Kwanini unatakiwa kuzingatia sana body count?

Kwanini unatakiwa kuzingatia sana body count?

Na mimi point yangu ni kwamba mwanamke anaekubali kuchezewa mwili wake na kutiwa mimba bila kuolewa ni mjinga kwa sababu hayo ni mambo ambayo anaweza kuyadhiti, pia yeye ndie atakutana na consequencies kwaiyo ndie anatakiwa kuwa macho zaidi.
Badala ya kulaumu wanaume pia unashift the whole responsibility kwa wanawake, unachukia wanawake and you will never be happy with a woman awe bikira or not
 
Vyovyote utakavyotaka kusema, mwisho wa siku kwenye suala la sex na kuzaa mwanamke ndie muamuzi mkuu. Hakuna kinachofanyika bila maamuzi ya mwanamke vinginevyo awe amebakwa.
Kwa taarifa yako mwanaume ndio mwenye maamuzi, yeye ndie anachukua jukumu la kutongoza sio wanawake na wanaume ni natural hunters ukisema no kwake ni more interesting, hatarest mpk akupate.
 
Badala ya kulaumu wanaume pia unashift the whole responsibility kwa wanawake, unachukia wanawake and you will never be happy with a woman awe bikira or not
Mwanaume ameshadhibitiwa kila kona. Ukimpa mimba mwanafunzi ni jela miaka 30, hata ukimshika bega mwanamke bila hiyari yake au ukimsukuma tu ni kosa anaweza kukushtaki na ukashurutishwa kisheria.

Kilichobaki ni kitu kidogo tu cha wanawake ku-play part yao kwa kujitunza na kuwa na stara ya miili yao ili wasi-provoke tamaa ya mwanaume. Lakini wanawake wanashindwa kutumia hekima ku-play part yao. Wanatembea nusu uchi, wanapost utupu wao mtandaoni, wanaendekeza tamaa ya maisha ambayo hawawezi kumudu sasa wasaidiwaje?

Acha tu waendelee kutombwa kiholelaholela, watiwe mimba na kutulekezwa, wabaki kuwa single mother n.k atleast they will learn the hard way, maana hakuna namna nyingine
 
Kwa taarifa yako mwanaume ndio mwenye maamuzi, yeye ndie anachukua jukumu la kutongoza sio wanawake na wanaume ni natural hunters ukisema no kwake ni more interesting, hatarest mpk akupate.
Una akili timamu kweli? Kwamba mwanamke ndie anabeba mimba, ndie anajua mzunguko wa siku zake halafu unasema mwenye maamuzi ni mwanaume. Upo timamu kichwani?
 
Mwanaume ameshadhibitiwa kila kona. Ukimpa mimba mwanafunzi ni jela miaka 30, hata ukimshika bega mwanamke bila hiyari yake au ukimsukuma tu ni kosa anaweza kukushtaki na ukashurutishwa kisheria.

Kilichobaki ni kitu kidogo tu cha wanawake ku-play part yao kwa kujitunza na kuwa na stara ya miili yao ili wasi-provoke tamaa ya mwanaume. Lakini wanawake wanashindwa kutumia hekima ku-play part yao. Wanatembea nusu uchi, wanapost utupu wao mtandaoni, wanaendekeza tamaa ya maisha ambayo hawawezi kumudu sasa wasaidiwaje?

Acha tu waendelee kutombwa kiholelaholela, watiwe mimba na kutulekezwa, wabaki kuwa single mother n.k atleast they will learn the hard way, maana hakuna namna nyingine
Kwa hio ulitaka umpe mimba mwanafunzi then uachwe? Hayo uliyotaja hata ukimfanyia mwanaume mwenzako ana haki ya kukufunga....wewe sema kwako wanawake ni viumbe vinavyotakiwa ku suffer ...mbaya zaidi unasambaza sumu yako kwa wajinga wa humu.
 
Una akili timamu kweli? Kwamba mwanamke ndie anabeba mimba, ndie anajua mzunguko wa siku zake halafu unasema mwenye maamuzi ni mwanaume. Upo timamu kichwani?
Ni nani anayemshawishi mwenzie kufanya ngono kati ya mwanamke na mwanaume....
 
