cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Wakikujibu, nitagNakubaliana na hoja Zako zoteeeeeee kwa asilimia 100
Je wanawake na wao hawana umuhimu kuolewa na mwanaume bikra?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakikujibu, nitagNakubaliana na hoja Zako zoteeeeeee kwa asilimia 100
Je wanawake na wao hawana umuhimu kuolewa na mwanaume bikra?
Una msingizia, LolKama yule mgoni yule, nampa pole atakaye jichanganya. Awe na uhakika hawezi kudumu naye, awe na uhakika ana emotional damage, hauji anachokitaka.
Hapo labda wanawake wenyewe ndio walete majibuNakubaliana na hoja Zako zoteeeeeee kwa asilimia 100
Je wanawake na wao hawana umuhimu kuolewa na mwanaume bikra?
Hahahaha 😂Wakikujibu, nitag
Wanawake wenyewe wanasemaje?Hapo labda wanawake wenyewe ndio walete majibu
Thread zangu huwa wanaziogopa, ni ngumu sana kukuta michango yao.Wanawake wenyewe wanasemaje?
Sawa mkuuThread zangu huwa wanaziogopa, ni ngumu sana kukuta michango yao.
Zinaa huwa inaathari zaidi za kiroho. Ingawa upo sahihi mkuuBora bikra kwa usalama wa kizazi chako, kuliko kuchukua mwanamke mwenye high body count kuna athari nyingi sana
Mwanamke mwenye high body count pia anakua ana ambatana na DNA za wanaume tofauti tofauti kwavile zile sperm anazo mwagiwa na wanaume tofauti tofauti zinaenda ku adhiri hormones zake, matokeo yake unakuja kuoa mwanamke wa namna hii unapata uzao ambao una tabia tofauti kabisa na wewe
Special case ni zipi mkuu Ya kale dhahabu ?Bikra inasaidia ndugu tusiukwepe ukweli,kama mwanamke ameweza kujitunza mpaka miaka 25 akaingia kwenye ndoa huyu hawezi shindwa iheshimu ndoa yake, japo kuna special case kwenye hili
Kokomo ni kubikiri/ kuzalisha wangapi?Jnaongea mambo ambayo hayana uhalisia. Hakuna mwanaume wa kubikiri mabinti 20
Vyovyote utakavyotaka kusema, mwisho wa siku kwenye suala la sex na kuzaa mwanamke ndie muamuzi mkuu. Hakuna kinachofanyika bila maamuzi ya mwanamke vinginevyo awe amebakwa.Kokomo ni kubikiri/ kuzalisha wangapi?
Ndugu naona umepoteza focus ya ninacho jadiri.Vyovyote utakavyotaka kusema, mwisho wa siku kwenye suala la sex na kuzaa mwanamke ndie muamuzi mkuu. Hakuna kinachofanyika bila maamuzi ya mwanamke vinginevyo awe amebakwa.
Nimeshakuelewa unachotaka kusema. Unataka ku-balance mzani kwamba kila upande urushiwe lawama. Lakini kuna suala bado haulijui. Haujui kwamba jinsia ME na jinsia KE kila upande unahukumiwa kwa vigezo tofauti.Ndugu naona umepoteza focus ya ninacho jadiri.
Aipokuelewa na hapa basi huyi ni pumboor kama sio matakorVyovyote utakavyotaka kusema, mwisho wa siku kwenye suala la sex na kuzaa mwanamke ndie muamuzi mkuu. Hakuna kinachofanyika bila maamuzi ya mwanamke vinginevyo awe amebakwa.
Mwanaume playboy kutonyanyapaliwa ndo unafiki wenyewe.Nimeshakuelewa unachotaka kusema. Unataka ku-balance mzani kwamba kila upande urushiwe lawama. Lakini kuna suala bado haulijui. Haujui kwamba jinsia ME na jinsia KE kila upande unahukumiwa kwa vigezo tofauti.
Hauwezi kumuhukumu mwanaume na mwanamke kwa kigezo kimoja mfano mwanaume playboy jamii haimnyanyapai kwa inavyomfanyia hivyo kwa mwanamke malaya, vile vile mwanamke masikini jamii haimnyanyapai kama inavyofanya hivyo kwa mwanaume masikini
Kila jinsia inahukumiwa kwa vigezo tofauti. Ndio maana kwenye suala la kuoa/kuolewa,katika past ya mwanaume kama alikua playboy sio ishu lakini kwa mwanamke ilo doa kubwa sana, vile mwanamke akiwa masikini sio ishu lakini kwa mwanaume hicho ni kipengere. Kuhukumu jinsia zote kwa kigezo kimoja iyo haiwezekani.Mwanaume playboy kutonyanyapaliwa ndo unafiki wenyewe.
Nothitimishe na wewe hivi, kama umewahi kutembea na mabinti zaidi ya mmoja na haujaowa au hunampango wa kuoa mmoja wapo Kati yao then usiwe na misimamo ya asiye bikra asiolewe.
Kama umewahi kumzalisha mwanamme na huna mpango wa kumuoa, then usiwe na msimamo wa singo maza hastahili kuolewa. Kama unayo misimamo hiyo then we ni mwenye roho mbaya.
Mkuu kiukweli huku kusini na ukanda wa pwani ni ngumu kupata bikra sasa sijui ni mikoa ipi unaweza kupata hata alietembea kilomita chacheKumbukumbu za maex wake sio rahisi kufutika kabisa akilini.
Haswaaa!!Hahahaha [emoji23]
Point yangu ni hii umembikiri/ umemzalisha binti muoe, usipomuoa huna haki ya kusema hastahili kuolewa kwasababu si bikra au kwasababu ni singo maza.Kila jinsia inahukumiwa kwa vigezo tofauti. Ndio maana kwenye suala la kuoa/kuolewa,katika past ya mwanaume kama alikua playboy sio ishu lakini kwa mwanamke ilo doa kubwa sana, vile mwanamke akiwa masikini sio ishu lakini kwa mwanaume hicho ni kipengere. Kuhukumu jinsia zote kwa kigezo kimoja iyo haiwezekani.
Kwenye suala la ngono ambapo umetilia mkazo, msimamo wangu ni kwamba, mwanamke ndie gatekeeper wa sex na kuzaa. Hakuna kitakachofanyika bilapoint mwanamke kukubali, na namna ya mwanamke kujua kama mwanaume yupo siriaz ni mpaka atakapomuoa au angalao akajitambulishe kwao rasmi. Mwanamke yoyote anaekubali wanaume wauchezee mwili wake na atimae kumpa mimba bila hayo mawili kutokea basi uyo mwanamke ni mjinga na anastahili lawama zote pamoja na kubeba consequencies za maamuzi yake mabovu
Na mimi point yangu ni kwamba mwanamke anaekubali kuchezewa mwili wake na kutiwa mimba bila kuolewa ni mjinga kwa sababu hayo ni mambo ambayo anaweza kuyadhiti, pia yeye ndie atakutana na consequencies kwaiyo ndie anatakiwa kuwa macho zaidi.Point yangu ni hii umembikiri/ umemzalisha binti muoe, usipomuoa huna haki ya kusema hastahili kuolewa kwasababu si bikra au kwasababu ni singo maza.