Kwanini unatakiwa kuzingatia sana body count?

Kwanini unatakiwa kuzingatia sana body count?

Nakubaliana na hoja Zako zoteeeeeee kwa asilimia 100

Je wanawake na wao hawana umuhimu kuolewa na mwanaume bikra?
Sasa mwanaume anakuwa vipi na bikra? Una akili sawasawa kweli wewe
Kiukweli hili swala lina ukweli sana kwa asilimia 90%.... karibuni kuna demu mmoja niliingia nae kwenye mahusiano kuna siku nikaamua kukagua fb yake nikakuta comment ya mshkaji mmoja nimesoma nae nikajaribu kupeleleza nikajua alishakuwa demu wake na kamla sana,sasa nikaamua kumuuliza yule demu kuhusu yule msela mwanzo akakataa ila baadae akaniambia alikuwa mpenzi wake ila amempotezea,Nikamdanganya kuwa mbona mshkaji anadai munawasiliana akadai ni kweli ila yeye ndie ananipigia ananisalimia ila mimi simtaki tena...kuna siku nikamuuliza mshkaji demu wako yule wa wakati ule yupo wapi jamaa akafunguka kuwa demu yupo UDSM ila mshkaji akastuka akaniuliza mbona unaniuliza kuhusu yule demu nikamwambia hapana ndugu....Mshkaji hakukubali akapiga Simu kwa yule demu kuhoji kama ananijua sasa angalia huyu demu alivyo wa ajabu akakana kunijua..baadae demu kanipigia kuniambia mshkaji anahisi tuna mahusiano ameniuliza kama nakujua mimi nimekataa nikamuuliza kwanini akadai naogopa atatuletea Fujo kwasababu naamini ananipenda bado,Nikamuuliza mshkaji ana wanawake wawili wa ndoa anakupendaje demu hakuwa na majibu
We jamaa una kaujinga, ninyi ndio ambao mnaweza mkawa mnamwona mwanaume mwenzenu anakufa hivi hivi kisha unatazama. Sasa jamaa alipokuuliza ulishindwa nini kufunguka ili myajenge ninyi kama wanaume? Mbona mwenzako anaonekana yupo fresh tu, badilika mzee.
 
Hivi hizi body count walizi kauntisha na kina Nani?
 
Mna kazi kweli kweli! Kwa kizazi hiki utampata wapi Bikra?
Sisi wa Enzi za Mwalimu tunashukuru tulikata utepe wenyewe!
Hakuna namna ni kukubali kuyaoga tu.
 
😅 yani mawazo yenu 😅, acheni uoga.
Siyo uoga, hebu tujiulize kwanza hizo bikira zimetolewa na jinsia gani?. Mimi ni mwanaume. Ukiangalia vizuri jamii yetu utaona jinsi ilivyo ufahari kwa mwanaume kutembea na wanawake wengiii, ambapo in process anabikiri na kusababisha mimba pia. Akaitaka kuoa sasa anataka bikraaaa! na pia wasio bikra si anadais kuwa si sahihi kuolewa!. Binafsi nahitimisha kuwa ni roho mbaya, vinginevyo unatakiwa uwajibikaji wa pamoja.
 
Mna kazi kweli kweli! Kwa kizazi hiki utampata wapi Bikra?
Sisi wa Enzi za Mwalimu tunashukuru tulikata utepe wenyewe!
Hakuna namna ni kukubali kuyaoga tu.
Nitasikitika sana kama nikijua wewe ni baba. Mwanaume unatakiwa kutumia nafasi yako kama kiongozi kusisitiza mabinti wajitunze lakini badala yake unawashushua wanaume ambae wanataka mabinti waliojitunza. Mindset za watu kama wewe ndizo zimefanya mabinti na wanawake wasione umuhimu wa kujitunza na wajione wana uhuru wa kutombwa kiholela holela
 
Siyo uoga, hebu tujiulize kwanza hizo nikita zimetolewa na jinsia gani?. Mimi ni mwanaume. Ukiangalia vizuri jamii yetu utaona jinsi ilivyo ufahari kwa mwanaume kutembea na wanawake wengiii, ambapo in process anabikiri pia. Akaitaka kuoa sasa anataka bikraaaa! na pia wasio bikra si sahihi kuolewa!. Binafsi nahitimisha kuwa ni roho mbaya, vinginevyo unatakiwa uwajibikaji wa pamoja.
Wanaume wanachelewa kujihusisha na sex na hii ni kutokana na vigezo ambavyo kila jinsia inatakiwa kuwa navyo ili kuingia kwenye mahusiano. Kwa upande wa mwanamke uke wake tu unamtosha kuingia kwenye mahusiano lakini mwanaume anahitajika kuwa na sifa nyingi mfano nyumba/uwezo wa kupanga, kazi/ajira n.k

