Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 15,136
- 32,268
Nenda kaoe kijijini na wewe usiniwekee usikuNani aoe chuma chakavu kisicho na maana, ndiyo maana mnasumbuka na uzazi kisa ujuaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda kaoe kijijini na wewe usiniwekee usikuNani aoe chuma chakavu kisicho na maana, ndiyo maana mnasumbuka na uzazi kisa ujuaji
Ukali siyo tiba ya kuondoa ujinga wako, ni wakati muelezwe ukweliNenda kaoe kijijini na wewe usiniwekee usiku
interval nzuri ya umri wa mwanamke wa kuoa ni miaka 18-23. Wanawake wamedanganywa wanatakiwa kuolewa kuanzia 26 ili wapiganie ndoto zao. Halafu ukicheki iyo miaka takribani 8 wanayodai wanapigania ndoto zao hakuna cha maana wanachokifanya zaidi ya kudanga na kutafuta mume tajiri(mpango ambao 99% yao hawafanikiwi)Siku nikiamua kuoa 18-20 mwisho sivuki zaidi ya hapo au wazee wa miaka 25 na kuendelea wataolewa na wazee wenzao