Kwa hio ulitaka umpe mimba mwanafunzi then uachwe? Hayo uliyotaja hata ukimfanyia mwanaume mwenzako ana haki ya kukufunga....wewe sema kwako wanawake ni viumbe vinavyotakiwa ku suffer ...mbaya zaidi unasambaza sumu yako kwa wajinga wa humu.
nimetolea mfano tu lakini kiujumla sheria na miongozo yote kuhusu mahusiano ya jinsia ME na KE inamlinda mwanaume. Sasa kama tayari mwanamke ushapewa ulinzi na mfumo unashindwa vipi kuwajibika wewe mwenyewe kwenye nafasi yako.
 
Very True.

Tuache unafiki pembeni tuongee ukweli, historia ya mwanamke ni kipengele cha kukizingatia sana, na ninachokoandika hapa ni moja ya sababu ya kwanini unatakiwa kuoa mwanamke ambae umemkuta akiwa bikira
Twende kwenye points
1. Daima atakulinganisha na wanaume wengine.

Mwanamke ambae tayari ashakua na wanaume wengi amebeba kumbukumbu za huo uzoefu kwenye akili yake. Atakulinganisha na kila mwanaume ambaye alishakua nae- jinsi walivyomfanya ajisikie, vitu walivyomuhonga, show zao kitandani n.k. ni ulinganisho usiokua na mwisho. Haijalishi utamfanyia nini lazima atatafuta sababu ya kutoridhika. Hii mindset yake itadhohofisha sana msingi wa mahusiano yenu.

2. Hajui anataka nini
Kitendo cha kuwa na partners wengi kinaathiri direction ya vipaumbele vyake. Anakua hawezi kufanya maamuzi ya nini anataka kutoka kwa mwanaume au kwenye mahusiano. Her past partners have left conflicting imprints on her, leaving her emotionally scattered.

3. Hawezi kutosheka kingono.
Ashazoea kubadilisha radha na size tofauti tofauti za mashine, hii itamfanya iwe ngumu kwake ku-settle kwenye long-term relationship, she may even begins to blame you for not satisfying her unrealistic expectations.

4. Kuna uwezekano ashafanya abortions nyingi sana.

With high body count comes a higher likelihood of unplanned pregnancies and abortions. Hili suala alimuachii uharibifu katika mwili tu, vile vile inamtengenezea emotional baggage ambayo anakuja nayo kwako. Wanawake wengi wanaficha hii part ya maisha yao lakini hatia na aibu waliyobeba moyoni inaweza kuwa shubiri kwenye mahusiano yenu.

5. Bado ana connection na maex wake
Women with high body count often maintain connections with their exes- whether out of convenience or unresolved feelings. Hii kitu itasababisha drama zisizokua na maana kwenye mahusiano yenu, ni upumbavu ambao unachosha na ni hatari kwa afya.

6. Hatoweza kutengeneza bond na wewe
Mwamamke ambae ana historia ya kuwa na wanaume wengi maana yake ameshadhohofisha uwezo wake wa kutengeneza bond na mwanaume mmoja katika kila nyanja. Kumbuka kila anapoachana na mwanaume mmoja, kihisia anaongeza ugumu wa kutengeneza bond na anayefuata

7. Anakuja kwako na emotional baggage
Anapoondoka kwenye kila mahusiano anaobeba moyoni vidonda, disappointments na traumas. So you will not just dealing with her, you will also deal with the emotional debris left by every man she's been with.

8. Ashazoea umapepe
Jasiri haachi asili. 20's yake yote ameitumia kuluka luka kutoka mahusiano haya kwenda mengine sio rahisi kuacha iyo tabia akiingia kwenye meaningful relationship.

9. Anafikiria muda wowote anaweza kupata mbadala wako
She's conditioned herself to believe that men are replaceable and that mindset doesn't change overnight. The moment things get tough her default reaction will be to leave and seek validation elsewhere. This belief gives her little incentive to work through problems or value the relationship.

My take
A woman's past doesn't just disapper-it shapes her character, mindset and behavior. A high body count is not just a number, it's a reflection of patterns and habits that are incompatible with the stability marriage requires.