Sio kila mwanaume ana sifa za kuanzisha mahusiano lakini kila mwanamke ana sifa iyo, kwaiyo lile kundi dogo la wanaume wanabahatika kuwa na vigezo vya kuingia kwenye mahusiano ndio huwa wanawatoa bikira hao wanawake wote. Ni kawaida sana kukuta mwanaume anaingia mpaka 30's hawajawahi kukutana na mwanamke bikira
 
Wanaume wanachelewa kujihusisha na sex na hii ni kutokana na vigezo ambavyo kila jinsia inatakiwa kuwa navyo ili kuingia kwenye mahusiano. Kwa upande wa mwanamke uke wake tu unamtosha kuingia kwenye mahusiano lakini mwanaume anahitajika kuwa na sifa nyingi mfano nyumba/uwezo wa kupanga, kazi/ajira n.k

Sio kila mwanaume ana sifa za kuanzisha mahusiano lakini kila mwanamke ana sifa iyo, kwaiyo lile kundi dogo la wanaume wanabahatika kuwa na vigezo vya kuingia kwenye mahusiano ndio huwa wanawatoa bikira hao wanawake wote. Ni kawaida sana kukuta mwanaume anaingia mpaka 30's hawajawahi kukutana na mwanamke bikira
Upo sahihi sana mkuuu
 
Tuweke unafiki pembeni tuongee ukweli, historia ya mwanamke ni kipengele cha kukizingatia sana, na ninachokoandika hapa ni moja ya sababu ya kwanini unatakiwa kuoa mwanamke ambae umemkuta akiwa bikira

Twende kwenye points
1. Daima atakulinganisha na wanaume wengine.

Mwanamke ambae tayari ashakua na wanaume wengi amebeba kumbukumbu za huo uzoefu kwenye akili yake. Atakulinganisha na kila mwanaume ambaye alishakua nae- jinsi walivyomfanya ajisikie, vitu walivyomuhonga, show zao kitandani n.k. ni ulinganisho usiokua na mwisho. Haijalishi utamfanyia nini lazima atatafuta sababu ya kutoridhika. Hii mindset yake itadhohofisha sana msingi wa mahusiano yenu.

2. Hajui anataka nini
Kitendo cha kuwa na partners wengi kinaathiri direction ya vipaumbele vyake. Anakua hawezi kufanya maamuzi ya nini anataka kutoka kwa mwanaume au kwenye mahusiano. Her past partners have left conflicting imprints on her, leaving her emotionally scattered.

3. Hawezi kutosheka kingono.
Ashazoea kubadilisha radha na size tofauti tofauti za mashine, hii itamfanya iwe ngumu kwake ku-settle kwenye long-term relationship, she may even begins to blame you for not satisfying her unrealistic expectations.

4. Kuna uwezekano ashafanya abortions nyingi sana.

With high body count comes a higher likelihood of unplanned pregnancies and abortions. Hili suala alimuachii uharibifu katika mwili tu, vile vile inamtengenezea emotional baggage ambayo anakuja nayo kwako. Wanawake wengi wanaficha hii part ya maisha yao lakini hatia na aibu waliyobeba moyoni inaweza kuwa shubiri kwenye mahusiano yenu.

5. Bado ana connection na maex wake
Women with high body count often maintain connections with their exes- whether out of convenience or unresolved feelings. Hii kitu itasababisha drama zisizokua na maana kwenye mahusiano yenu, ni upumbavu ambao unachosha na ni hatari kwa afya.

6. Hatoweza kutengeneza bond na wewe
Mwamamke ambae ana historia ya kuwa na wanaume wengi maana yake ameshadhohofisha uwezo wake wa kutengeneza bond na mwanaume mmoja katika kila nyanja. Kumbuka kila anapoachana na mwanaume mmoja, kihisia anaongeza ugumu wa kutengeneza bond na anayefuata

7. Anakuja kwako na emotional baggage
Anapoondoka kwenye kila mahusiano anaobeba moyoni vidonda, disappointments na traumas. So you will not just dealing with her, you will also deal with the emotional debris left by every man she's been with.

8. Ashazoea umapepe
Jasiri haachi asili. 20's yake yote ameitumia kuluka luka kutoka mahusiano haya kwenda mengine sio rahisi kuacha iyo tabia akiingia kwenye meaningful relationship.

9. Anafikiria muda wowote anaweza kupata mbadala wako
She's conditioned herself to believe that men are replaceable and that mindset doesn't change overnight. The moment things get tough her default reaction will be to leave and seek validation elsewhere. This belief gives her little incentive to work through problems or value the relationship.

