikakati yeyote ya maana zaidi ya brah brah tu.
Hili suala na mengine kama bandari yalitosha kabisa kumfukuza Samia madarakani kwa sababu hawezi kazi.
Kwanini daraja la Kigongo-Busisi linalokaribia kumalizika lisimuondoe Samia madarakani?.

Kwanini hospitali zinazojengwa na kumalizika muda huu zisimuondoe ikulu?.

Kwanini daraja la Wami na lile la Pangani ambayo yameshamalizika yasimuondoe madarakani?.

Hii negativity ni sehemu ya matatizo yetu, tabia ya kuhamisha magoli na kutafuta hoja za lawama bila ya kukumbuka kuwa katika kila udhaifu mmoja wa awamu ya sita kuna mambo mema kumi yaliyoweza kutekelezwa.
 
Wenzako wanakuka maisha we endelea kulalamika. Kwani unadhani we ndio unajua umuhimu wa umeme kuliko hao Tanesco?
This is another very stupid comment.Yaani nashindwa kuwaelewa Watanzania,hivi mmekuaje?Evil,stupid and more.So in your stupidity and your crookedness you believe kula ni sawa,very evil indeed.
 
Umeme kutokuwepo kwa saa 1 ni hasara kubwa sasa imagine nchi hii sasa umeme haupatikani kuanzia masaa 12 na kuendelea na ni jambo la kawaida tena sio siku moja hali hiyo ni ya kuendelea.
Ccm mbere kwa mbere
 
Tutakuwa manyumbu mpaka lini? Unaenda kupata huduma unaambiwa hakuna umeme. Mwezi mamiezi yamepita. Rais hana chochote anachofanya kutatua tatizo. Hotuba zake hazina mikakati yeyote ya maana zaidi ya brah brah tu.
Hili suala na mengine kama bandari yalitosha kabisa kumfukuza Samia madarakani kwa sababu hawezi kazi.
Pumbavu
 
Back
Top Bottom