Recommendation.

Vet women ruthless, ask hard questions and don't ignore red flags. Don't be a simp. Her past is a strong predator of your future with her. Dont gamble with your peace, resources, health and legacy.

I rest my case.
 
Ni nani anayemshawishi mwenzie kufanya ngono kati ya mwanamke na mwanaume....
Ushawishi na maamuzi ni vitu viwili tofauti. Ukishawishiwa haina maana hauwezi kufanya maamuzi ya kukataa. Sababu pekee ya kuhalalisha usingle mother ni kama uyo mwanamke alipata mimba kwa kubakwa zaidi ya hapo usingle mother ni taswira ya umalaya na ufanyaji mbovu wa maamuzi.
 
nimetolea mfano tu lakini kiujumla sheria na miongozo yote kuhusu mahusiano ya jinsia ME na KE inamlinda mwanaume. Sasa kama tayari mwanamke ushapewa ulinzi na mfumo unashindwa vipi kuwajibika wewe mwenyewe kwenye nafasi yako.
Wanawake wangewajibika only if wanaume wangewajibika. Kutaka Wanawake wawajibike peke yao wakati kuna wanaume irresponsible ndipo hapo tunakujaji kny sexisim. Ukitaka kujua nature ya wanaume tangia ziwekwe hizo sheria je hamna waliozivunja?!
 
Ushawishi na maamuzi ni vitu viwili tofauti. Ukishawishiwa haina maana hauwezi kufanya maamuzi ya kukataa. Sababu pekee ya kuhalalisha usingle mother ni kama uyo mwanamke alipata mimba kwa kubakwa zaidi ya hapo usingle mother ni taswira ya umalaya na ufanyaji mbovu wa maamuzi.
Ufanyaji mbovu wa maamuzi lakini usiowatoa wanaume kwenye responsibility. Hakuna mwanamke aliyejitia mimba mwenyewe. Kwa kila single maza mmoja kuna mwanaume bazazi mmoja aliyrmpa mimba na kumtelekeza. Ujinga ni kulaumu wanawake peke yake katika hili.
 
Wanawake wangewajibika only if wanaume wangewajibika. Kutaka Wanawake wawajibike peke yao wakati kuna wanaume irresponsible ndipo hapo tunakujaji kny sexisim. Ukitaka kujua nature ya wanaume tangia ziwekwe hizo sheria je hamna waliozivunja?
Ni ujinga kugombania kisu na mtu wakati yeye ameshika mpini na wewe umeshika makali. Hata kama hicho kisu ni mali yako itakulazimu utumie tu busara kumwachia kwa wakati huo. Mwanamke ndie mwathirika wa consequencies za unplanned pregnancy kwaiyo utakua mjinga ukitaka kujilinganisha na mwanaume ambae abebi mimba, anyonyeshi wala jamii haimnyanyapai akiwa single father.
 
Ufanyaji mbovu wa maamuzi lakini usiowatoa wanaume kwenye responsibility. Hakuna mwanamke aliyejitia mimba mwenyewe. Kwa kila single maza mmoja kuna mwanaume bazazi mmoja aliyrmpa mimba na kumtelekeza. Ujinga ni kulaumu wanawake peke yake katika hili.
Kila jinsia inabanwa katika eneo lake maalumu. Hata kwa upande wetu kwenye suala la hela ambazo mnazitaka kutoka kwetu sisi hatuziokoti. Tunapambana kuzitafuta.

Tunapoingia kwenye mahusiano/ndoa hakuna kisingizio, ni kuweka pesa mezani upate hadhi yako ya uanaume au usiwe na hela uondolewe hadhi yako. Unavyoona ugumu uliopo kwenu usifikiri kwetu ni mseleleko na sisi pia tunakutana na ugumu kwenye eneo jingine.

Valued man factors are wealth and connections. Valued woman factors are virginity and innocence. You have standards you're valuable, you lack standards you're shit. No excuse.
 