My take
A woman's past doesn't just disapper-it shapes her character, mindset and behavior. A high body count is not just a number, it's a reflection of patterns and habits that are incompatible with the stability marriage requires.

Recommendation.

Vet women ruthless, ask hard questions and don't ignore red flags. Don't be a simp. Her past is a strong predator of your future with her. Dont gamble with your peace, resources, health and legacy.

I rest my case.
We jamaa nakuja unifundishe kingereza Chako kimenyoka kama cha Kabendera
 
Mshkaji hakukubali akapiga Simu kwa yule demu kuhoji kama ananijua sasa angalia huyu demu alivyo wa ajabu akakana kunijua..baadae demu kanipigia kuniambia mshkaji anahisi tuna mahusiano ameniuliza kama nakujua mimi nimekataa nikamuuliza kwanini akadai naogopa atatuletea Fujo kwasababu naamini ananipenda bado,Nikamuuliza mshkaji ana wanawake wawili wa ndoa anakupendaje demu hakuwa na majibu
Demu wako bado anamlinda Mshikaji wake kwa wivu mkubwa sana hata kama ameshaoa.

Imagine.
 
Bara kipi zaidi? ukioa bikra naye kuna siku anatamani kuonja mpini mpya.
Je kipi bora;
A. Umkute bikra uje kuchapiwa afu anogewe au
B. Uoe aliyefunguliwa seal aje kutulizana
Swali halina mtililiko wa kimantiki, sio lazima mwanamke wa A akose B vilevile sio lazima mwanamke wa B akose A.

Tukirudi kwenye msingi wa unachotaka kukisema, ni sawa mustakabali wa mahusiano/ndoa ni fumbo lakini fumbo ilo lisiwe sababu ya wewe kufanya gamble kwa mwanamke mwenye red flag.
 
Wanaume wanachelewa kujihusisha na sex na hii ni kutokana na vigezo ambavyo kila jinsia inatakiwa kuwa navyo ili kuingia kwenye mahusiano. Kwa upande wa mwanamke uke wake tu unamtosha kuingia kwenye mahusiano lakini mwanaume anahitajika kuwa na sifa nyingi mfano nyumba/uwezo wa kupanga, kazi/ajira n.k

Sio kila mwanaume ana sifa za kuanzisha mahusiano lakini kila mwanamke ana sifa iyo, kwaiyo lile kundi dogo la wanaume wanabahatika kuwa na vigezo vya kuingia kwenye mahusiano ndio huwa wanawatoa bikira hao wanawake wote. Ni kawaida sana kukuta mwanaume anaingia mpaka 30's hawajawahi kukutana na mwanamke bikira
hitimisho ni wanaume tulaumiane kwa ukosefu wa bikra na uwwepo wa singo mazaz kwasababu uwepo wa kundi hilo ni matokeo ya tabia za wanaume pia. hebu fikiria unabikiri mabinti kumi kwa mfano, inafika kipindi unataka kuoa unaoa mmoja au 2, 3, ,4,5, wanabaki wanawake kadhaa uliowabikiri/zalisha. Kisha unasimama pale tena kwa kujiamini kbsaa ukisema wasobikra/walozalishwa hawastahili kuolewa! jamani hii kama si roho mbaya ni nini?. Ukimbikiri binti muoe tofauti na hapo usidai bikira period
 
hitimisho ni wanaume tulaumiane kwa ukosefu wa bikra na uwwepo wa singo mazaz kwasababu uwepo wa kundi hilo ni matokeo ya tabia za wanaume pia. hebu fikiria unabikiri mabinti kumi kwa mfano, inafika kipindi unataka kuoa unaoa mmoja au 2, 3, ,4,5, wanabaki wanawake kadhaa uliowabikiri/zalisha. Kisha unasimama pale tena kwa kujiamini kbsaa ukisema wasobikra/walozalishwa hawastahili kuolewa! jamani hii kama si roho mbaya ni nini?. Ukimbikiri binti muoe tofauti na hapo usidai bikira period
Kweli lakini
 
hitimisho ni wanaume tulaumiane kwa ukosefu wa bikra na uwwepo wa singo mazaz kwasababu uwepo wa kundi hilo ni matokeo ya tabia za wanaume pia. hebu fikiria unabikiri mabinti kumi kwa mfano, inafika kipindi unataka kuoa unaoa mmoja au 2, 3, ,4,5, wanabaki wanawake kadhaa uliowabikiri/zalisha. Kisha unasimama pale tena kwa kujiamini kbsaa ukisema wasobikra/walozalishwa hawastahili kuolewa! jamani hii kama si roho mbaya ni nini?. Ukimbikiri binti muoe tofauti na hapo usidai bikira period
Kwenye suala la kuamisisha ngono mwenye nguvu zaidi ni mwanamke. Tukisema tulaumu wanaume wakati huo wanawake wanafanya yao uko tiktok na telegram tutakua tunatwanga maji kwenye kinu.

