Kwanini umuingilie mwenza wako kinyume na maumbile?

Kwanini umuingilie mwenza wako kinyume na maumbile?

Ndani ya hii miezi 2 nimepata wanawake 2 wapya,ile nimeanza kuvua tu ngua wanaanza kuchezea machine ili aanze kunyonya nilimusukumia huko nilomwambia mambo hayo ya kizungu Mimi sihitaji sasa hill LA Tigo ndio huwa sitaki kabisa kusikia.

K tu naonaga kinyaa huko sinitatapika kabisa.
 
Sijaupitia uzi wote vizuri Mkuu, nilikua ninaagalia notifications I.e quotations, mention, e.t.c zilizonihusu. Ninaona nimeweka mshtuko kwa baadhi ya wakuu. Nitaandaa Press Release kuweka vizuri atmosphere Mkuu.
Itapendeza sana.
 
Katika Site 10 zinazotembelewa sana Duniani site 5 ni za ngono. Na ktk hzo site category inayoongozwa kwa kutafutwa ni ANAL sex lakini ukija kuuliza watu je unaangaliaga porn 95% watakwambia hawaangalii sasa jiulize hawa 5% ndo wanatumia internet peke yao na kuvunja record ya kufanya site za porn kuwa na traffic kubwa?

Sikia ukitaka ushauri wa hili jambo huwezi kupata majibu coz ni kama biashara haramu hakuna anayekili kuifanya ,watu unaowauliza wengi wao aidha wanafanya au walifanya au walishashawishiwa kufanya au wanatamani kufanya au wanajamaa au ndugu zao wanafanya lakini hakuna atakayekili au kukwambia kulingana na uzoefu wake ktk hili kila mtu atajifanya hajawai,hapendi lakini kwenye kuta nne huko ambako kuna VPN kubwa kuliko zote wanauzoefu mkubwa sana.

Kupambana na hili swala ni kutokulizungumzia tu coz mnapolipa airtime ndo mnafanya watu walitamani au kutaka kulijua au kushawishika kumbuka bidhaa inayotangazwa sana ndo bidhaa yenye nafasi kubwa kufanya vizuri sokoni .
Umemaliza
 
Hapa jf kuna maswali huwa yakiulizwa huwa hayajibiwi na wahusika huwa wamo humu humu wanapita.

Kuna wachawi hawatoagi shuhuda kwa nini wanatuwangia na kusumbua.

Na kundi la mwisho huwa la wanawaingilia wanawake kinyume hawasemi wanatakaga nini huko nyuma wanasoma wanapita, wengine wakiona uzi hata kuugusa kwao mwiko.
Haiwezekani wajae walalamikaji halafu wahusika wametulia [emoji23] hayaa wafilimbaji mko wapi?

Umenichekesha ulivyomalizia huzi wako,eti walalamikaji wamejazana alafu wahusika wapo kimya,Yaani kama tukio halijawai fanyika Duniani humu!!!
 
Hapa jf kuna maswali huwa yakiulizwa huwa hayajibiwi na wahusika huwa wamo humu humu wanapita.

Kuna wachawi hawatoagi shuhuda kwa nini wanatuwangia na kusumbua.

Na kundi la mwisho huwa la wanawaingilia wanawake kinyume hawasemi wanatakaga nini huko nyuma wanasoma wanapita, wengine wakiona uzi hata kuugusa kwao mwiko.

Haiwezekani wajae walalamikaji halafu wahusika wametulia [emoji23] hayaa wafilimbaji mko wapi?
Wanajifanya hawapo.
 
Shida ni moja mwanamke akishaanza kuliwa tigo huwa haachi anataman aliwe mara kwa Mara na ukijidai kauzu anaenda kumpa mwingine...

Kwahiyo jiongeze mwenyewe hapo (stak nikwambie ufanye nn tusije kugawana dhambi) ila Cha kuzingatia usije kuowa mwanamke ambae alishajaribu kukushawishi umle baki/ulishamla maana hiyo dhambi hata shetani huwa anakimbiaga hapo
 
Back
Top Bottom