Nakubaliana na hoja Zako zoteeeeeee kwa asilimia 100

Je wanawake na wao hawana umuhimu kuolewa na mwanaume bikra?
kama wewe ni jinsia ya kiume.Bwana mdogo idadi ya mademu uliokuwa kwenye mahusuano nao haijatosha.


Kama bado upo under 30 hakikisha kabla ya kufika 30yrs uwe umewala mademu 30 angalau kwa uchache.Kupitia hii experience ya mademu 30 utakuwa umekuwa kiakili na kihisia.Alafu urudi uedit hii comment na ucomment kama mwanaume rijali🤝
 
Siyo uoga, hebu tujiulize kwanza hizo bikira zimetolewa na jinsia gani?. Mimi ni mwanaume. Ukiangalia vizuri jamii yetu utaona jinsi ilivyo ufahari kwa mwanaume kutembea na wanawake wengiii, ambapo in process anabikiri na kusababisha mimba pia. Akaitaka kuoa sasa anataka bikraaaa! na pia wasio bikra si anadais kuwa si sahihi kuolewa!. Binafsi nahitimisha kuwa ni roho mbaya, vinginevyo unatakiwa uwajibikaji wa pamoja.
Tumia akili na busara zako vyema.

Nikupe mfano mdogo tu.Enzi uko shule darasa la saba au form four mtihani wa mwisho kuna waliofeli na waliofaulu.Wewe ukiambiwa uchague upande utachagua upande gani.Dont be stupid unajua pakuchagua.Acha kuuliza maswali ya kitoto.Labda kama wewe bado mtoto na huna uzoefu na wanawake na mahusiano.
 
Kihasili mwanaume ana nguvu za mwili zaidi ya mwanamke kwaiyo pale anapotaka matakwa yake yatimizwe anaweza kutumia nguvu zake kulazimisha mfano suala la kujamiana mwanamke akikataa mwanaume anaweza kutumia nguvu kumbaka au kumfanyia vitendo vya kingono bila ridhaa ya uyo mwanamke. Hapo ndio maana tunaona kuna sheria nyingi za kumbana mwanaume mfano kumshika mwanamke hata bega tu bila ridhaa yake au kumpiga kofi izo ni kesi lakini mwanamke akimfanyia mwanaume vitendo kama hivyo hakuna kesi.

Advabtage ya mwanamke ipo kwenye kuamasisha ngono. Kupitia ngono mwanamke anaweza kumlaghai mwanaume ili aweze kupata alichokitaka, sasa hapa hatuna sheria ya kudhibiti hii advantage ya mwanamke ndio maana tunaona wanatembea barabarani nusu uchi na kupost video za utupu mtandaoni bila kuchukuliwa hatua.

Ndio maana nasema kwenye suala la consequencies zote zinazotokana na ngono mfano mimba zisizotarajiwa wa kulaumiwa ni mwanamke kwa sababu yeye ndie gatekeeper wa sex na fertility
📌Bro upo vyedi.Nachukua nafasi hii nikiwakilisha chama la wana KATAA NDOA kukutunuku PhD ya heshima kwa mchango wako wa kutukuka katika kukuza UANAUME( MUSCULINITY).👏👏👏👏🤝
 
Sikatai kuwa mwanamke bikra is much better, but Kwa mazingira yetu haya ya kimaskini ni ngumu kukutana na hao bikra, mazingira yenyewe tuliyonayo yanatutoa mchezoni mapema kabisa. Kwenye lindi la umaskini uliopo ngono pekee ndiyo inampa mtu furaha na amani ya moyo, nje ya hapo ni stress tu.

Nchi za wenzetu mfano hapo India, kwanza kuna Sheria hamna 2nd marriage, yaani mwanaume hawezi kuoa mdada aliyeachika. Pili mwanaume wa kihindi haolewi na dada ambaye sio bikra, labda huyo dada awe celebrity mwenye mihela yake.

Lakini licha ya ubikira wao India ndiyo nchi inayoongoza kwa ndoa nyingi kuachana na mawidow wamejaa kila kona
Dogo bado hujakuwa.Unanuka maziwa toka hapa nenda kacheze na watoto wenzako.

Siku ukikua rudi ufute hii comment yako.
 
Back
Top Bottom