Kwanini unatakiwa kuzingatia sana body count?

Kwanini unatakiwa kuzingatia sana body count?

Tumia akili na busara zako vyema.

Nikupe mfano mdogo tu.Enzi uko shule darasa la saba au form four mtihani wa mwisho kuna waliofeli na waliofaulu.Wewe ukiambiwa uchague upande utachagua upande gani.Dont be stupid unajua pakuchagua.Acha kuuliza maswali ya kitoto.Labda kama wewe bado mtoto na huna uzoefu na wanawake na mahusiano.
How old are you?
 
kama wewe ni jinsia ya kiume.Bwana mdogo idadi ya mademu uliokuwa kwenye mahusuano nao haijatosha.


Kama bado upo under 30 hakikisha kabla ya kufika 30yrs uwe umewala mademu 30 angalau kwa uchache.Kupitia hii experience ya mademu 30 utakuwa umekuwa kiakili na kihisia.Alafu urudi uedit hii comment na ucomment kama mwanaume rijali🤝
Asante mkuuu
 
Mademu at age 20 mpk 25 wanaangalia starehe na maplayboy kazi kutanua mitaro💢
Wakifika 25 ,26,29,30 sasa ndo utasikia wanaangalia wanaume wenye future 😅😅
 
I am real.Unaongelea reality gani.Unataka tuwaache madogo wapotee kwa kuoa rotten retired hoes👋
Kwa heri niache, average msichana anaolewa between 25 -27 years of age, kapitia secondary, chuoni yuko kazini, bado bikira anakusubiria wewe eti??? Ndio maana nikakwambia reality kwako bado haijakick in...you can as well continue to live in fantasy world. Bye....usinijibu sitakujibu
 
Mademu at age 20 mpk 25 wanaangalia starehe na maplayboy kazi kutanua mitaro💢
Wakifika 25 ,26,29,30 sasa ndo utasikia wanaangalia wanaume wenye future 😅😅
Ni mwendo wa kuwachapaaa na kuwatanua vizuri kabla hawajayaaga mashindano.

📌Eat them with no mercy the slogan says😀😀😀
 
Kwa heri niache, average msichana anaolewa between 25 -27 years of age, kapitia secondary, chuoni yuko kazini, bado bikira anakusubiria wewe eti??? Ndio maana nikakwambia reality kwako bado haijakick in...you can as well continue to live in fantasy world. Bye....usinijibu sitakujibu
Nakupa case study, Nenda Tanga kuna watoto wabichi wanaolewa na miaka 18,19 20.Daslam uwanja wa fujo hapo wamejaa retired bed to bed midfilders ready for hooing around.Hao wasichana wa mijini ni viwanja vya wanaume kujipatia experience ya mahusiano na ngono.Sio type ya kuoa.

Mwanaume akioa wa hivyo hasara ni yake.Na atahukumiwa kwa ujinga wake.Na uzuri huyohuyo gumegume ndo atampa adhabu stahiki🤗

Gari ya driving school itabaki kwaajili ya kujifunzia udereva.Ukitaka gari ya kujifunzia unaingia Beforeward au SBT unavuta mchuma.....ishi humo🤝
 
Nakupa case study, Nenda Tanga kuna watoto wabichi wanaolewa na miaka 18,19 20.Daslam uwanja wa fujo hapo wamejaa retired bed to bed midfilders ready for hooing around.Hao wasichana wa mijini ni viwanja vya wanaume kujipatia experience ya mahusiano na ngono.Sio type ya kuoa.

Mwanaume akioa wa hivyo hasara ni yake.Na atahukumiwa kwa ujinga wake.Na uzuri huyohuyo gumegume ndo atampa adhabu stahiki🤗

Gari ya driving school itabaki kwaajili ya kujifunzia udereva.Ukitaka gari unaingia Beforeward au SBT.
KAKA, nikiwa mkubwa nataka kuwa kama wewe 😂
 
Nakupa case study, Nenda Tanga kuna watoto wabichi wanaolewa na miaka 18,19 20.Daslam uwanja wa fujo hapo wamejaa retired bed to bed midfilders ready for hooing around.Hao wasichana wa mijini ni viwanja vya wanaume kujipatia experience ya mahusiano na ngono.Sio type ya kuoa.

Mwanaume akioa wa hivyo hasara ni yake.Na atahukumiwa kwa ujinga wake.Na uzuri huyohuyo gumegume ndo atampa adhabu stahiki🤗

Gari ya driving school itabaki kwaajili ya kujifunzia udereva.Ukitaka gari ya kujifunzia unaingia Beforeward au SBT unavuta mchuma.....ishi humo🤝
Huyo uliemjibu ni mmoja ya wanawake wajinga ambao feminist imewapumbaza kwamba mwanamke kuolewa ni mpaka miaka 26 na kuendelea akiwa ashatimiza malengo yake.

Hawajui kiuhalisia miaka 18-24 ndio interval nzuri ya mwanamke kuolewa sababu kizazi kinakua active na ni rahisi kujenga bond na mumewe maana bado ana ile innocence.
 
Gari ya driving school itabaki kwaajili ya kujifunzia udereva.Ukitaka gari ya kujifunzia unaingia Beforeward au SBT unavuta mchuma.....ishi humo🤝
Sema nini KAKA, dada yetu alimaanisha "SBT na BEFORWARD pia wanauza magari yaliyotumika, yenye KILOMETA SIFURI (bikira) ni ghali na yametoweka sokoni"
 
Hawajui kiuhalisia miaka 18-24 ndio interval nzuri ya mwanamke kuolewa sababu kizazi kinakua active na ni rahisi kujenga bond na mumewe maana bado ana ile innocence..

NOTED🙏
 
Ukweli mchungu sana kwa wanawake/ wadada

Wanatumia 20's zao vibaya kwelikweli wakishabwagwa hutafuta vichaka vya kupumzikia ikiwemo kwenye nyumba za ibada

Suala la abortion hata wawekewe bunduki kwenye kipulilo hawawezi kukubali japo wengi sana wameshafanya hii kitu na hubaki kuwa siri maisha yao yote

Wanawake ni watu wakukaa nao makini mno mno mno, na ni muhimu kuwahoji past zao tena ukiwa umevaa uso wa mee 🤨🤨
 
Huyo uliemjibu ni mmoja ya wanawake wajinga ambao feminist imewapumbaza kwamba mwanamke kuolewa ni mpaka miaka 26 na kuendelea akiwa ashatimiza malengo yake.

Hawajui kiuhalisia miaka 18-24 ndio interval nzuri ya mwanamke kuolewa sababu kizazi kinakua active na ni rahisi kujenga bond na mumewe maana bado ana ile innocence.
Sindano ikigonga mfupa wanakuwa wakali mno 😁
 
Back
Top Bottom