Advantage ya mwanaume ipo kwenye physique na hapo zimetungwa sheria nyingi sana za kumdhibiti mwanaume. Advantage ya mwanamke ipo kwenye ngono bahati mbaya sana hatuna sheria ya kumdhibiti mwanamke kama ipo basi sio kali kama ilivyo kwa mwanaume.

Wa kulaumiwa ni mwanamke kwa sababu mwanaume tayari ameshadhibitiwa kwenye advantage yake lakini mwanamke anaitumia advantage yake vibaya
 
Tuweke unafiki pembeni tuongee ukweli, historia ya mwanamke ni kipengele cha kukizingatia sana, na ninachokoandika hapa ni moja ya sababu ya kwanini unatakiwa kuoa mwanamke ambae umemkuta akiwa bikira

Twende kwenye points
1. Daima atakulinganisha na wanaume wengine.

Mwanamke ambae tayari ashakua na wanaume wengi amebeba kumbukumbu za huo uzoefu kwenye akili yake. Atakulinganisha na kila mwanaume ambaye alishakua nae- jinsi walivyomfanya ajisikie, vitu walivyomuhonga, show zao kitandani n.k. ni ulinganisho usiokua na mwisho. Haijalishi utamfanyia nini lazima atatafuta sababu ya kutoridhika. Hii mindset yake itadhohofisha sana msingi wa mahusiano yenu.

2. Hajui anataka nini
Kitendo cha kuwa na partners wengi kinaathiri direction ya vipaumbele vyake. Anakua hawezi kufanya maamuzi ya nini anataka kutoka kwa mwanaume au kwenye mahusiano. Her past partners have left conflicting imprints on her, leaving her emotionally scattered.

3. Hawezi kutosheka kingono.
Ashazoea kubadilisha radha na size tofauti tofauti za mashine, hii itamfanya iwe ngumu kwake ku-settle kwenye long-term relationship, she may even begins to blame you for not satisfying her unrealistic expectations.

4. Kuna uwezekano ashafanya abortions nyingi sana.

With high body count comes a higher likelihood of unplanned pregnancies and abortions. Hili suala alimuachii uharibifu katika mwili tu, vile vile inamtengenezea emotional baggage ambayo anakuja nayo kwako. Wanawake wengi wanaficha hii part ya maisha yao lakini hatia na aibu waliyobeba moyoni inaweza kuwa shubiri kwenye mahusiano yenu.

5. Bado ana connection na maex wake
Women with high body count often maintain connections with their exes- whether out of convenience or unresolved feelings. Hii kitu itasababisha drama zisizokua na maana kwenye mahusiano yenu, ni upumbavu ambao unachosha na ni hatari kwa afya.

6. Hatoweza kutengeneza bond na wewe
Mwamamke ambae ana historia ya kuwa na wanaume wengi maana yake ameshadhohofisha uwezo wake wa kutengeneza bond na mwanaume mmoja katika kila nyanja. Kumbuka kila anapoachana na mwanaume mmoja, kihisia anaongeza ugumu wa kutengeneza bond na anayefuata

7. Anakuja kwako na emotional baggage
Anapoondoka kwenye kila mahusiano anaobeba moyoni vidonda, disappointments na traumas. So you will not just dealing with her, you will also deal with the emotional debris left by every man she's been with.

8. Ashazoea umapepe
Jasiri haachi asili. 20's yake yote ameitumia kuluka luka kutoka mahusiano haya kwenda mengine sio rahisi kuacha iyo tabia akiingia kwenye meaningful relationship.

9. Anafikiria muda wowote anaweza kupata mbadala wako
She's conditioned herself to believe that men are replaceable and that mindset doesn't change overnight. The moment things get tough her default reaction will be to leave and seek validation elsewhere. This belief gives her little incentive to work through problems or value the relationship.

My take
A woman's past doesn't just disapper-it shapes her character, mindset and behavior. A high body count is not just a number, it's a reflection of patterns and habits that are incompatible with the stability marriage requires.

Recommendation.

Vet women ruthless, ask hard questions and don't ignore red flags. Don't be a simp. Her past is a strong predator of your future with her. Dont gamble with your peace, resources, health and legacy.

I rest my case.
Writing
 
Back
Top Bottom